IMF wametoa orodha ya nchi zenye madeni makubwa zaidi katika bara la Afrika, Tanzania haipo!

IMF wametoa orodha ya nchi zenye madeni makubwa zaidi katika bara la Afrika, Tanzania haipo!

Mwigu babaaa...kakopeee tujeee kulaaaa...mpaka tuwe wa kwanza kwenye list ya wadaiwaaa babaaa tunakuombaa sanaaa
 
Mkopo ambao unahusisha Kukupangia sera huo ni Ujinga.
Tulilipa deni lote IMF, saiv wameenda kuchukua tena.
Si ajabu wanakupa mkopo na kukupangia matumizi yake. Mfano kajengee matundu ya Choo.
As far as hii nch itaendelea kuwepo bas tambua kuwa kufuta madeni haitakiwi kuwa kipaumbele,
Kwann ufute madeni ? Kopa fanya vitu,

Hata mm ningekuwa na access ya kukopa hata 100M nakopa chap, dunia sio yetu, tuishi leo
 
Ushawapa Serikali sababu ya kuendelea kukopa.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338
======
Hii ndio orodha na hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF ,kutoka bara la Africa kwa riba kiduchu ya chini ya asilimia moja kwa muda wa kuanzia miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa barani Africa utakuta ni hawahawa magwiji wa uchotaji wa maokoto huko IMF,

Hoja yangu Leo, Nikwanini Tanzania yenye kauchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati ,hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki, Why Tanzania tunakwama wapi?

Nchi yetu ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi tena ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuutamia umasikini wao,

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa,

Nasisitiza Leo, Tanzania tukopeni zaidi ili kujenga miradi yenye output ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT pamoja na kuwa kinara wa madeni IMF bado ndio nchi tajiri barani Africa.

Kazi iendelee,
Matajiri wengi ni wakopaji sana, shida inakuja kama mtu au nchi inakopa inashindwa kulipa
 
RankCountryDebt amount
1.Egypt$11,968,321,674
2.Angola$3,153,816,667
3.South Africa$2,669,800,000
4.Côte d'Ivoire$2,117,559,620
5.Kenya$2,058,982,100
6.Nigeria$1,840,875,000
7.Ghana$1,644,377,000
8.Morocco$1,499,800,000
9Democratic Republic of Congo$1,294,500,000
.10.Tunisia$1,259,139,338

======

Hii ndio orodha na hawa ndio magwiji wa kuchota Fedha za IMF ,kutoka bara la Africa kwa riba kiduchu ya chini ya asilimia moja kwa muda wa kuanzia miaka 15.

Ukiangalia katika orodha ya nchi tajiri kabisa barani Africa utakuta ni hawahawa magwiji wa uchotaji wa maokoto huko IMF.

Hoja yangu Leo, Nikwanini Tanzania yenye kauchumi kiduchu inaogopa kukopa wakati ,hawa makabaila na Matajiri wa kupindukia kama Misri, Nigeria, Morocco, Ghana, South Africa mababa wa uchumi Africa wanakopa kwa kasi kiasi hiki, Why Tanzania tunakwama wapi?

Nchi yetu ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inamazezeta ambayo yanawatisha Watanzania wenzao kwamba kukopa dhambi tena ishara ya kufilisika kwa nchi kumbe wanataka kuwafanya Watanzania waendelee kuutamia umasikini wao.

Ombi langu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ongezeni kasi ya kukopa ila tu mkope IMF sio maeneo mangeni ili kuepuka riba kubwa.

Nasisitiza Leo, Tanzania tukopeni zaidi ili kujenga miradi yenye output ili na sisi GDP ya nchi yetu na yenyewe ipande kama ile ya EGYPT pamoja na kuwa kinara wa madeni IMF bado ndio nchi tajiri barani Africa.

Kazi iendelee.
Nimekuelewa Mkuu.

Ni ujinga kuogopa kukopa harafu unasubiria kudunduliza.Haingii akilini tuko underdeveloped maeneo mengi sana kuanzia miundombinu ya uchumi Hadi Huduma za jamii lakini eti tunaogopa kukopa kama kwamba Nchi ni nyumba itauzwa.

Itachukua mda mrefu sana Kwa Nchi hii kuendelea kama hatutaacha mawazo ya kijinga.

Bahati mbaya Nchi zote hapo Juu zinazokopa zimetuzidi Uchumi.Tumeshindwa kujenga Barabara kwenda kwenye Hifadhi Ili kufungua uchumi kisa tunasibiria kudunduliza.Huu ni ujinga.
 
Mkopo ambao unahusisha Kukupangia sera huo ni Ujinga.

Tulilipa deni lote IMF, saiv wameenda kuchukua tena.

Si ajabu wanakupa mkopo na kukupangia matumizi yake. Mfano kajengee matundu ya Choo.
Kushindwa kutumia mikopo kufungua uchumi na uzalishaji then inajisifia huna Mkopo wewe huna tofauti na wapumbavu.

Hapa nilipo as individual nimepata Dili ila Sina uwezo mkubwa wa kukopesheka kupata pesa nazohitani Ili nikombe hiyo Mali.

Nashauri Rais Samia ajitahidi kupata rating nzuri ya Nchi yetu Ili tukakope tuifungue Nchi.

Mwisho hakuna anaekupangia matumizi ila lazima monitoring ya matumizi iwepo.Bila hivyo Nchi za Miafrika zingeweza kununua silaha Kwa hela ya Mkopo.
 
Inshu Sio kukopa Tanzania toka ilipoanza kukopa Mpka Leo ingekuwa mbali Sana Kuna Wakati unaona haina tofauti na kutokukopa tatzo uadilifu wa viongozi wetu Wa kiafrika wanaumaskini mkubwa Sana Wa kifrika hata ukope utajikuta ndokwanza unaharibu Zaidi Maisha ya watu,rai yangu ni tujikite zaidi kwenye kuwa waadilifu hata tukikopa bhas tukope na tutekeleze yale tuliodhamiria kukopa.
Sio kweli,Tanzania Ina rekodi nzuri zaidi ya Mikopo kuliko Nchi nyingi japo matatizo yapo.

Shida kubwa nayoiona Huwa ni aina ya vipaombele vya kutumia hizo pesa za mikopo na pia gharama kubwa zinazokuwa associated na miradi ya Mikopo yaani overpricing.

Mfano mdogo Leo hii Kuna mradi wa Tactic au DMDP Kwa pesa za Mkopo wa WB ila Changamoto yake Sasa ni kwamba vikao ni viiingi utadhani ni mradi wa kwenda Kwenye mwezi wakati ni Barabara na masoko ambazo zinajengwa daily.

Haya mambo ya semina na ujinga kama huo yanapunguza effectiveness ya pesa za Mkopo.
 
Kila nchi ina kopeshwa fedha kutokana na nguvu ya kiuchumi ya nchi husika kama ww unapo enda kukopa benki wata kukopesha mkopo unao endana na ukubwa wa biashara yako.

Mo akienda benki akaomba mkopo wa bilion 300 anapewa bila hata kufikiria hali ya kuwa ww ukienda benki kukopa milion 100 ni kimbembe.
 
Kila nchi ina kopeshwa fedha kutokana na nguvu ya kiuchumi ya nchi husika kama ww unapo enda kukopa benki wata kukopesha mkopo unao endana na ukubwa wa biashara yako.

Mo akienda benki akaomba mkopo wa bilion 300 anapewa bila hata kufikiria hali ya kuwa ww ukienda benki kukopa milion 100 ni kimbembe.
Tanzania tuna uoga wa kijinga
 
Kushindwa kutumia mikopo kufungua uchumi na uzalishaji then inajisifia huna Mkopo wewe huna tofauti na wapumbavu.

Hapa nilipo as individual nimepata Dili ila Sina uwezo mkubwa wa kukopesheka kupata pesa nazohitani Ili nikombe hiyo Mali.

Nashauri Rais Samia ajitahidi kupata rating nzuri ya Nchi yetu Ili tukakope tuifungue Nchi.

Mwisho hakuna anaekupangia matumizi ila lazima monitoring ya matumizi iwepo.Bila hivyo Nchi za Miafrika zingeweza kununua silaha Kwa hela ya Mkopo.
Hakuna mtu anayekataa kukopa....
Ila hata wewe huwezi kukopa kwa mtu anayekupangia matumizi.
 
As far as hii nch itaendelea kuwepo bas tambua kuwa kufuta madeni haitakiwi kuwa kipaumbele,
Kwann ufute madeni ? Kopa fanya vitu,

Hata mm ningekuwa na access ya kukopa hata 100M nakopa chap, dunia sio yetu, tuishi leo
Hatuelewani naona.....
Hatukufuta madeni, tulifuta deni la IMF.
Madeni sio issue, deni la IMF ndio issue.
 
Back
Top Bottom