IMF wametoa orodha ya nchi zenye madeni makubwa zaidi katika bara la Afrika, Tanzania haipo!

IMF wametoa orodha ya nchi zenye madeni makubwa zaidi katika bara la Afrika, Tanzania haipo!

Mkopo ambao unahusisha Kukupangia sera huo ni Ujinga.

Tulilipa deni lote IMF, saiv wameenda kuchukua tena.

Si ajabu wanakupa mkopo na kukupangia matumizi yake. Mfano kajengee matundu ya Choo.
Kwani tatizo liko wapi?
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338

======

Hii ndio orodha ya nchi 10 za Africa zenye deni kubwa zaidi huko Shirika la Fedha Duniani ( IMF )

Kwa msiofahamu, Nchi Tisa kati ya kumi ndio nchi zinazoshikilia uchumi wote wa Africa,

Hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF kutoka bara la Africa tena kwa riba kiduchu ambayo ni chini ya asilimia moja tena kwa muda wa miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa barani Africa utakuta ni hawahawa magwiji wa uchotaji wa maokoto huko IMF.

Hoja yangu Leo, Nikwanini Tanzania yenye kauchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati ,hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki, Why Tanzania tunakwama wapi?

Nchi yetu ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi tena ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuutamia umasikini wao.

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa.

Nasisitiza Leo, Tanzania tukopeni zaidi ili kujenga miradi yenye output ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT pamoja na kuwa kinara wa madeni IMF bado ndio nchi tajiri barani Africa.

Kazi iendelee.
Leo nimeanza kuelewa kwanini tuendelee kukopa zaidi
 
Hivi unadhani wewe unavyokopesheka ndivyo na Mo au Bhakresa anavyokopesheka? Au Simba anavyokopesheka unadhan atalingana na Namungo fc
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338

======

Hii ndio orodha ya nchi 10 za Africa zenye deni kubwa zaidi huko Shirika la Fedha Duniani ( IMF )

Kwa msiofahamu, Nchi Tisa kati ya kumi ndio nchi zinazoshikilia uchumi wote wa Africa,

Hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF kutoka bara la Africa tena kwa riba kiduchu ambayo ni chini ya asilimia moja tena kwa muda wa miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa barani Africa utakuta ni hawahawa magwiji wa uchotaji wa maokoto huko IMF.

Hoja yangu Leo, Nikwanini Tanzania yenye kauchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati ,hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki, Why Tanzania tunakwama wapi?

Nchi yetu ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi tena ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuutamia umasikini wao.

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa.

Nasisitiza Leo, Tanzania tukopeni zaidi ili kujenga miradi yenye output ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT pamoja na kuwa kinara wa madeni IMF bado ndio nchi tajiri barani Africa.

Kazi iendelee.
Usihadaike na hizo namba, mzigo wa deni hupimwa na uchumi wa nchi. Kama wewe uchumi wako ni $300, ukikopa $400 utakuwa ni mzigo mkubwa sana kwako lakini kwa mwenye uchumi wa $4000, mkopo huo wa $400 ni mdogo tu.
 
Pesa za mikopo iliyopita inanemesha wachache na majority wanaishia kupigwa propaganda. Hatuko tayari kukopa kwa masilahi ya watu binafsi.
 
Mikopo sio yote inatoka IMF.
Zingatia hilo
 
Mkopo ambao unahusisha Kukupangia sera huo ni Ujinga.

Tulilipa deni lote IMF, saiv wameenda kuchukua tena.

Si ajabu wanakupa mkopo na kukupangia matumizi yake. Mfano kajengee matundu ya Choo.
Itakuwa wanauzoefu na tabia zetu. Halafu naona kile wanachopanga kinakuwa na faida na jamii!

Chukulia mfano wasingekuwa wanasimamia walichokubaliana, ina maana wanasiasa wangekuwa wanazipiga hela na kubadilisha matumizi.

Lazima wanasiasa wetu wawe na mipango ili wanapoenda kuombea mikopo sehemu fulani, basi hiyo sehemu ikamilike.

Kwa mfano, pesa walizokopa benki ya dunia kujenga barabara za mijini zimesaidia miji mingi kuwa na lami na taa za barabarani. Sharti mojawapo, lazima lami ianzie kwenye lami na iishie kwenye lami. Sharti hili linawabana wanasiasa wabinafsi kujipelekea barabara ya lami mpaka nyumbani kwao hata kama anaishi pembeni ya mji.
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338

======

Hii ndio orodha ya nchi 10 za Africa zenye deni kubwa zaidi huko Shirika la Fedha Duniani ( IMF )

Kwa msiofahamu, Nchi Tisa kati ya kumi ndio nchi zinazoshikilia uchumi wote wa Africa,

Hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF kutoka bara la Africa tena kwa riba kiduchu ambayo ni chini ya asilimia moja tena kwa muda wa miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa barani Africa utakuta ni hawahawa magwiji wa uchotaji wa maokoto huko IMF.

Hoja yangu Leo, Nikwanini Tanzania yenye kauchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati ,hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki, Why Tanzania tunakwama wapi?

Nchi yetu ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi tena ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuutamia umasikini wao.

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa.

Nasisitiza Leo, Tanzania tukopeni zaidi ili kujenga miradi yenye output ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT pamoja na kuwa kinara wa madeni IMF bado ndio nchi tajiri barani Africa.

Kazi iendelee.
Tanzania Tuongeze bidii kukopa
 
Wewe uko wapi kwani?
Nipo huku ambako bado watu wanakwenda vichakani kumaliza mashauri yao. Huko kwenu vyoo vya matundu vimeenea kila mahali? Kila kaya inacho choo cha tundu kwa matumizi yake?
 
Nipo huku ambako bado watu wanakwenda vichakani kumaliza mashauri yao. Huko kwenu vyoo vya matundu vimeenea kila mahali? Kila kaya inacho choo cha tundu kwa matumizi yake?
Daaah nchi ngumu kwelikweli
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338

======

Hii ndio orodha ya nchi 10 za Africa zenye deni kubwa zaidi huko Shirika la Fedha Duniani ( IMF )

Kwa msiofahamu, Nchi Tisa kati ya kumi ndio nchi zinazoshikilia uchumi wote wa Africa,

Hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF kutoka bara la Africa tena kwa riba kiduchu ambayo ni chini ya asilimia moja tena kwa muda wa miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa barani Africa utakuta ni hawahawa magwiji wa uchotaji wa maokoto huko IMF.

Hoja yangu Leo, Nikwanini Tanzania yenye kauchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati ,hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki, Why Tanzania tunakwama wapi?

Nchi yetu ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi tena ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuutamia umasikini wao.

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa.

Nasisitiza Leo, Tanzania tukopeni zaidi ili kujenga miradi yenye output ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT pamoja na kuwa kinara wa madeni IMF bado ndio nchi tajiri barani Africa.

Kazi iendelee.
Amen
 
Back
Top Bottom