Siyo pa kutokea bali hao jamaa, sijui kama wanafikiria mbeleNaona apo mwisho una tafuta pa kutokea ..
sijui itakuaje
1 KSH <===> 22 TSH.Taifa kubwa lenye watu wanakufa kwa njaa, nchi inategemea chakula cha msaada, Nairobi haina MAJI?. Unajua maana ya Taifa kubwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo $190milion aliomba kwa ajili ya nini.Mabeberu yamemnyima Magu $190mil,so ukweli ni kwamba hata yeye anatamani mkopo wa mabeberu ila shida ni kwamba wamemnyima mpunga.
Aliomba mpunga wa kupambama na Covid,kumbe hela mabeberu ni tamu eeh?Hiyo $190milion aliomba kwa ajili ya nini.
Unajua tusitetee ujinga kisa humpendi Magufuli.
Yeye alishauri IMF ifute madeni kwa nchi zinzoendelea ili zile hela za marejesho zitumike kubust uchumi na kupambana na corona, hili hata mgombea urais wa Democratic ameshauri hivyo pia!
Kama walimnyima hizo bora maana wamempumguzia mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kiko wapi? Waliokopeshwa ndio hao wanapumulia mashineAliomba mpunga wa kupambama na Covid,kumbe hela mabeberu ni tamu eeh?
... nimemjulisha anahitaji TZS 22 kununua KES 1.
Kwa Mfano 1KSH===22TSH inawasaidia nini wachemsha Mawe?1 KSH <===> 22 TSH.
Hahah MATAGA mnalamika mitandaoni eti ona nchi jirani zote zinapewa mikopo/grants sisi pekee yetu ndio tunanyimwa hahah pesa za mabeberu ni tamu sana.
... alyekuzidi kakuzidi tu! Acha kushupaza shingo.Kwa Mfano 1KSH===22TSH inawasaidia nini wachemsha Mawe?
Sijashupaza Shingo nimekuuliza tu Mkuu.... alyekuzidi kakuzidi tu! Acha kushupaza shingo.
1Rwandan Franc = 2.5 TZS... alyekuzidi kakuzidi tu! Acha kushupaza shingo.
Achana na mambo ya kenya mpuuzi wew. Badala ya kufikiri namna nzur ya kupambana kwenye hii uncertain health and economic situations mnaleta propaganda za kitoto dhidi ya taifa lingine.Hapo lumumba kuna vijana wa hovyo sana....ni upuuzi mtupu kila muda mbowe mmesahau adui yetu kwa ss ni corona.Usiwe mjinga mkuu! Tumia hicho kichwa kufikiri!
Wenye akili wanasema hilo shirika lingefuta madeni inayodai nchi masikini badala ya kukopesha tena.
Wewe unakuja na ujinga eti mikopo nafuu utarudisha mawe wakati nchi uchumi umeyumba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzidi kwa thamani ya pesa wakati watu hawana Chakula, unemployment is twice higher, Slums everywhere?... alyekuzidi kakuzidi tu! Acha kushupaza shingo.
Na 1KSH <===>1Japanese Yen,1 KSH <===> 22 TSH.
.... unemployment ni tatizo hadi Marekani; slums ninyi ndio hamna slums?Kuzidi kwa thamani ya pesa wakati watu hawana Chakula, unemployment is twice higher, Slums everywhere?
Sent using Jamii Forums mobile app
... naona unataka kubishana na yaliyo wazi; inafahamika duniani kote uchumi wa Kenya ndio uchumi bora na imara EA. Hilo nalo unataka ushahidi?Na 1KSH <===>1Japanese Yen,
kwa hiyo utajiri wa Japan ni sawa na utajiri wa Kenya?!!
Hivi we kibwengu unafikiri wanaokopesha hawajui tupo kwenye kipindi gani.Kwa taarifa yako rwanda na kenya ni moja ya nchi zilizosamehewa kulipa madeni kwa kipindi hiki.sis tuendelee na upuuzi wetu wa kufanya siasa za kilaghai tukifikiri corona ipo tanzania ni tofaauti na ya wenzetu.Usiwe mjinga mkuu! Tumia hicho kichwa kufikiri!
Wenye akili wanasema hilo shirika lingefuta madeni inayodai nchi masikini badala ya kukopesha tena.
Wewe unakuja na ujinga eti mikopo nafuu utarudisha mawe wakati nchi uchumi umeyumba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio inafanya Kenya isiwe na deni la 67% ya pato la taifa?... nimemjulisha anahitaji TZS 22 kununua KES 1.