#COVID19 IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania

#COVID19 IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania

Ushamaliza maendeleo? Kwa akili zako finyu unaona ni ndio pesa hiyo ya kumaliza matatizo ya Tzn?

Huna akili hiyo pesa hata km 1000 za lami haitoshi ila kwa umbumbumbu wako unaona ni pesa nyingi sana
We mataga embu tulia acha jazba,wapi nimesema hiyo pesa inaweza maliza matatizo yote Tz!? Au umekurupuka na hangover!?
 
Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona.

Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya.

Hadi sasa Mama Samia kwa kipindi chake Cha miezi mitano ameshakopa zaidi ya Trillion 4, ni kama wastani wa Trillion 1 kila mwezi.

Hii speed ikiendelea hivi kuna hatihati ya kuja ku-double deni lililopo sawa. Maana kama kila mwezi ni Kama wastani wa Trillion 1 basi kwa miaka mitano inaweza kuwa Trillion 60. Sishauri tufike huko.

Ni muhimu tuweke hizi rekodi sawa ili Deni la taifa likifika zaidi ya Trillion 100 tusianze kutafuta mchawi.

-----
September 7, 2021

The COVID-19 outbreak has led to the collapse of the tourism sector and amplified the need for significant financing to tackle the health and economic effects of the pandemic.

The IMF approved US$567.25 million in emergency financial assistance under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument to support the authorities’ efforts in responding to the pandemic by addressing the urgent health, humanitarian, and economic costs.

The resources are also expected to play a catalytic role in their efforts to mobilize additional support from development partners.

The authorities also commit to strengthening governance and transparency to ensure that the financial resources are efficiently spent on addressing the crisis.

Washington, DC: The Executive Board of the International Monetary Fund (IMF) today approved a disbursement of SDR132.6 million (US$189.08 million) under the Rapid Credit Facility (RCF) and a purchase equivalent to SDR265.2 million (US$378.17 million) under the Rapid Financing Instrument (RFI), a total of SDR397.8 million (US$567.25 million or 100 percent of quota). This emergency financing will help finance Tanzania’s urgent balance of payment needs stemming from the outbreak of the COVID-19 pandemic.

Tanzania’s economic outlook has deteriorated due to the impact of the COVID-19 pandemic. With the collapse in tourism in the wake of travel restrictions, the economy reportedly decelerated to 4.8 percent growth in 2020, and growth is expected to remain subdued in 2021.Tanzania faces an urgent balance of payment need of about 1.5 percent of GDP as the authorities implement a comprehensive plan to mitigate the effects of the pandemic and preserve macroeconomic stability in the face of a reported third wave of the virus.

The disbursement under the RCF and purchase under the RFI will help finance the interventions needed to mitigate the severe socio-economic impacts of the pandemic and help catalyze support from development partners. The authorities have indicated that they are committed to pursuing economic policies appropriate for addressing the impact of the pandemic and are committed to strengthening coordination and transparency to ensure that RCF and RFI resources are spent on fighting the pandemic. These measures include publishing reports of RCF and RFI resources spent and undertaking a post-crisis audit of all pandemic-related spending.

Following the Executive Board’s discussion, Mr. Bo Li, Deputy Managing Director and Chair, issued the following statement:

"The COVID-19 pandemic has negatively impacted Tanzania’s macroeconomic outlook, and the health and wellbeing of its population. Growth decelerated in 2020 and is expected to remain subdued in 2021, increasing poverty and negatively affecting employment. Tanzania’s risk of external and public debt distress increased to moderate, mainly due to the pandemic’s effect on tourism exports. Tanzania’s macroeconomic outlook hinges on satisfactorily addressing the pandemic, but significant downside risks remain due to uncertainties surrounding the course of the pandemic.

"The authorities are implementing a comprehensive pandemic response plan—Tanzania COVID-19 Socioeconomic Response Plan (TCRP) —to address the fallout of the COVID-19 shock. Tanzania requires urgent financial assistance to implement the plan and avert the severe health, social and economic consequences of a reported third wave of the virus. Emergency support under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument will substantially contribute to filling immediate external financing needs and help catalyze donor support. Temporarily loosening macroeconomic and financial policies will mitigate the pandemic’s adverse impact, by deploying a vaccination campaign, increasing health and social spending, and supporting the private sector. Prioritizing the health response, strengthening coordination and transparency to ensure that funds received are spent on fighting the pandemic, and regularly and transparently reporting epidemiological data will be critical for the plan’s success.

"Maintaining fiscal and debt sustainability, and preserving financial stability, while supporting the economy, will also be important. Closely monitoring the banking system’s health in light of increased banking sector vulnerabilities will be key.

"Once the crisis abates, the authorities appropriately intend to resume implementing reforms to achieve sustainable and inclusive growth. Their broader policy and reform agenda includes fiscal reforms to avoid domestic arrears and pay tax refunds on time, increasing support for education and health spending, and improvements to the business climate."
Ebu sema kwanza mama kaikuta hazina na kiasi gani ndiyo ushutumu hiyo mikopo.
 
Ebu sema kwanza mama kaikuta hazina na kiasi gani ndiyo ushutumu hiyo mikopo.
Mbona alishasema? Au wenzetu huwa hamfatilii wala kusikiliza?
Alisema Kuna dollar 3.5bil, na akasema nchi inauwezo wa kujiendesha miezi 6
 
Zinakopwa, wajanja wanazipiga, sisi ma boli zozo,, tutakamuliiwa zilipwe
 
Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona.

Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya.

Hadi sasa Mama Samia kwa kipindi chake Cha miezi mitano ameshakopa zaidi ya Trillion 4, ni kama wastani wa Trillion 1 kila mwezi.

Hii speed ikiendelea hivi kuna hatihati ya kuja ku-double deni lililopo sawa. Maana kama kila mwezi ni Kama wastani wa Trillion 1 basi kwa miaka mitano inaweza kuwa Trillion 60. Sishauri tufike huko.

Ni muhimu tuweke hizi rekodi sawa ili Deni la taifa likifika zaidi ya Trillion 100 tusianze kutafuta mchawi.

-----
September 7, 2021

The COVID-19 outbreak has led to the collapse of the tourism sector and amplified the need for significant financing to tackle the health and economic effects of the pandemic.

The IMF approved US$567.25 million in emergency financial assistance under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument to support the authorities’ efforts in responding to the pandemic by addressing the urgent health, humanitarian, and economic costs.

The resources are also expected to play a catalytic role in their efforts to mobilize additional support from development partners.

The authorities also commit to strengthening governance and transparency to ensure that the financial resources are efficiently spent on addressing the crisis.

Washington, DC: The Executive Board of the International Monetary Fund (IMF) today approved a disbursement of SDR132.6 million (US$189.08 million) under the Rapid Credit Facility (RCF) and a purchase equivalent to SDR265.2 million (US$378.17 million) under the Rapid Financing Instrument (RFI), a total of SDR397.8 million (US$567.25 million or 100 percent of quota). This emergency financing will help finance Tanzania’s urgent balance of payment needs stemming from the outbreak of the COVID-19 pandemic.

Tanzania’s economic outlook has deteriorated due to the impact of the COVID-19 pandemic. With the collapse in tourism in the wake of travel restrictions, the economy reportedly decelerated to 4.8 percent growth in 2020, and growth is expected to remain subdued in 2021.Tanzania faces an urgent balance of payment need of about 1.5 percent of GDP as the authorities implement a comprehensive plan to mitigate the effects of the pandemic and preserve macroeconomic stability in the face of a reported third wave of the virus.

The disbursement under the RCF and purchase under the RFI will help finance the interventions needed to mitigate the severe socio-economic impacts of the pandemic and help catalyze support from development partners. The authorities have indicated that they are committed to pursuing economic policies appropriate for addressing the impact of the pandemic and are committed to strengthening coordination and transparency to ensure that RCF and RFI resources are spent on fighting the pandemic. These measures include publishing reports of RCF and RFI resources spent and undertaking a post-crisis audit of all pandemic-related spending.

Following the Executive Board’s discussion, Mr. Bo Li, Deputy Managing Director and Chair, issued the following statement:

"The COVID-19 pandemic has negatively impacted Tanzania’s macroeconomic outlook, and the health and wellbeing of its population. Growth decelerated in 2020 and is expected to remain subdued in 2021, increasing poverty and negatively affecting employment. Tanzania’s risk of external and public debt distress increased to moderate, mainly due to the pandemic’s effect on tourism exports. Tanzania’s macroeconomic outlook hinges on satisfactorily addressing the pandemic, but significant downside risks remain due to uncertainties surrounding the course of the pandemic.

"The authorities are implementing a comprehensive pandemic response plan—Tanzania COVID-19 Socioeconomic Response Plan (TCRP) —to address the fallout of the COVID-19 shock. Tanzania requires urgent financial assistance to implement the plan and avert the severe health, social and economic consequences of a reported third wave of the virus. Emergency support under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument will substantially contribute to filling immediate external financing needs and help catalyze donor support. Temporarily loosening macroeconomic and financial policies will mitigate the pandemic’s adverse impact, by deploying a vaccination campaign, increasing health and social spending, and supporting the private sector. Prioritizing the health response, strengthening coordination and transparency to ensure that funds received are spent on fighting the pandemic, and regularly and transparently reporting epidemiological data will be critical for the plan’s success.

"Maintaining fiscal and debt sustainability, and preserving financial stability, while supporting the economy, will also be important. Closely monitoring the banking system’s health in light of increased banking sector vulnerabilities will be key.

"Once the crisis abates, the authorities appropriately intend to resume implementing reforms to achieve sustainable and inclusive growth. Their broader policy and reform agenda includes fiscal reforms to avoid domestic arrears and pay tax refunds on time, increasing support for education and health spending, and improvements to the business climate."
Deni la Taifa itakuwa linakaribia trillion 75 sasa. Nilifikiri tozo zingetufanya tuache kukopa?!
 
Daah! Mpunga mrefu huo. Basi wakatepo Bilioni mia mbili watujengee bara bara ya njia nne toka Chanika mpaka Airport- Chanika Super High way.
Tena wakatepo bilioni mia zingine kupanua bara bara ya kutoka Tegeta Nyuki mpaka Bunju B/ Boko kwa njia nne - Tegeta Super High way.
Tena wakatepo Bilioni hamsini kupanua bara bara ya kutoka Morocco mpaka njia panda ya sijui ndio panaitwa Africa sana kwa njia nne - Mwai Kibaki Super High way.
'Chenji' zilizo baki wazipeleke Mikoani au kwenye sekta nyingine.
😎😎😎
NB: Utaratibu wa kujenga bara bara hizi uwe kama ule wa Mbezi- Kibaha.
Bara bara ya zamani iachwe kati kati bila kuondolewa isipokuwa ya Mwai Kibaki kutokana na ufinyu wa eneo.
Mbona zote Dar tu ? Kwingine si .....Tanzania ? Vipi Kigoma....kwa VP
 
Sasa itakuwa na Lissu alikuwa anazunguka kwa wazungu akiwaambia wasiwape msaada Tanzania.
 
Mbona zote Dar tu ? Kwingine si .....Tanzania ? Vipi Kigoma....kwa VP
Kule wanajengewa project kubwa ya kupeleka umeme wa gridi. Project nyingi ndogo ndogo tunazimudu kwa pesa za ndani. Ila hizi project kubwa ndo inabidi kupata nguvu ya wahisani.
 
Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona.

Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya.

Hadi sasa Mama Samia kwa kipindi chake Cha miezi mitano ameshakopa zaidi ya Trillion 4, ni kama wastani wa Trillion 1 kila mwezi.

Hii speed ikiendelea hivi kuna hatihati ya kuja ku-double deni lililopo sawa. Maana kama kila mwezi ni Kama wastani wa Trillion 1 basi kwa miaka mitano inaweza kuwa Trillion 60. Sishauri tufike huko.

Ni muhimu tuweke hizi rekodi sawa ili Deni la taifa likifika zaidi ya Trillion 100 tusianze kutafuta mchawi.

-----
September 7, 2021

The COVID-19 outbreak has led to the collapse of the tourism sector and amplified the need for significant financing to tackle the health and economic effects of the pandemic.

The IMF approved US$567.25 million in emergency financial assistance under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument to support the authorities’ efforts in responding to the pandemic by addressing the urgent health, humanitarian, and economic costs.

The resources are also expected to play a catalytic role in their efforts to mobilize additional support from development partners.

The authorities also commit to strengthening governance and transparency to ensure that the financial resources are efficiently spent on addressing the crisis.

Washington, DC: The Executive Board of the International Monetary Fund (IMF) today approved a disbursement of SDR132.6 million (US$189.08 million) under the Rapid Credit Facility (RCF) and a purchase equivalent to SDR265.2 million (US$378.17 million) under the Rapid Financing Instrument (RFI), a total of SDR397.8 million (US$567.25 million or 100 percent of quota). This emergency financing will help finance Tanzania’s urgent balance of payment needs stemming from the outbreak of the COVID-19 pandemic.

Tanzania’s economic outlook has deteriorated due to the impact of the COVID-19 pandemic. With the collapse in tourism in the wake of travel restrictions, the economy reportedly decelerated to 4.8 percent growth in 2020, and growth is expected to remain subdued in 2021.Tanzania faces an urgent balance of payment need of about 1.5 percent of GDP as the authorities implement a comprehensive plan to mitigate the effects of the pandemic and preserve macroeconomic stability in the face of a reported third wave of the virus.

The disbursement under the RCF and purchase under the RFI will help finance the interventions needed to mitigate the severe socio-economic impacts of the pandemic and help catalyze support from development partners. The authorities have indicated that they are committed to pursuing economic policies appropriate for addressing the impact of the pandemic and are committed to strengthening coordination and transparency to ensure that RCF and RFI resources are spent on fighting the pandemic. These measures include publishing reports of RCF and RFI resources spent and undertaking a post-crisis audit of all pandemic-related spending.

Following the Executive Board’s discussion, Mr. Bo Li, Deputy Managing Director and Chair, issued the following statement:

"The COVID-19 pandemic has negatively impacted Tanzania’s macroeconomic outlook, and the health and wellbeing of its population. Growth decelerated in 2020 and is expected to remain subdued in 2021, increasing poverty and negatively affecting employment. Tanzania’s risk of external and public debt distress increased to moderate, mainly due to the pandemic’s effect on tourism exports. Tanzania’s macroeconomic outlook hinges on satisfactorily addressing the pandemic, but significant downside risks remain due to uncertainties surrounding the course of the pandemic.

"The authorities are implementing a comprehensive pandemic response plan—Tanzania COVID-19 Socioeconomic Response Plan (TCRP) —to address the fallout of the COVID-19 shock. Tanzania requires urgent financial assistance to implement the plan and avert the severe health, social and economic consequences of a reported third wave of the virus. Emergency support under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument will substantially contribute to filling immediate external financing needs and help catalyze donor support. Temporarily loosening macroeconomic and financial policies will mitigate the pandemic’s adverse impact, by deploying a vaccination campaign, increasing health and social spending, and supporting the private sector. Prioritizing the health response, strengthening coordination and transparency to ensure that funds received are spent on fighting the pandemic, and regularly and transparently reporting epidemiological data will be critical for the plan’s success.

"Maintaining fiscal and debt sustainability, and preserving financial stability, while supporting the economy, will also be important. Closely monitoring the banking system’s health in light of increased banking sector vulnerabilities will be key.

"Once the crisis abates, the authorities appropriately intend to resume implementing reforms to achieve sustainable and inclusive growth. Their broader policy and reform agenda includes fiscal reforms to avoid domestic arrears and pay tax refunds on time, increasing support for education and health spending, and improvements to the business climate."
Siyo ku double ni kuweka rehani resource zetu. Ogopa.
 
Sidhani kama hata wanaamini kama kuna sekta zilizokwama kwa ajili ya corona....ingekuwa hivyo si wangeachana na tozo ili iwe ndio nafuu ya Wananchi kwa mdororo wa kiuchumi?.
Huo ndio ukweli...Corona wanaiimba tu wakitaka mikopo, lakini wala hawaamini kama ipo... mama mwenyewe juzi umemsikia anauliza kama watu wachanje wasichanje? Wakati alituaminisha kuwa tumuunge mkono tuchanje.
 
Hii nchi ..yani tumekopa wastani wa trilioni 1 kila mwezi na bado tozo zimeongezwa kila sehem sasa pesa zote hizo zinaenda wapi!? Hawa maccm ni kama chuma ulete dawa ni Katiba mpya Ili tuwafurushe madarakani maana wamefeli kila sehem.mama yuko busy na maigizo
Katiba mpya si dawa! Katiba za nchi zinasimamishwaga. Lazima tutafute kiini cha matatizo, mimi nafikiri tatizo kubwa ni umaskini. Rais atakayefanikiwa kuondoa umaskini au kuwapa wananchi unafuu wa maisha- afya bora, maji yanapatikana , watoto wanaenda shule, vijana wanashughuli za kuwaingizia kipato, vijana wanaenda sekondari na vyuo vikuu, wazee wanapata matibabu ya bure, wafanyibiashara wanafanyabiashara bila kubugudhiwa, wawekezaji wanakuja kuwekeza, fedha inazunguka mikononi mwa wazawa- ndio muhimu zaidi. Nchi yetu ijikite kuondoa umaskini . Katiba mpya ni muhimu katika kupunguza madaraka ya Rais- na kuunda tume huru ya uchaguzi. Sidhani kama mtu wa hali ya chini hicho ndio kipaumbele chake cha kila siku.
 
Katiba mpya si dawa! Katiba za nchi zinasimamishwaga. Lazima tutafute kiini cha matatizo, mimi nafikiri tatizo kubwa ni umaskini. Rais atakayefanikiwa kuondoa umaskini au kuwapa wananchi unafuu wa maisha- afya bora, maji yanapatikana , watoto wanaenda shule, vijana wanashughuli za kuwaingizia kipato, vijana wanaenda sekondari na vyuo vikuu, wazee wanapata matibabu ya bure, wafanyibiashara wanafanyabiashara bila kubugudhiwa, wawekezaji wanakuja kuwekeza, fedha inazunguka mikononi mwa wazawa- ndio muhimu zaidi. Nchi yetu ijikite kuondoa umaskini . Katiba mpya ni muhimu katika kupunguza madaraka ya Rais- na kuunda tume huru ya uchaguzi. Sidhani kama mtu wa hali ya chini hicho ndio kipaumbele chake cha kila siku.
Point ila sasa huo umaskini tutauondoaje ingali serikali iliyotuongoza miaka 60 imeshindwa kutuondolea umaskini na bado wanang'ang'ania madaraka!!!?bila Katiba mpya itakayo tupatia tume huru ya uchaguzi nadhani umaskini utatutafuna mpaka kiama.
 
Kukopa muhimu ila mkopo huu karibu Tilioni 1 plus ni WA masharti nafuu na unalenga kukuza uchumi.

Pili utaleta nafuu unadhani kukibana mkanda ni mchezo mkuu.Binafsi nimefurahia Cha msingi tuu tuuelekeze kwenye sekta zalishi
Mjinga tu ndo anaweza kufurahi, CCM na maendeleo wapi na wapi?
Zaidi kila leo ni tozo tozo.
 
Hii mikopo huko tuendako kutaanzishwa tozo yakupumua ili tulipe madeni,sio kwa ukopaji huu ths z too much!
Deni la taifa kwa Sasa n zaidi ya 70trln na bado tunaendelea kukopa huku tunaongeza tozo zakizalendo!
 
Hizo Tozo za madilu zinaenda wapi??
Kama kila mwizi msaada na mikopo.
Hunaweza kuta hata mishahara ya wafanya kazi tunakopa.
Hii ni Anguko kubwa kwa taifa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sasa kama tozo kwa mwezi haifiki billion arobaini kwa mwezi, ikimaanisha kwa mwaka ni wastani wa bilioni miatano. Sasa bilioni miatano kwa mipango ya nchi nayo ni pesa ya kupigia kelele namna hyo
 
Sasa wewe chanjo imekupa shida gani? Sharti ni kuthibitisha ulivyoathirika na covid na hatua ulizochukua ndio hapo unaona cases lazima uzirekodi plus vifo.

Bahati nzuri hiyo unayodai kulazimishiwa chanjo sio ya kununua ni bure.

Kwanza tumechelewa Sana Kenya,Rwanda na Uganda nk wameshachukua hizo pesa mara mbili mbili.
Ni za bure ama kuna kuzirudisha?
 
Hii nchi ..yani tumekopa wastani wa trilioni 1 kila mwezi na bado tozo zimeongezwa kila sehem sasa pesa zote hizo zinaenda wapi!? Hawa maccm ni kama chuma ulete dawa ni Katiba mpya Ili tuwafurushe madarakani maana wamefeli kila sehem.mama yuko busy na maigizo
Tatizo tunaotaka kuwakabidhi nchi wamekimbilia kwa hao wanaotupa hii mikopo.. Kiufupi sioni ukombozi wowote kutoka upinzani.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom