Hata deni langu halimo mimi kama mfanyabiashara ninayeidai serikali.Nilicho soma kwa kiingereza chetu ni Deni tulilokopeshwa na "ifm", hivyo madeni kama tumekopa stanbic, Barca, afdb, hayamo
Haters wa mama Samia wakati mwingine wanakuwa kama wanafirimbwaaa, wamejaa ujinga ujinga tu!!Wazungu wajanja sana. Wanampaka mafuta mke wa Hafidhi kwa mgongo wa chupa.
Hakuna watu wanapata tabu Sasa kama haters wa Samia aisee. Poleni sanahizi data ni za kupikwa! upepo wa kisiasa unawahangaisha watu
🤣🤣🤣🤣🤣Tanzania ni nchi ya Watanzania si nchi ya Samia.Punguza upumbavu na upuuzi.
Nani analipa madeniTop 10 African countries with the highest debt to the IMF in Q4 of 2024
Rank Country Total IMF Credit Outstanding as of 09/27/2024 1. Egypt 9,450,430,014 2. Kenya 3,022,009,900 3. Angola 2,989,900,003 4. Ghana 2,245,321,000 5. Cote d'Ivoire 2,192,118,672 6. Democratic Republic of Congo 1,599,000,000 7. Ethiopia 1,313,857,500 8. South Africa 1,144,200,000 9. Cameroon 1,130,220,000 10. Senegal 1,105,595,000 Top 10 African countries with the highest debt to the IMF in Q4 of 2024
Several African countries have become very conversant with the International Monetary Fund (IMF), as they look to plug the holes in their economiesafrica.businessinsider.com
Hivi "Hafidhi" mwenyewe ulisha mwona!Wazungu wajanja sana. Wanampaka mafuta mke wa Hafidhi kwa mgongo wa chupa.
Naona CCM imeanza kampeni ya uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji kwa kishindo!
Vipi hayo ni madeni mbali na deni la Taifa?
Out of main point, ndiyo maana huwa nasema chadema ni wepesi sana, and useless, sipo chama chochote, lakini acha CCM iendelee tu, mpaka tutakapoona au watokee wenye akili ndani ya chama kingine!Hivi "Hafidhi" mwenyewe ulisha mwona!
Weka picha yake nasi tuione, basi!
Wewe upo jikoni unakula, sisi unakula sisi unaendelea kutufikia Air condition ili tuendelee kupata kaupepo kazuri then tujisahauTanzania tuko vizuri
KILA WAKATI NIMEKUWA NIKIHUBIRI HAPA TANZANIA HATA KATIKA NCHI 20 ZINAZODAIWA AFRIKA HAIPO, WATU WABISHI, KU GOOGLE HAWATAKI, KUFANYA RESEACH MBALI MBALI HAWATAKI, YAMENGANGANA (nchi itauzwa hii)
-Labda tuanze sasa kukopa!
Tukope na tujenge miradi ambayo, haita hitaji ukarabati kwa miaka 30+,mfano, barabara za concrete! Ukijenga umemaliza, ije mvua ije kimbunga!
N. B, USIKOPE MKOPO AMBAO NDANI YA MUDA MFUPI UTAANZA KUKUGHARIMU FEDHA ZA SERVICE NEVER DO THAT SHITS!,
Mkuu kwa hiyo Ndugai Supika mstaafu alikuwa anasema Uongo?KILA WAKATI NIMEKUWA NIKIHUBIRI HAPA TANZANIA HATA KATIKA NCHI 20 ZINAZODAIWA AFRIKA HAIPO, WATU WABISHI, KU GOOGLE HAWATAKI, KUFANYA RESEACH MBALI MBALI HAWATAKI, YAMENGANGANA (nchi itauzwa hii)
-Labda tuanze sasa kukopa!
Tukope na tujenge miradi ambayo, haita hitaji ukarabati kwa miaka 30+,mfano, barabara za concrete! Ukijenga umemaliza, ije mvua ije kimbunga!
N. B, USIKOPE MKOPO AMBAO NDANI YA MUDA MFUPI UTAANZA KUKUGHARIMU FEDHA ZA SERVICE NEVER DO THAT SHITS!,
Let me dig up!View attachment 3158317View attachment 3158318
African countries with the highest debt to the World Bank's IDA
Nigeria has been ranked as the largest debtor in Africa and the third-largest globally to the World Bank’s International Development Association (IDA)africa.businessinsider.com
Ni watu wakujitekenya na kucheka wenyewe tu, nchi Ina madeni balaa. IMF haitoi hela kirahisi kwa nchi maskini kuna proper risk assessment inafanyika.
Ukitaka kuona ukubwa wa deni la Tanzania tafuta data za WB ni wadaiwa wakubwa kwa nchi maskini sio Africa tu, bali duniani tupo kwenye top ten.