IMF wametoa orodha ya nchi zenye madeni makubwa zaidi katika bara la Afrika, Tanzania haipo!

Mkopo ambao unahusisha Kukupangia sera huo ni Ujinga.

Tulilipa deni lote IMF, saiv wameenda kuchukua tena.

Si ajabu wanakupa mkopo na kukupangia matumizi yake. Mfano kajengee matundu ya Choo.
Bila hivyo hawa jamaa watazila zote, tuipe IMF maua yao.
 
Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa January,2024 na IMF inaonesha Tanzania ni Kati ya Nchi 10 Za Afrika Zenye deni dogo zaidi ikilinganishwa na Ukubwa wa Uchumi wake.

Kwa Afrika Mashariki ni Tanzania pekee ambayo ni least indebted Country,zingine zote Zina Hali mbaya.

View: https://www.instagram.com/p/C2Fg1zpI1U_/?igsh=MXV5eG56ZTV4YXA0aw==
My Take
Kwa Nchi kama Tanzania ambayo Ina umaskini mkubwa ambao unasababishwa na miundombinu mibovu au kutofikika kabisa kujisifia eti tuna deni dogo ni ujinga.

Serikali Kopeni Pesa Jengeni miundombinu mfungue Uchumi Nchi istawi walau tufikie Debt to GDP Ratio ya 60%.
 
Kazi iendelee 👇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…