Elections 2010 In Statistic CUF Imeshinda ZNZ

Toa takwimu za waliojiandikisha na asilimia za matokeo
 
Toa takwimu za waliojiandikisha na asilimia za matokeo

Seif keshakubali matokeo. Watu waliojindikisha ni wengi sana, lakini kwa mujibu wa CCM watu waliopiga kura ni wachache sana. Upo ushahidi wa kutosha, lakini kama kiongozi mkuu wa chama keshakubali matokeo, that mean even if we have a case, we have to agree on what he (Seif) said.
 
Kijana acha uongo aliesema mchi tumeipata kwa mapinduzi hatutaitoa kwa kipande cha karatasi hakuwa mzee karume usimsingizie mzee wa watu. Maneno hayo yamesemwa wakati wa utawala wa dr salimn amour ndani ya baraza la wawakilishi na mwana mama samiha suluhu wa ccm. Msiropokwe kama hamna data hamtakuwa na tofauti na ze utamu.
 
Inaonekana Sokomoko ndiye uliyekubuhu kwa uongo. Samia wakati wa Utawala wa Salmin hakuwa Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi. Usizuliye watu. Utapazwa Bwana mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…