X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,605
- 1,843
- Thread starter
- #21
this was only meant to bring some sense of humour.....mbona tena!!!! mistari??/
Ni kweli usemayo ndugu yangu, ila kumbuka kuwa...! Mtu mwovu hayawazii mema ya mtu yeyote kwa sababu haoni kitu ila kwa mujibu wa umbile la nafsi yake. Na siku zote kujiona kwamba yeye ni bora kuliko wengine.