unamsingizia gentleman,Zakayo ni tapeli, anaandaa mpango muswada upelekwe bungeni ili kuongeza muda wa term ya urais kutoka 5 iwe 7. nachelea huku wanaweza kucopy na kupaste.
MUNGU MWENYEZI amsaidie ashinde mimi kama mwana maombi nasmama nayeKama CCM ilivyompandisha ndugu yetu Mwakubusi. Hakuna aliyekua anamfahama Ila CCM walimuweka ndani na watu maarufu, walipoona umaarufu wake unapungua, wakamuwekea pingamizi. Sasa hivi Ni rais wa TLS.
SASA hivi anasubiri kuchukua fomu ili achukue Jimbo la Mbeya mjini mwakani kiulaiiini.
kwa uchache sana, ni pamoja na hayaAnatuhuma gan kwani kaka maana nasikia tu hata sielewi ndugu
Bro wengine elimu zetu za madrrasa tafasiri kidogo kakakwa uchache sana, ni pamoja na haya
pole gentleman nadhani kiswahili hiki hapa πBro wengine elimu zetu za madrrasa tafasiri kidogo kaka
Duh naona kama kachezewa rafu kiaina na boss wakekwa uchache sana, ni pamoja na haya
Kosa lake kubwa ni lipi ? Sijafuatilia kabisaaAkiwa impeached ndio bas tena katika kujihusisha na siasa..
But pia akiwa impeached Lazima atakamatwa mara moja na kupelekwa mahakamani kujibu tuhuma zilizosabababisha kubanduliwa kwake...
Nadhani atajiuzulu na kisha kukimbilia uhamishoni π
ana tuhuma 9 nzito ikiwa ni pamoja na matumizi mabaya ya ofisi ya Naibu RAIS, ufisadi, ukabila, uchochezi na kumtisha boss wake na watumishi wa umma kwa uchache πKosa lake kubwa ni lipi ? Sijafuatilia kabisaa
Maiti za CCM hizi!!ni katiba yao mbovu ambayo wameitunga wao wenyewe na hivi sasa kwenye utekelezaji wao wenyewe wanaiona mbaya, ndilo hasa jambo ambalo limewavutia Africa Mashariki kufuatilia kinachoendelea Kenya ...
Gachagua anajulikana county ya Nyeri tu, na kwa sehemu kidogo sana maeneo machache mount Kenya...
hata hivyo,
tuhuma zinazomkabili ni nzito mno na matokeo yake ndicho hasa kinachosubiriwa kwa hamu na gamu.π
misukule wa no fear no hate unasema ati?πMaiti za CCM hizi!!