Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
unamsingizia gentleman,Zakayo ni tapeli, anaandaa mpango muswada upelekwe bungeni ili kuongeza muda wa term ya urais kutoka 5 iwe 7. nachelea huku wanaweza kucopy na kupaste.
ilikua ni maoni ya mbunge Fulani moja tu but yeye mwenyewe alishasema hawezi kua na mpango kama huo wa kubadilisha kipengele cha term ya miaka mi5 had 7🐒