Toa takwimu za waliojiandikisha na asilimia za matokeoCCM imeiba uchaguzi Zanzibar. Kwa nini Seif anakubali matokeo wakati kihesabu CUF ndiyo walioshinda? Angalia kura za watu waliojindikisha kupiga kura na waliopiga kura utaona kuna wizi uliotokea.
Again, kwa nini Seif anakubali matokeo wakati CUF ndiyo walioshinda. Seif ni kibaraka wa CCM.
Toa takwimu za waliojiandikisha na asilimia za matokeo
Kijana acha uongo aliesema mchi tumeipata kwa mapinduzi hatutaitoa kwa kipande cha karatasi hakuwa mzee karume usimsingizie mzee wa watu. Maneno hayo yamesemwa wakati wa utawala wa dr salimn amour ndani ya baraza la wawakilishi na mwana mama samiha suluhu wa ccm. Msiropokwe kama hamna data hamtakuwa na tofauti na ze utamu.Kauli mbiu ya CCM Zanzibar ni; "mapinduzi daima" na serikali ya Zanzibar inajulikana kama serikali ya mapinduzi! Na rais wake pia ni Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi. Katika hali hiyo utakubaliana nami ya kuwa serikali iliyowekwa na wananchi kwa kura, haiwezi kuitwa serikali ya mapinduzi. Ikumbukwe, marehemu Karume aliwahi kusema ya kuwa, madaraka yaliyopatikana kwa mtutu wa bunduki, huwezi kuyapoteza kwa makaratasi; akiwa na maana ya kura. Kwa kujua hilo, inaelekea maalimu Seif aliona vema akampisha mwana haramu apite.
Inaonekana Sokomoko ndiye uliyekubuhu kwa uongo. Samia wakati wa Utawala wa Salmin hakuwa Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi. Usizuliye watu. Utapazwa Bwana mdogo.Kijana acha uongo aliesema mchi tumeipata kwa mapinduzi hatutaitoa kwa kipande cha karatasi hakuwa mzee karume usimsingizie mzee wa watu. Maneno hayo yamesemwa wakati wa utawala wa dr salimn amour ndani ya baraza la wawakilishi na mwana mama samiha suluhu wa ccm. Msiropokwe kama hamna data hamtakuwa na tofauti na ze utamu.