Impeachment iliyofanyika Kenya jana ilitakiwa iwe imeshafanyika nchi fulani

Impeachment iliyofanyika Kenya jana ilitakiwa iwe imeshafanyika nchi fulani

Kuangukia pua chama lako!na kushikana mashati wagombea wa Chama lako! Ubwabwa mtakula safari hii na mjomba wako Mwashambwa!
Let me confirm to you without fear of contradictions,

Gentleman,
kwa uchawi, ramli chonganishi, kutoa kafara na kuchukuana misukule huwezi pata uongozi ng'o karne hii ya sayansi na teknologia..

hala hakuna muujiza kwenye hilo.
huna sera nzuri, huna mipango mikakati miziri, si mgombea makini na unae kubalika, kazi unalalamika tu, nani atakuchagua unadhani? 🤣

haya mambo ni kujipanga vizuri tu gentleman, kwa hekima na busara mtangulize Mungu bila manung'uniko na hatimae Neema na Baraka za Mungu zinakuwezesha kua kiongozi ndani ya jamii mahalia 🐒
 
Huku kiongozi mkuu nasema kifo kama kile ni kitu cha kawaida eti "kifo ni kifo tu"
Mikuu; nadhani umeisoma katiba ya JMT na nadhani pia, kwa mchango wako huu, unaijua katiba ya Kenya.

Unaona kuna uwezekano wa impeachment hapo? Au ndo ni kutoa mchango tu?
 
Yaan hii Avatar nimeiona zamani ikisapoti vitu visivyojulikana na vya uchochezi. Na bado inaendelea na uchochezi. Miaka hiyo niliona ikiandika, CCM kumfia Kikwete. Nilishituka sana. Nikafikiri ni kweli. Kumbe ni upuuzi tu.

Mara nikaona inasaporti kuwa Lowasa ni fisadi kweli. Lakin baadae nikaona inasapoti Lowasa ndio mgombea na Rais wa Tanzania. Nikaona tena ni upuuzi.

Juzi juzi nimeiona inasapoti maneno ya Lissu ya uongo kuwa Makonda alishiriki kutaka kumuua.Badala aongelea kwann maandamano yamefaili.

Hakika nimeelewa upinzani bongo ni mihemko na uigizaji kama kaore group.
Kwani ni uongo ???Makonda na Magufuri walitaka kumpoteza Tundu Lissu ili nchi hii iongozwe na familia zao tu.
 
Yako ndio boraa?
sio bora tu gentleman,

bali pia ni nzuri na ya kuvutia sana kwa mataifa ya ulimwengu kuja kujifunza na kuchota maarifa, uzoefu ili hatimae wainjoy matunda muhimu kama vile Amani inayotokana na uzuri wa katiba na mfumo mzuri wa uongozi🐒
 
sio bora tu gentleman,

bali pia ni nzuri na ya kuvutia sana kwa mataifa ya ulimwengu kuja kujifunza na kuchota maarifa, uzoefu ili hatimae wainjoy matunda muhimu kama vile Amani inayotokana na uzuri wa katiba na mfumo mzuri wa uongozi🐒
Mfumo wa Zanzibar kuitawala Tanganyika.
 
Kwani ni uongo ???Makonda na Magufuri walitaka kumpoteza Tundu Lissu ili nchi hii iongozwe na familia zao tu.
Ni uongo kabisa. Toka CDM waende mwembe Yanga na kusema kuwa Lowasa ni fisadi na akaja kuwa mgombea urais wa CDM naona kama ni wahuni tu na wazushi. Kadiri muda unavyoenda wanazid kudharaulika.
 
sio bora tu gentleman,

bali pia ni nzuri na ya kuvutia sana kwa mataifa ya ulimwengu kuja kujifunza na kuchota maarifa, uzoefu ili hatimae wainjoy matunda muhimu kama vile Amani inayotokana na uzuri wa katiba na mfumo mzuri wa uongozi🐒
Watakao kuja ni mateja pekee hata wale wa colombia huta waona au wale wa mexico.
 
Kuna siku unaota mpaka unashangaa mbona unaota vitu vikubwa namna hii,

1. Ghafla mihimili imeanza kufanya kazi kama katiba inavyotaka ikiwa pamoja na kuwajibishana na sio kukutana mara kwa mara bila sababu za msingi za kikatiba

2. Nikaota tena kuwa Wetangula ndio spika wa bunge la nchi hiyo na akina Junet na wenzake ndio wabunge wa bunge la nchi hiyo

3. Hatimaye asubuhi ikafika nikaamka usingizini.
Lenye mwanzo lina mwisho, freedom is coming tomorrow.
 
Yaan hii Avatar nimeiona zamani ikisapoti vitu visivyojulikana na vya uchochezi. Na bado inaendelea na uchochezi. Miaka hiyo niliona ikiandika, CCM kumfia Kikwete. Nilishituka sana. Nikafikiri ni kweli. Kumbe ni upuuzi tu.

Mara nikaona inasaporti kuwa Lowasa ni fisadi kweli. Lakin baadae nikaona inasapoti Lowasa ndio mgombea na Rais wa Tanzania. Nikaona tena ni upuuzi.

Juzi juzi nimeiona inasapoti maneno ya Lissu ya uongo kuwa Makonda alishiriki kutaka kumuua.Badala aongelea kwann maandamano yamefaili.

Hakika nimeelewa upinzani bongo ni mihemko na uigizaji kama kaore group.
Kwa hiyo ulitaka jaribio la kuua lifanyike kwako ili uamini!?
 
Back
Top Bottom