Mshana hadi hili[emoji1] [emoji1] [emoji119]... Nami nahitaji kuongea english slang, do you have a secret on that also?I have a secret rehab on that pls consult me
[emoji28] [emoji28] [emoji28]Hii mijamaa iki kutana kama mtu 3 hivi utasema ni umati wa watu 100.
Mi nigeria ni ina kelele balaa. Hayajuagi kuongea taratibu. Tehe Alaf wa nigeria wa mbele at tyms hujifanya hawana hyo accent.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] njoo na vumbi la Sai baba ikikata kona ya sahareMshana hadi hili[emoji1] [emoji1] [emoji119]... Nami nahitaji kuongea english slang, do you have a secret on that also?
Mweeeh mi naumwa jino[emoji28] [emoji28] [emoji28]kanifate basi ww kisha gharama utaongeza kwenye bill yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] njoo na vumbi la Sai baba ikikata kona ya sahare
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] masharti hayaruhusuMweeeh mi naumwa jino[emoji28] [emoji28] [emoji28]kanifate basi ww kisha gharama utaongeza kwenye bill yangu
Hello Linguists,
Abeg to ask for anyone down here to teach me the basics of nigerian english na'. I wish to learn how they dance with words so fantastically..
Please, tell me what can I do to be as perfect as they're even if it's a broken one... I have just started watching lots of their short films, parodies and comedy shows online, alike of these:
Please, can someone take me through to the mastery of the language?..
Hao ni Yorubas wana kelele sana, wengine ni wa kawawaida. Yoruba pia wanamaringo wanajiona wao ndio kila kitu.Hii mijamaa iki kutana kama mtu 3 hivi utasema ni umati wa watu 100.
Mi nigeria ni ina kelele balaa. Hayajuagi kuongea taratibu. Tehe Alaf wa nigeria wa mbele at tyms hujifanya hawana hyo accent.
I think Hausa's ndio wanajiona flan hivi...on my stay in UK & US i found Igbo's nd Yorubas are Ok and very friendly.Hao ni Yorubas wana kelele sana, wengine ni wa kawawaida. Yoruba pia wanamaringo wanajiona wao ndio kila kitu.
Yaani kama unavyosema lakini Yorubas ndio wamekwenda shule sana. Wanakelele kuna siku nilimuona mmoja anaongea pekeyake barabarani anatupa mikono juu kulia kama anagombana na mtu, nilikuwa nyuma yake, niliharakisha nikasema ulaya kichaa amevaa fresh hivi. Kumbe yuke kwenye simu na ameweka blue tooth.I think Hausa's ndio wanajiona flan hivi...on my stay in UK & US i found Igbo's nd Yorubas are Ok and very friendly.
Hao igbo's are like the brain of Nigeria kama unavyoona Wachagga hapa bongo. Wako very business oriented.
Hahaha the accent ndio inanifurahishaga sanaa....Yaani kama unavyosema lakini Yorubas ndio wamekwenda shule sana. Wanakelele kuna siku nilimuona mmoja anaongea pekeyake barabarani anatupa mikono juu kulia kama anagombana na mtu, nilikuwa nyuma yake, niliharakisha nikasema ulaya kichaa amevaa fresh hivi. Kumbe yuke kwenye simu na ameweka blue tooth.
NCHI ZINAZOZUNGUMZA LUGHA YA KIZUNGU BILA LAFUDHI YAKIKABILA MALAWI,ZAMBIA,KENYA,NA TANZANIAMmh!