Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna unalolijuaUkweli wake wa kupinga lowassa kugombea uraisi chadema ulimponza. RIP mtoi.
Kuna siku mtalipa yote mliyowatendea vijana wasio na hatia
Labda vinaiogopa CHADEMA maana huwa wanaanzisha propaganda CDM wameuana halafu wanakaa kimya. Unajiuliza Polisi wanavyoichukia CHADEMA wasikie kweli Mnyika anahusika wakae kimya?..kama alidhulumiwa basi HAKI itendeke.
..Sijui kwanini wanapodhulumiwa wana'Cdm vyombo vya dola huwa havichunguzi.
Aliitwa Regia Mtema.Maisha ni fumbo, sitakaa niamini kama vile vifo vilikua ni vya kawaida
Daah, huu mwezi alianza Mtoi siku ya J3 nikiwa njiani kutokea Zenji narudi Dar, baba yangu mzazi akanipigia simu kuwa tumeona kwenye taarifa rafiki yako amefariki nikamwambia ni kweli amefariki usiku siku ya Jumapili. wiki moja baadae tarehe 19 mwezi huo huo wa 9 siku ya Jmosi nikiwa tena njiani narejea Dar mishale ya saa 6 mchana baba yangu nae akavuta,. Ulikuwa mwezi wa majonzi makubwa sana kwangu. Halafu mwezi uliofuata wa 10 (October 25) taifa likapata msiba mwingine tena mkubwa na wa kihistoria,
Bonge la observationLabda vinaiogopa CHADEMA maana huwa wanaanzisha propaganda CDM wameuana halafu wanakaa kimya. Unajiuliza Polisi wanavyoichukia CHADEMA wasikie kweli Mnyika anahusika wakae kimya?
Dah, haukua msimu mzuri Kaka ila hapo mwisho ulivyomaliza sasaDaah, huu mwezi alianza Mtoi siku ya J3 nikiwa njiani kutokea Zenji narudi Dar, baba yangu mzazi akanipigia simu kuwa tumeona kwenye taarifa rafiki yako amefariki nikamwambia ni kweli amefariki usiku siku ya Jumapili. wiki moja baadae tarehe 19 mwezi huo huo wa 9 siku ya Jmosi nikiwa tena njiani narejea Dar mishale ya saa 6 mchana baba yangu nae akavuta,. Ulikuwa mwezi wa majonzi makubwa sana kwangu. Halafu mwezi uliofuata wa 10 (October 25) taifa likapata msiba mwingine tena mkubwa na wa kihistoria,
Pole sana KakaDaah, huu mwezi alianza Mtoi siku ya J3 nikiwa njiani kutokea Zenji narudi Dar, baba yangu mzazi akanipigia simu kuwa tumeona kwenye taarifa rafiki yako amefariki nikamwambia ni kweli amefariki usiku siku ya Jumapili. wiki moja baadae tarehe 19 mwezi huo huo wa 9 siku ya Jmosi nikiwa tena njiani narejea Dar mishale ya saa 6 mchana baba yangu nae akavuta,. Ulikuwa mwezi wa majonzi makubwa sana kwangu. Halafu mwezi uliofuata wa 10 (October 25) taifa likapata msiba mwingine tena mkubwa na wa kihistoria,