IMF: Kasi ya Ukuaji wa Uchumi wa Uganda Kufikia 11% Kuanzia Mwaka 2025 Baada ya Pesa za Mafuta Kuanza Kumiminika

Sasa utaongeza GDP per Capita bila kuongeza GDP size?

Mapesa ambayo Uganda itavuna kwenye Mafuta yanaenda kuwekeza kwenye Huduma za jamii na Uchumi hivyo kuwarahisishia Waganda kuongeza vipato Vyao.
Mkuu hayo mapato ya mafuta Tanzania nayo ina share yake tena kubwa sana kwa kupitisha bomba la mafuta kwenye ardhi yake mbona hamyasemi?
Hii nchi ya Wagalatia nani aliwapa roho mbaya hadi mnachukia mkono wako wa kushoto japo ni kiungo chako cha mwili wako?
Kama hamuipendi nchi yako hamia Syria.
 
Hatimaye hela za Mafuta zimeanza kuleta matokeo kama tulivyosema Pato la taifa la Uganda (GDP) yaizidi ya Tanzania kwa mwaka 2025 kwa mujibu wa shirika la fedha duniani -IMF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…