Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 338
Kwa mujibu wa IMF miaka mitano kutoka sasa uchumi wa China utaupita ule wa USA na hiyo itakuwa ni mara ya kwanza tangu mwaka 1890 pale uchumi wa USA ulipoupita ule wa UK.
Je hiyo itakuwa ndiyo mwisho kabisa wa tambo za USA au nao watakuja kuipiku China tena au labda India?
imf-bombshell-age-america-end-marketwatch: Personal Finance News from Yahoo! Finance
Je hiyo itakuwa ndiyo mwisho kabisa wa tambo za USA au nao watakuja kuipiku China tena au labda India?
imf-bombshell-age-america-end-marketwatch: Personal Finance News from Yahoo! Finance