In my shoes cha Wema Sepetu on air soon

In my shoes cha Wema Sepetu on air soon

Narudia tena Wema ni mfano mzuri kwa wadada wasiokuwa na kitu kichwani lakini wanaweza kuishi kwa kutumia kiungo chao kilipo mwilini mwao.Ukibisha lete ushahidi wako.

Mkuu ulishamaliza kila kitu.. Kwamba darasa la saba na form four leavers role model wao ni Wema. Over
 
Baelezee mwayego Heaven on Earth maana wamekazana IG IG. Tuna uhuru wa kucoment anywhere. Give us a break alaaah.
We nae naona hata hujui ulisemalo una usiku wa giza uliza utolewe hizo tongotongo... mtu unaanzaje kukimbia IG ilhali Wema ndio habari ya mujini..

Bibi ni yule umemuacha kijijini kwenu.. bibi alikuzalia wazazi huyo Wema????? Guys give her a space

Tunashukuru kwa ushauri wa kipindi.. watakusikia watakufikia
 
Sorry for yourself yoooo (in nigerian voice).
I feel sory for ua thinking ha ha imenibidi tu nicheke mana umenifurahisha loh nijitee kwa lipi sasa unataka tusifie ukitakacho tungekua tuna comment mawazo ya kufanana kusingekuwa na haja ya hii forum u wrote pointless kabisa acha ushabiki maandazi usilolijua ni sawa na usiku wa giza huku si instagramu wana kosifia eeh umenichekesha kwakweli jitee kwa hoja sio kukimbilia wivu hio ni symbol ya inferiority complex wewe too low honestly dont u ever quote me and tell me such idiotic comment
 
Back
Top Bottom