Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Narudia tena Wema ni mfano mzuri kwa wadada wasiokuwa na kitu kichwani lakini wanaweza kuishi kwa kutumia kiungo chao kilipo mwilini mwao.Ukibisha lete ushahidi wako.
We nae naona hata hujui ulisemalo una usiku wa giza uliza utolewe hizo tongotongo... mtu unaanzaje kukimbia IG ilhali Wema ndio habari ya mujini..
Bibi ni yule umemuacha kijijini kwenu.. bibi alikuzalia wazazi huyo Wema????? Guys give her a space
Tunashukuru kwa ushauri wa kipindi.. watakusikia watakufikia
I feel sory for ua thinking ha ha imenibidi tu nicheke mana umenifurahisha loh nijitee kwa lipi sasa unataka tusifie ukitakacho tungekua tuna comment mawazo ya kufanana kusingekuwa na haja ya hii forum u wrote pointless kabisa acha ushabiki maandazi usilolijua ni sawa na usiku wa giza huku si instagramu wana kosifia eeh umenichekesha kwakweli jitee kwa hoja sio kukimbilia wivu hio ni symbol ya inferiority complex wewe too low honestly dont u ever quote me and tell me such idiotic comment
Sorry for yourself yoooo (in nigerian voice).
Hivi wewe ni wakiume?? Hizo lugha ni za kike ujue