... dunia nzima inafahamu uchumi wa Kenya ndio uchumi mkubwa na imara EA; hilo nalo unataka ushahidi?1Rwandan Franc = 2.5 TZS
Je Rwanda ni Taifa kubwa?
Tumia akili kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie jishaueni tu mfunge mipaka na tz, mtakula sana mawe... alyekuzidi kakuzidi tu! Acha kushupaza shingo.
... unataka kulinganisha uchumi wa Kenya na wenu?
Naona baada ya kula kiporo kwa Mbowe sasa umekuja kucheua hukuAchana na mambo ya kenya mpuuzi wew. Badala ya kufikiri namna nzur ya kupambana kwenye hii uncertain health and economic situations mnaleta propaganda za kitoto dhidi ya taifa lingine.Hapo lumumba kuna vijana wa hovyo sana....ni upuuzi mtupu kila muda mbowe mmesahau adui yetu kwa ss ni corona.
Ndio hatuna slums..... unemployment ni tatizo hadi Marekani; slums ninyi ndio hamna slums?
Na dunia nzima inafahamu Kenya inaweza kuuzwa kwa sababu ya madeni hapa EA... naona unataka kubishana na yaliyo wazi; inafahamika duniani kote uchumi wa Kenya ndio uchumi bora na imara EA. Hilo nalo unataka ushahidi?
Tumalize kwanza la' Exchange rate" ambayo uliitumia kuonyesha kwamba Kenya ni Taifa kubwa. Umegundua kwamba hujui unalozungumza?... dunia nzima inafahamu uchumi wa Kenya ndio uchumi mkubwa na imara EA; hilo nalo unataka ushahidi?
UmeshapanicHivi we kibwengu unafikiri wanaokopesha hawajui tupo kwenye kipindi gani.Kwa taarifa yako rwanda na kenya ni moja ya nchi zilizosamehewa kulipa madeni kwa kipindi hiki.sis tuendelee na upuuzi wetu wa kufanya siasa za kilaghai tukifikiri corona ipo tanzania ni tofaauti na ya wenzetu.
... weka facts hapa acha maneno.Na dunia nzima inafahamu Kenya inaweza kuuzwa kwa sababu ya madeni hapa EA
Sent using Jamii Forums mobile app
... exchange rate ulikuwa mfano mdogo tu wa kuanzia katika mingi kuonesha "ufalme" wa Kenya kiuchumi EA. Kwa hiyo unataka kubisha kwamba Kenya hawajawazidi au?Tumalize kwanza la' Exchange rate" ambayo uliitumia kuonyesha kwamba Kenya ni Taifa kubwa. Umegundua kwamba hujui unalozungumza?
Sent using Jamii Forums mobile app
... kelele tu without facts; provide facts and figures.
... dunia nzima inafahamu uchumi wa Kenya ndio uchumi mkubwa na imara EA; hilo nalo unataka ushahidi?
Mkisikia jina Mbowe lazima mtoe maushuzi sio mwenyekiti wala viroboto wake.Sijui lini ataitisha press conference amtoe jamaa Mapangoni
Kutumia Exchange rate, maana yake Zambia ndio Taifa kubwa katika ukanda wote huu, ikifuatiwa na Ethiopia. Tunakubaliana?... exchange rate ulikuwa mfano mdogo tu wa kuanzia katika mingi kuonesha "ufalme" wa Kenya kiuchumi EA. Kwa hiyo unataka kubisha kwamba Kenya hawajawazidi au?
Ipo tofauti ndogo kati ya I.M.F na mabeberu(imperialists)... IMF kuionya Kenya haina maana Tanzania iko pazuri. Kama uchumi wa taifa kubwa kama Kenya ukidorora wa Tanzania utakuwa mahututi bin taabani! By the way IMF si mabeberu? Tangu lini umeanza kuyaamini mabeberu? Au kwa kuwa wametamka kile ambacho sikio lako linafura kukisikia?
Umeambiwa Kenya deni lake ni 67% ya pato la taifa, unataka fact gani sasa mkuu?... kelele tu without facts; provide facts and figures.
... IMF kuionya Kenya haina maana Tanzania iko pazuri. Kama uchumi wa taifa kubwa kama Kenya ukidorora wa Tanzania utakuwa mahututi bin taabani! By the way IMF si mabeberu? Tangu lini umeanza kuyaamini mabeberu? Au kwa kuwa wametamka kile ambacho sikio lako linafura kukisikia?
Yani leo mnasikiliza DW na kuamini taarifa za IMF ambao mnawaita mabeberu. Kweli hi ni nyumbu za lumumba.