Cruel conman
Member
- Jan 29, 2024
- 34
- 118
Kuna siku unaota mpaka unashangaa mbona unaota vitu vikubwa namna hii,
1. Ghafla mihimili imeanza kufanya kazi kama katiba inavyotaka ikiwa pamoja na kuwajibishana na sio kukutana mara kwa mara bila sababu za msingi za kikatiba
2. Nikaota tena kuwa Wetangula ndio spika wa bunge la nchi hiyo na akina Junet na wenzake ndio wabunge wa bunge la nchi hiyo
3. Hatimaye asubuhi ikafika nikaamka usingizini.
1. Ghafla mihimili imeanza kufanya kazi kama katiba inavyotaka ikiwa pamoja na kuwajibishana na sio kukutana mara kwa mara bila sababu za msingi za kikatiba
2. Nikaota tena kuwa Wetangula ndio spika wa bunge la nchi hiyo na akina Junet na wenzake ndio wabunge wa bunge la nchi hiyo
3. Hatimaye asubuhi ikafika nikaamka usingizini.