IMF April 2019 GDP Figures. Kenya Hits $99 Billion.. Tanzania Overtaken by Ghana

IMF April 2019 GDP Figures. Kenya Hits $99 Billion.. Tanzania Overtaken by Ghana

This is how we(tz) see you(ke) with your GDP[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]paperworkView attachment 1069261
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii GROUP KENYA imejaa waafrika.Nigerians,wanyarwanda, Ugandans, Zambians, south Africans,Tanzanians ,Ghanaians na kadhalika.Hapa ndio wakenya hu troll waafrika wenzao. hivi majuzi ilikuwa Zambians turn. No one can defeat Kenyans in an online fight.savages
 
joto la jiwe Geza Ulole ichoboy01 mbona hamjaleta ripoti ya CAG? nimeitupia macho pale jukwaa la siasa na uchumi wenu ni hali mbaya pamoja na ufisadi wa sare za jeshi la polisi.
Ukiwakuta humu akina ichoboy &co.wanavyotafuta tu kesi twa ufisadi twa Kenya utadhani Tzn kuko sawa,sasa kaone ripoti ya CAG ni wizi,ufisadi,losses every where yaani since Kikwete era things are turning upside down and falling apart
Just to sum up,the degree of ldc stutus is being consolidated
 
Ukiwakuta humu akina ichoboy &co.wanavyotafuta tu kesi twa ufisadi twa Kenya utadhani Tzn kuko sawa,sasa kaone ripoti ya CAG ni wizi,ufisadi,losses every where yaani since Kikwete era things are turning upside down and falling apart
Just to sum up,the degree of ldc stutus is being consolidated
Madudu hayakosekani kwenye ukaguzi...lakini upigaji wenu ni next level

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madudu hayakosekani kwenye ukaguzi...lakini upigaji wenu ni next level

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hizo awamu hii ya Magufuli ndo kuna upigaji wa next level,imagine 1.3blns kutumika kama pesa ya vikao 20 tu vya bodi kulipana posho,hiyo pesa inajenga hospitali ya wilaya tena ya ghorofa,kwa slum country kama Tzn ni hataree sana,sijui lini mtagraduate kwenye umaskini wa kutopea
 
Acha hizo awamu hii ya Magufuli ndo kuna upigaji wa next level,imagine 1.3blns kutumika kama pesa ya vikao 20 tu vya bodi kulipana posho,hiyo pesa inajenga hospitali ya wilaya tena ya ghorofa,kwa slum country kama Tzn ni hataree sana,sijui lini mtagraduate kwenye umaskini wa kutopea
Acha kupiga kelele kama mbweha,leta hoja za msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom