Yani hapa Afrika mashariki sijaona taifa la kuwa mfano kwa Tanzania.Muda sio mchache UGANDA atatuacha tz kwenye all aspects za uchumi. Kule uganda neno eti mnyonge asilipe kodi wanakaribia kulifuta. Mnyonge asilipe kodi ipo tz tuuu sasa jana usiku alikula wapi kama hana kodi ya kulipa.
Mnyonge alipe kodi kwa viwango vinavyokubalika na viwango rafiki.
Siku KAINERUGABHA atakapo thibitishwa rasmi ndie rais wa UGANDA tz tutaachwa kwa kasi ya 4G
Labda unitajie nchi za Afrika Kaskazini.
Hao Uganda wana sekta nyingi za kuzirekebisha tena nyingi saaanaaà.