#COVID19 IMF kutoa dola bilioni 650 kwa wanachama wake kupambana na Covid-19

#COVID19 IMF kutoa dola bilioni 650 kwa wanachama wake kupambana na Covid-19

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Mkurugenzi wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) Kristalina Georgieva, amesema watatoa kiasi cha dola bilioni 650 kwa wanachama wake kupitia mpango mpya maalumu utakaosaidia juhudi za ulimwengu za kupambana na janga la Covid-19.
.
IMF pia itatoa fedha za ziada kwa ajili ya uchumi wa dunia, kuongeza fedha za kigeni za nchi wanachama na kupunguza utegemezi wao katika gharama kubwa za madeni ya ndani au nje.
 
Mgao upoje hapo. Tupewe vi-point kadhaa aisss.
 
Mkurugenzi wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) Kristalina Georgieva, amesema watatoa kiasi cha dola bilioni 650 kwa wanachama wake kupitia mpango mpya maalumu utakaosaidia juhudi

Sisi wasituletee. Kwanza sisi Corona haipo na pia tozo zetu wenyewe zinatutosha.

IMG_20210824_125202_848.jpg


Kwanza wananchi wenyewe wameridhia ziwe zinaongezwa kwa wingi ili tuzizowee.

Wasiotaka tulishakubaliana, watakwenda Burundi.
 
Back
Top Bottom