kandukamo1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 1,058
- 689
Yaan kila kitu wasifiwe utafikiri Wema malaika Mungu mwenyewe anachukiwa na kupewa mawazo tofauti sembusee kibaraka wema aiiii
Anaonyesha anavyokula bata mpaka kuku wanaona wivu
Vipi dose imeishaaa ya kandoo
Hichi kipindi nakipenda sana sijawahi kukikosa.
Best siio kila kitu wivu ni mtazamo wake tu kutofautiana ni kawaida sana hata huwa haihusishi wivu ingekua hivo si pangekuwa pana chimbika na tusingeelewana
Toka llini uliisifia hii couple kwa chochote? Post zako zimejaa chuki tu dhidi yao. Wivu syndrome.comYaan kila kitu wasifiwe utafikiri Wema malaika Mungu mwenyewe anachukiwa na kupewa mawazo tofauti sembusee kibaraka wema aiiii
Huo ni wivu moja kwa moja usijitetee mdada. Lol.
Toka llini uliisifia hii couple kwa chochote? Post zako zimejaa chuki tu dhidi yao. Wivu syndrome.com
I feel sory for ua thinking ha ha imenibidi tu nicheke mana umenifurahisha loh nijitee kwa lipi sasa unataka tusifie ukitakacho tungekua tuna comment mawazo ya kufanana kusingekuwa na haja ya hii forum u wrote pointless kabisa acha ushabiki maandazi usilolijua ni sawa na usiku wa giza huku si instagramu wana kosifia eeh umenichekesha kwakweli jitee kwa hoja sio kukimbilia wivu hio ni symbol ya inferiority complex wewe too low honestly dont u ever quote me and tell me such idiotic comment
Huo ni wivu moja kwa moja usijitetee mdada. Lol.
Hichi kipindi nakipenda sana sijawahi kukikosa.
Wapuuzi kweli hawa watoto, naona wamevamia JF toka IG kulinda ngumi za uso anazopewa bibi yao. Hebu Dinazarde nisaidie kuiambia hii product ya IG huyo bibi at least safari hii ajitahidi walau aonyeshe vitu vya maana ambavyo hata familia ya kiafrika inaweza kuangalia.
Raha ya hiki kipindi huku kikiendelea na warumi aendelee na ban.
Hua unanipa raha sana humu aisee duuu
I feel sory for ua thinking ha ha imenibidi tu nicheke mana umenifurahisha loh nijitee kwa lipi sasa unataka tusifie ukitakacho tungekua tuna comment mawazo ya kufanana kusingekuwa na haja ya hii forum u wrote pointless kabisa acha ushabiki maandazi usilolijua ni sawa na usiku wa giza huku si instagramu wana kosifia eeh umenichekesha kwakweli jitee kwa hoja sio kukimbilia wivu hio ni symbol ya inferiority complex wewe too low honestly dont u ever quote me and tell me such idiotic comment