Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Let me confirm to you without fear of contradictions,Kuangukia pua chama lako!na kushikana mashati wagombea wa Chama lako! Ubwabwa mtakula safari hii na mjomba wako Mwashambwa!
Mikuu; nadhani umeisoma katiba ya JMT na nadhani pia, kwa mchango wako huu, unaijua katiba ya Kenya.Huku kiongozi mkuu nasema kifo kama kile ni kitu cha kawaida eti "kifo ni kifo tu"
Kwani ni uongo ???Makonda na Magufuri walitaka kumpoteza Tundu Lissu ili nchi hii iongozwe na familia zao tu.Yaan hii Avatar nimeiona zamani ikisapoti vitu visivyojulikana na vya uchochezi. Na bado inaendelea na uchochezi. Miaka hiyo niliona ikiandika, CCM kumfia Kikwete. Nilishituka sana. Nikafikiri ni kweli. Kumbe ni upuuzi tu.
Mara nikaona inasaporti kuwa Lowasa ni fisadi kweli. Lakin baadae nikaona inasapoti Lowasa ndio mgombea na Rais wa Tanzania. Nikaona tena ni upuuzi.
Juzi juzi nimeiona inasapoti maneno ya Lissu ya uongo kuwa Makonda alishiriki kutaka kumuua.Badala aongelea kwann maandamano yamefaili.
Hakika nimeelewa upinzani bongo ni mihemko na uigizaji kama kaore group.
Yako ndio boraa?katiba yao mbovu inawasulubisha wao wenyewe...
watu wanaalikwa kwenye public participation ya kumbandua naibu wa Rais, eti watu wanachant Ruto Must go 🤣
Hiyo ni useless 🐒
sio bora tu gentleman,Yako ndio boraa?
Mfumo wa Zanzibar kuitawala Tanganyika.sio bora tu gentleman,
bali pia ni nzuri na ya kuvutia sana kwa mataifa ya ulimwengu kuja kujifunza na kuchota maarifa, uzoefu ili hatimae wainjoy matunda muhimu kama vile Amani inayotokana na uzuri wa katiba na mfumo mzuri wa uongozi🐒
Gentleman,Mfumo wa Zanzibar kuitawala Tanganyika.
Ni uongo kabisa. Toka CDM waende mwembe Yanga na kusema kuwa Lowasa ni fisadi na akaja kuwa mgombea urais wa CDM naona kama ni wahuni tu na wazushi. Kadiri muda unavyoenda wanazid kudharaulika.Kwani ni uongo ???Makonda na Magufuri walitaka kumpoteza Tundu Lissu ili nchi hii iongozwe na familia zao tu.
Watakao kuja ni mateja pekee hata wale wa colombia huta waona au wale wa mexico.sio bora tu gentleman,
bali pia ni nzuri na ya kuvutia sana kwa mataifa ya ulimwengu kuja kujifunza na kuchota maarifa, uzoefu ili hatimae wainjoy matunda muhimu kama vile Amani inayotokana na uzuri wa katiba na mfumo mzuri wa uongozi🐒
watakao husika nayo ni waTanzania pekee na si vinginevyo gentleman 🐒Watakao kuja ni mateja pekee hata wale wa colombia huta waona au wale wa mexico.
Lenye mwanzo lina mwisho, freedom is coming tomorrow.Kuna siku unaota mpaka unashangaa mbona unaota vitu vikubwa namna hii,
1. Ghafla mihimili imeanza kufanya kazi kama katiba inavyotaka ikiwa pamoja na kuwajibishana na sio kukutana mara kwa mara bila sababu za msingi za kikatiba
2. Nikaota tena kuwa Wetangula ndio spika wa bunge la nchi hiyo na akina Junet na wenzake ndio wabunge wa bunge la nchi hiyo
3. Hatimaye asubuhi ikafika nikaamka usingizini.
Kwa hiyo ulitaka jaribio la kuua lifanyike kwako ili uamini!?Yaan hii Avatar nimeiona zamani ikisapoti vitu visivyojulikana na vya uchochezi. Na bado inaendelea na uchochezi. Miaka hiyo niliona ikiandika, CCM kumfia Kikwete. Nilishituka sana. Nikafikiri ni kweli. Kumbe ni upuuzi tu.
Mara nikaona inasaporti kuwa Lowasa ni fisadi kweli. Lakin baadae nikaona inasapoti Lowasa ndio mgombea na Rais wa Tanzania. Nikaona tena ni upuuzi.
Juzi juzi nimeiona inasapoti maneno ya Lissu ya uongo kuwa Makonda alishiriki kutaka kumuua.Badala aongelea kwann maandamano yamefaili.
Hakika nimeelewa upinzani bongo ni mihemko na uigizaji kama kaore group.