Kwa wale wenye uwezo wa kuona tbc ,imeanza kuonyesha historia ya mzee wetu kawawa na bday zak alizokuwa akifurahia na wajukuu na wanawe,...kwa kweli mungu amlaze mahali pema,kuna sehemu amenigusa amabayo hata nyerere akuwahi kusema hilo
alipoamua kuomba radhi kwa watanzania wote aliowafanyia vibaya bila kujua ama kwa sababu ya mazingira ya kazi,...
Eemola mlaze pema peponi ,leo hii wakuu wa nchi wa cchache wanakufa wakijua uchafu waliotutendea bila hata kuomba samahani,....nawatakia pole wafiwa jf n familly tuko nyuma yenu
bwana ametoa bwana ametwaa