IMF April 2019 GDP Figures. Kenya Hits $99 Billion.. Tanzania Overtaken by Ghana

Hahaa kwa awamu hii ya jiwe, ukifanikiwa hukoo siku hizii unaambiwa unakatisha hela!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
after kisumu inaenda malaba..mjinga ujielewi unadhani malaba iko mbali na Kisumu
 
Huyu ni blind patriot wa kusifia Dar., kazi ni ku-google any report huwa haangalii tarehe Wala kuisoma kikamilifu., nilidharau hoja zake kitambo sana., nikama vile Geza alivyo kua kiherehere miaka tatu za nyuma., kila alicho wazia ama kuongelea hakikutendeka, facts zita wa prove wrong.,
We have learned to ignore fools like you who are a bad example of the good people of Danganyika. if they knew you were here misrepresenting and giving them a bad name they would stone you to death

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Atleast we know th bootlickers like the back of our palms.
 
View attachment 1067825after kisumu inaenda malaba..mjinga ujielewi unadhani malaba iko mbali na Kisumu
Hio ni mchoro uko kwenye karatasi but 1st ilikua iende malaba baada ya uganda kuonekana hana nia bado ndio mukaamisha magoli kwenda kisumu, usijitoe ufahamu uganda sio leo wala kesho am telling u na bado hana nia kabisa na SGRπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† take heartπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Wacha hasira plz kuja mosmos budaa😁😁
 
ichoboy...jifariji na kibera please...bwahaaaa...yani amekasirika hadi basi...Il anatamani awaroge jamaa wa IMF
 
Miaka thelatini ya 7 % growth and Uganda is catching up with you. Are you even human beings
Tanzania imeanza kupanda uchumi juzi tu alipoingia magufuli ndio uchumi umeonekana kwenda kwa kasi zaidi ila huko nyuma ilikua inapanda pia lakini sio kwa kasi

Just 3 yrs of magu hamuna raha wala hamulali😁😁😁😁
 
ichoboy...jifariji na kibera please...bwahaaaa...yani amekasirika hadi basi...Il anatamani awaroge jamaa wa IMF
Mm hua nafurahi nikiona vile munavoipa moto GDP wakat hatuoni hio GDP ilipoπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Tena katika awamu zote kenyatta ndio kaua nchi kabisaa
 
akili hemu tupia picha za middle class wa tandale na mbagala tuzione...bwahaaaa...yani mtu wa kibera analipa kodi na analipia umeme...ila dar kuna watu hawana hata umeme..maskini..

tupia hzo middle class estates za dar...na usisahau za kagera pia kw wale matahira ya kulana uroda barabarani
 
After kisumu I naenda malaba unataka iishe kisumu but Buda Inaenda malaba upende usipende unaeza jinyonga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
maskini....kumbe hta ramani ya sgr huijui...tupia picha za kibera basi...hujazimiss kwan
 
tupia picha za kibera nawe ichoboy..huenda zitabadili gdp yenu...usisahau na kumuita akili punguan aje atupie jamaa wa turkana..huoni hyo ni collabo poa ya kuimarisha uchumi wenu
 
tupia picha za kibera nawe ichoboy..huenda zitabadili gdp yenu...usisahau na kumuita akili punguan aje atupie jamaa wa turkana..huoni hyo ni collabo poa ya kuimarisha uchumi wenu
ndio huyu hapa mrembo akitafuna GDPπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Hawana umeme unayo source ??? Kibera anatoa wapi hela ua kulipa kodi wakat pesa ya kununua unga hanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jiji halina majiπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡munalia na GDP
One good year watu hawana maji😁😁😁

 
Tanzania ikitokea njaa, tutahama nusu ya nchi, church mice syndrome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…