"In God We Trust" msingi wa Taifa la Marekani

"In God We Trust" msingi wa Taifa la Marekani

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Waasisi wa taifa la Marekani walikuwa wakristo wa Kilokole

Maraisi wa mwanzo wa hilo taifa kama George Washington, Thomas Jefferson, John Adams, Quincy Adams, nk walikuwa walokole pure.

Hilo taifa lilikuwa na misingi ya Kilokole. Viongozi hawa walikuwa Wacha Mungu Sana.

Kutokana na hilo, wakaweka slogan Yao " In God We Trust " Kwenye sarafu Yao.

Sio hilo tu, huko nyuma ilikuwa lazima raia wa Marekani kulipa fungu la kumi Kanisani.

Ilikuwa tena ni lazima kila mwananchi kukalili amri kumi za Mungu. Makanisa ya Catholic, Anglican, Lutheran nk hayakupenya Sana Marekani. Wao waliamini Ulokole. Miongoni mwa makanisa ya Kilokole yaliyoshamiri Sana lilikuwa Kanisa la BAPTIST

Kutokana na hili, Mungu akalibariki Sana taifa la Marekani na by 1880, Marekani rasmi ikawa na Uchumi Mkubwa duniani.

Baraka hizi za Mungu Zilimiminika Sana kiasi kwamba gunduzi nyingi za Kisayansi na technology ziligundulika Marekani. Tumeshuhudia ugunduzi wa aeroplane, radio, TV, computer nk.

Cha ajabu Mdogomdogo kwa kadri muda Ulivyoendelea, Marekani wakaanza Kumuacha Mungu na kukaribisha Ushetani. Sasahivi Ushetani Unatisha Sana ndani ya taifa la Marekani.

Viongozi wameleta Sera za Kishetani Kupindukia. Taifa la Marekani liko hoi. Limezama kwenye shimo la dhambi.

Tushukuru, raisi Trump Ameahidi kulirudisha taifa kwa Mungu. Anapinga Sana Sera za Kishetani
 
Waasisi wa taifa la Marekani walikuwa wakristo wa Kilokole

Maraisi wa mwanzo wa hilo taifa kama George Washington, Thomas Jefferson, John Adams, Quincy Adams, nk walikuwa walokole pure.

Hilo taifa lilikuwa na misingi ya Kilokole. Viongozi hawa walikuwa Wacha Mungu Sana.

Kutokana na hilo, wakaweka slogan Yao " In God We Trust " Kwenye sarafu Yao.

Sio hilo tu, huko nyuma ilikuwa lazima raia wa Marekani kulipa fungu la kumi Kanisani.

Ilikuwa tena ni lazima kila mwananchi kukalili amri kumi za Mungu. Makanisa ya Catholic, Anglican, Lutheran nk hayakupenya Sana Marekani. Wao waliamini Ulokole. Miongoni mwa makanisa ya Kilokole yaliyoshamiri Sana lilikuwa Kanisa la BAPTIST

Kutokana na hili, Mungu akalibariki Sana taifa la Marekani na by 1880, Marekani rasmi ikawa na Uchumi Mkubwa duniani.

Baraka hizi za Mungu Zilimiminika Sana kiasi kwamba gunduzi nyingi za Kisayansi na technology ziligundulika Marekani. Tumeshuhudia ugunduzi wa aeroplane, radio, TV, computer nk.

Cha ajabu Mdogomdogo kwa kadri muda Ulivyoendelea, Marekani wakaanza Kumuacha Mungu na kukaribisha Ushetani. Sasahivi Ushetani Unatisha Sana ndani ya taifa la Marekani.

Viongozi wameleta Sera za Kishetani Kupindukia. Taifa la Marekani liko hoi. Limezama kwenye shimo la dhambi.

Tushukuru, raisi Trump Ameahidi kulirudisha taifa kwa Mungu. Anapinga Sana Sera za Kishetani
Kurudisha taifa kwa Mungu ni mdudu gani?
 
Waasisi wa taifa la Marekani walikuwa wakristo wa Kilokole

Maraisi wa mwanzo wa hilo taifa kama George Washington, Thomas Jefferson, John Adams, Quincy Adams, nk walikuwa walokole pure.

Hilo taifa lilikuwa na misingi ya Kilokole. Viongozi hawa walikuwa Wacha Mungu Sana.

Kutokana na hilo, wakaweka slogan Yao " In God We Trust " Kwenye sarafu Yao.

Sio hilo tu, huko nyuma ilikuwa lazima raia wa Marekani kulipa fungu la kumi Kanisani.

Ilikuwa tena ni lazima kila mwananchi kukalili amri kumi za Mungu. Makanisa ya Catholic, Anglican, Lutheran nk hayakupenya Sana Marekani. Wao waliamini Ulokole. Miongoni mwa makanisa ya Kilokole yaliyoshamiri Sana lilikuwa Kanisa la BAPTIST

Kutokana na hili, Mungu akalibariki Sana taifa la Marekani na by 1880, Marekani rasmi ikawa na Uchumi Mkubwa duniani.

Baraka hizi za Mungu Zilimiminika Sana kiasi kwamba gunduzi nyingi za Kisayansi na technology ziligundulika Marekani. Tumeshuhudia ugunduzi wa aeroplane, radio, TV, computer nk.

Cha ajabu Mdogomdogo kwa kadri muda Ulivyoendelea, Marekani wakaanza Kumuacha Mungu na kukaribisha Ushetani. Sasahivi Ushetani Unatisha Sana ndani ya taifa la Marekani.

Viongozi wameleta Sera za Kishetani Kupindukia. Taifa la Marekani liko hoi. Limezama kwenye shimo la dhambi.

Tushukuru, raisi Trump Ameahidi kulirudisha taifa kwa Mungu. Anapinga Sana Sera za Kishetani
Sijui unaongelea nn
au ndo una amka!?
 
Sawa mtumishi. Tumekusoma. Tukumbuke pia kwamba kushika amri za Mungu na maelekezo yake, lazima kuambatane na kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili tuweze kufanikiwa Kiroho na Kimwili.
 
Maraisi wa mwanzo wa hilo taifa kama George Washington, Thomas Jefferson, John Adams, Quincy Adams, nk walikuwa walokole pure.
Sio kweli, hawakuwa hata wakristo wengi wao wa hao founding fathers bali walikuwa deists,
Thomas Paine aliyehusika pakubwa kuanzisha movement ya uhuru wa Marekani alikuwa deist
Walioandika katiba ya Marekani hata dini zao hazijawahi kujulikana kwa uhakika kwa sababu hawakuwa wanaenda kanisani.
 
Hv ndio hao marais walokole waliokoleza unyanyasaji wa watu weusi amba ni uzao wa watumwa? Ndo hao waliwaua viongozi wa watu weusi waliopigania haki za wenzao?
 
Waasisi wa taifa la Marekani walikuwa wakristo wa Kilokole

Maraisi wa mwanzo wa hilo taifa kama George Washington, Thomas Jefferson, John Adams, Quincy Adams, nk walikuwa walokole pure.

Hilo taifa lilikuwa na misingi ya Kilokole. Viongozi hawa walikuwa Wacha Mungu Sana.

Kutokana na hilo, wakaweka slogan Yao " In God We Trust " Kwenye sarafu Yao.

Sio hilo tu, huko nyuma ilikuwa lazima raia wa Marekani kulipa fungu la kumi Kanisani.

Ilikuwa tena ni lazima kila mwananchi kukalili amri kumi za Mungu. Makanisa ya Catholic, Anglican, Lutheran nk hayakupenya Sana Marekani. Wao waliamini Ulokole. Miongoni mwa makanisa ya Kilokole yaliyoshamiri Sana lilikuwa Kanisa la BAPTIST

Kutokana na hili, Mungu akalibariki Sana taifa la Marekani na by 1880, Marekani rasmi ikawa na Uchumi Mkubwa duniani.

Baraka hizi za Mungu Zilimiminika Sana kiasi kwamba gunduzi nyingi za Kisayansi na technology ziligundulika Marekani. Tumeshuhudia ugunduzi wa aeroplane, radio, TV, computer nk.

Cha ajabu Mdogomdogo kwa kadri muda Ulivyoendelea, Marekani wakaanza Kumuacha Mungu na kukaribisha Ushetani. Sasahivi Ushetani Unatisha Sana ndani ya taifa la Marekani.

Viongozi wameleta Sera za Kishetani Kupindukia. Taifa la Marekani liko hoi. Limezama kwenye shimo la dhambi.

Tushukuru, raisi Trump Ameahidi kulirudisha taifa kwa Mungu. Anapinga Sana Sera za Kishetani
Kuna sera za kishetani zaidi ya utumwa/"slavery"? Watu weusi Marekani walishawahi kulipwa kutokana na utumwa?
Kuna ushetani zaidi ya genocide waliyofanyiwa wahindi wekundu ambao walikuwa wakazi wa America?
Kuna ushetani zaidi ya majaribio ya kisayansi ya kaswende waliyofanyiwa watu weusi kupitia Tuskegee Syphilis study?
Hata kama mnampenda Trump msimfanye yeye ni mtakatifu, masihi na mwokozi wa America na wagalatia wafia dini
 
Kutokana na hilo, wakaweka slogan Yao " In God We Trust " Kwenye sarafu Yao.
dollar_1560268180.jpg

🤣🤣🤣 they're fooling you
 
Back
Top Bottom