In Tanzania, individuals do not overshadow party organs and structures

In Tanzania, individuals do not overshadow party organs and structures

Kile ninachofahamu Geza Ulole kuhusu siasa za Raila ni huwa anatamba sana ndani ya miungano, ajabu hata alivoungana na KANU mwaka wa 2008 hakuwa na azimio kama alivokuwa nayo kibaki kuunda chama cha DP. Kuungana kwake na KANU inadhihirisha alijibainisha na uongozi wa moi. unafiki huo wa kusema alichochea mass exodus kwenye KANU ni brain child ya raila sijui ingemsaidia vipi. Tena ni ajabu kinachotuwacha vinywa wazi ni kwa nini alisisitiza kibaki "tosha"? kwa nini hakuendeleza sera zake kwenye NDP/LDP.

Akaja na siasa za kuweka mikataba, inasemekana ana mikataba/MOU na wanasiasa wengi, kama Ngilu, marehemu wamalwa, nyachae, ukiongezea na mkataba aliyoweka saini na kibaki halafu malizia na ile alioweka na wanaofadhili vuguvugu la (MRC) ambao ni kundi imetengwa na viongozi na masheikh waasi kwenye uongozi wa dini ya kislamu kuleta maandamano, michafuko, na kuvuruga hali za siasa za kenya na viungani mwa mombasa to make kenya ungovernable. yes that is the logic behind raila's campaign, ambao ilitumika sana kwenye mataifa demokrasia za ghana na hata ivory coast na hivi maajuzi dikteta morsey wa misri ameweza kuingia madarakani. Ninachofurahi ni kama taifa kenya tumeweka misingi thabiti ya kisiasa, na hali ya political crisis inaosababishwa na jamii ya kimataifa katika matiafa ya afrika haiwezi kamwe kuweka madikteta kwenya urais.

ikija katika kujua party manifesto ya chama, tulikuwa na chama tawala cha kanu ambao ndio walikuwa na manifesto iliyotolewa ulaya, lakini kando na hayo taifa liliendelea kuharibiwa na ufisadi ukashamiri. Kwa sasa hatutaki viongozi ambao wanaongoza kwa vyeti kama MOU, manifesto nk, tunataka viongozi wakuwatumika wanachi.

Mwaka wa 2002, raila katika muungano wa Rainbow aliwahakikishia wakenya katiba mpya baada ya siku mia moja ya kuingia uongozini, je alitimiza hayo? lakini ahadi zake zimkuwa tu ni porojo za kupitisha wakati kwenye Kampeini. Nikimalizia, ni Raila ana rekodi ya kumuhondoa moi mamlakani au ni rainbow coalition?

Wewe mtu lazima nikuandame tu maana inapokuja kuhusu Raila, una kamtindo kakutaka kupotosha watu humu
jamvini. Ngoja nikujibu kabla Geza Ulole, hajaja hapa.

Raila hana ubinafsi na cha mno kukumbuka ni kwamba alienda kwenye huo muungano ile kuivunja KANU. Bila hio
mass exodus alosema Geza haingefanyika na KANU ingekua bado inatamba mpaka wa leo.

Pia unanishangaza kwa kua huelewi kwa nini Raila 'alimtosha' Kibaki!...That was for the benefit of Kenyans. The only way
KANU ingepigwa chini ni kwa vyama vyote vya upinzani kuongea kwa sauti moja! Kumbuka wakati huo kina Nyachae
walikua wanataka kugombania urais pia. Kwa hivyo kama Raila angalienda kivyake na LDP/NDP, Nyachae kivyake na FORD-People
na Kibaki na muungano wake, Uhuru Kenyatta aliyekua kinara wa KANU angalichukua urais kwa njia ya ulaini. Kwa hivyo
ujasiri wa Raila ndio ulosabibisha KANU kupigwa chini. Raila put the interests of the nation 1st, which was to break off
the yoke of KANU/Moi!

...kisha sielewi hoja ya jamii ya kimataifa imeingia vipi humu tena? I will leave it at that coz that is dead horse that you
have been flogging in a big number of your posts here at Jamiiforums. You are so fixated on it and I will leave you to
your own devices.

It is laughable that you can even say this...Kwa sasa hatutaki viongozi ambao wanaongoza kwa vyeti kama MOU, manifesto nk, tunataka viongozi wakuwatumika wanachi....and also this....Mwaka wa 2002, raila katika muungano wa Rainbow aliwahakikishia wakenya katiba mpya baada ya siku mia moja ya kuingia uongozini, je alitimiza hayo?

You know who resisted change in Kenya all this time and you have decided to bury your head in the sand on such
matters and chose to lie to sundry that Raila is the cause of Kenyans not getting the new katiba earlier. It was
Kibaki and his Mt. Kenya Mafia who wanted to preserve the Imperial Presidency with ethnic chauvanism (...read Kikuyu nation)

Toa hio lete nyengine!
 
Wewe mtu lazima nikuandame tu maana inapokuja kuhusu Raila, una kamtindo kakutaka kupotosha watu humu
jamvini. Ngoja nikujibu kabla Geza Ulole, hajaja hapa.

Raila hana ubinafsi na cha mno kukumbuka ni kwamba alienda kwenye huo muungano ile kuivunja KANU. Bila hio
mass exodus alosema Geza haingefanyika na KANU ingekua bado inatamba mpaka wa leo.

Pia unanishangaza kwa kua huelewi kwa nini Raila 'alimtosha' Kibaki!...That was for the benefit of Kenyans. The only way
KANU ingepigwa chini ni kwa vyama vyote vya upinzani kuongea kwa sauti moja! Kumbuka wakati huo kina Nyachae
walikua wanataka kugombania urais pia. Kwa hivyo kama Raila angalienda kivyake na LDP/NDP, Nyachae kivyake na FORD-People
na Kibaki na muungano wake, Uhuru Kenyatta aliyekua kinara wa KANU angalichukua urais kwa njia ya ulaini. Kwa hivyo
ujasiri wa Raila ndio ulosabibisha KANU kupigwa chini. Raila put the interests of the nation 1st, which was to break off
the yoke of KANU/Moi!

...kisha sielewi hoja ya jamii ya kimataifa imeingia vipi humu tena? I will leave it at that coz that is dead horse that you
have been flogging in a big number of your posts here at Jamiiforums. You are so fixated on it and I will leave you to
your own devices.

It is laughable that you can even say this...Kwa sasa hatutaki viongozi ambao wanaongoza kwa vyeti kama MOU, manifesto nk, tunataka viongozi wakuwatumika wanachi....and also this....Mwaka wa 2002, raila katika muungano wa Rainbow aliwahakikishia wakenya katiba mpya baada ya siku mia moja ya kuingia uongozini, je alitimiza hayo?

You know who resisted change in Kenya all this time and you have decided to bury your head in the sand on such
matters and chose to lie to sundry that Raila is the cause of Kenyans not getting the new katiba earlier. It was
Kibaki and his Mt. Kenya Mafia who wanted to preserve the Imperial Presidency with ethnic chauvanism (...read Kikuyu nation)

Toa hio lete nyengine!




Wewe kwanza mkuu mwenyezi mungu akulinde sana na akuzidishie baraka sana ndugu yangu, na hii line is quite contentious
Pia unanishangaza kwa kua huelewi kwa nini Raila 'alimtosha' Kibaki!...That was for the benefit of Kenyans.



wakati Raila na kundi la rainbow coalition waliweka kauli ya kuleta katiba mpya baada ya siku mia moja uongozini, walikuwa na jukumu ya kuhakikisha katiba imepitishwa maana ni ahadi waliotoa kwa kauli moja. Lakini samahani wafuasi wa raila kwa hii statement, RAILA NI KIONGOZI AMBAYE ANATENGENEZA NA KUILA KEKI YAKE MWENYEWE!! walipoingia madarakani, wakaja wakasahau ahadi zao na kama wazungu wanavosema, walipopata hayo madaraka, ikawa "business as usual" for Raila and Kibaki. Walitupa uadilifu wa kutumikia wananchi inje ya dirisha wakaanza kuunda miundo misingi au creating loopholes za kushikilia/consolidate madaraka na pia kuzozania pesa fedha za umma kujaribu kushibisha matumbo yao. Ikiwa Raila si mfisadi kama wengi wanavyosema, basi alijifunza ufisadi kutoka kuuungana kwake na KANU ambayo iliendeleza ufisadi. Ina maana Raila pia ni mfisadi kwa sababu alijiunga na chama tawala cha KANU akijua ilikuwa inaendeleza sera za ufisadi.

....Kuna msemo unaosema "Jeshi anapokwenda vitani, ni lazima atambua na kuisoma silaha atakayotumia katika vita" Raila ni kama Jenerali aliyekwenda kwenye vita bila kuzisoma silaha zake. Tena wenyewe mwajikologa ndimi kusema UASI wa Raila ndani ya KANU ulitekelezwa kwa sababu moi alimpaka mafuta UHURU! Ikiwa moi hakumpaka mafuta UHURU na kumtaja kama mrithi wa uongozi, wakati huu mungeleta hoja gani.

......Uongozi wa raila kiasili ina itikadi ya UASI, lazima mwenzangu mpendwa ukubali hayo licha ya kuwa ni kidonge chungu kumeza
!!

Tafadhali mtu yeyote asikudanganye, mageuzi ama change italetwa na raila, maana kama itikadi yake ingekuwa mageuzi, hata afisi ya PM ingekuwa imeleta mabadiliko kwenye masiha ya wakenya. Badala yake, imekuwa afisi ambayo umeendeleza ufisadi.

Kabla ya Raila kuwa waziri mkuu wa kulazimishwa na jamii ya kimataifa, alitumia muda mwingi kupigana mieleka na baadhi ya viongozi kutoka MT. Kenya licha ya kuwa alitunukiwa uwaziri na executive. Uhasama uliokuwa itakadi baada ya uhuru wa taifa kati ya jomo kenyatta na oginga odinga ulifufuliwa na ukaendelezwa serikalini. Ajabu hata baada ya raila kupewa Uwaziri Mkuu wa kulazimishwa, aliendeleza itikadi hii ambayo baba yake Odinga alieneza dhidi ya serikali ya kenyatta. Ndipo hata Rutashubanyuma akatutayarishia makala maalum inayoeleza haya yote.

Alichoshindwa kufanya cha msingi ni kujiuzulu kutoka uaziri kutangaza azma yake kama bi martha Karua alifanya miaka kadha iliyopita kama haswa hakutaka kushiriki katika ufisadi ya Serikali ya Kibaki.

Tunachoshuhudia ni katika dini ya uislamu, tunakuwa na imam na hata baadhi ya viongozi wengine wa kanisa la anglican ambao wanaendesha shughuli ya siasa wakiwa wamevalia makavasi ya dini, ambayo si msingi wa dini. Ninachofurahi na katiba ya sasa ni kwamba inatofautisha majukumu ya wanasiasa na wanaoendesha shughuli za dini. Mtu asipatikane pale ambao hapaswi kuwa, aidha ni kushughulikia maslahi ya dini au siasa.

Cha kusikitisha ametumia hiyo nyadhifa ya PM ambayo jamii ya kimataifa ilimlazimishia kueneza ufisadi, kuhunga mikono makundi yenye utata kama vuguvugu la MRC MYC nk. Kwa dunia ya sasa kila mtu awe wa dini gani au jamii gani kenya anastahili haki na heshima kutoka kwa serikali, lakini haki na heshima ya kutambuliwa kwa makundi au jamii yaliotengwa kiuchumi hata kisiasa haiji kwa kutekeleza mauaji kwa jamii zingine. In other words you do not sacrifice human life to get recognition or representation. Wale kwenye vuguvugu la MRC wanasisitiza hayo wanajua koran hata uislamu haufundishi hayo!!
 
Wewe kwanza mkuu mwenyezi mungu akulinde sana na akuzidishie baraka sana ndugu yangu, na hii line is quite contentious



wakati Raila na kundi la rainbow coalition waliweka kauli ya kuleta katiba mpya baada ya siku mia moja uongozini, walikuwa na jukumu ya kuhakikisha katiba imepitishwa maana ni ahadi waliotoa kwa kauli moja. Lakini samahani wafuasi wa raila kwa hii statement, RAILA NI KIONGOZI AMBAYE ANATENGENEZA NA KUILA KEKI YAKE MWENYEWE!! walipoingia madarakani, wakaja wakasahau ahadi zao na kama wazungu wanavosema, walipopata hayo madaraka, ikawa "business as usual" for Raila and Kibaki. Walitupa uadilifu wa kutumikia wananchi inje ya dirisha wakaanza kuunda miundo misingi au creating loopholes za kushikilia/consolidate madaraka na pia kuzozania pesa fedha za umma kujaribu kushibisha matumbo yao. Ikiwa Raila si mfisadi kama wengi wanavyosema, basi alijifunza ufisadi kutoka kuuungana kwake na KANU ambayo iliendeleza ufisadi. Ina maana Raila pia ni mfisadi kwa sababu alijiunga na chama tawala cha KANU akijua ilikuwa inaendeleza sera za ufisadi.

....Kuna msemo unaosema "Jeshi anapokwenda vitani, ni lazima atambua na kuisoma silaha atakayotumia katika vita" Raila ni kama Jenerali aliyekwendwa kwenye vita bila kuzisoma silaha zake. Tena wenyewe mwajikologa ndimi kusema UASI wa Raila ndani ya KANU ulitekelezwa kwa sababu moi alimpaka mafuta UHURU! Ikiwa moi hakumpaka mafuta UHURU na kumtaja kama mrithi wa uongozi, wakati huu mungeleta hoja gani.

......Uongozi wa raila kiasili ina itikadi ya UASI, lazima mwenzangu mpendwa ukubali hayo licha ya kuwa ni kidongo chungu kumeza

Tafadhali mtu yeyote asikudanganye, mageuzi ama change haitaletwa na raila, maana kama itikadi yake ingekuwa mageuzi, hata afisi ya PM ingekuwa imeleta mabadiliko kwenye masiha ya wakenya. Badala yake, imekuwa afisi ambayo umeendeleza ufisadi.

Kabla ya Raila kuwa waziri mkuu wa kulazimishwa na jamii ya kimataifa, alitumia muda mwingi kupigana mieleka na baadhi ya viongozi kutoka MT. Kenya licha ya kuwa alitunukiwa uwaziri na executive. Uhasama uliokuwa itakadi baada ya uhuru wa taifa kati ya jomo kenyatta na oginga odinga ulifufuliwa na ukaendelezwa serikalini. Ajabu hata baada ya raila kupewa Uwaziri Mkuu wa kulazimishwa, aliendeleza itikadi hii ambayo baba yake Odinga alieneza dhidi ya serikali ya kenyatta. Ndipo hata Rutashubanyuma akatutayarishia makala maalum inayoeleza haya yote.

Alichoshindwa kufanya cha msingi ni kujiuzulu kutoka uaziri kutangaza azma yake kama bi martha Karua alifanya miaka kadha iliyopita kama haswa hakutaka kushiriki katika ufisadi ya Serikali ya Kibaki.

Tunachoshuhudia ni katika dini ya uislamu, tunakuwa na imam na hata baadhi ya viongozi wengine wa kanisa la anglican ambao wanaendesha shughuli ya siasa wakiwa wamevalia makavasi ya dini, ambayo si msingi wa dini. Ninachofurahi na katiba ya sasa ni kwamba inatofautisha majukumu ya wanasiasa na wanaoendesha shughuli za dini. Mtu asipatikane pale ambao hapaswi kuwa, aidha ni kushughulikia maslahi ya dini au siasa.

Cha kusikitisha ametumia hiyo nyadhifa ya PM ambayo jamii ya kimataifa ilimlazimishia kueneza ufisadi, kuhunga mikono makundi yenye utata kama vuguvugu la MRC MYC nk. Kwa dunia ya sasa kila mtu awe wa dini gani au jamii gani kenya anastahili haki na heshima kutoka kwa serikali, lakini haki na heshima ya kutambuliwa kwa makundi au jamii yaliotengwa kiuchumi hata kisiasa haiji kwa kutekeleza mauaji kwa jamii zingine. In other words you do not sacrifice human life to get recognition or representation. Wale kwenye vuguvugu la MRC wanasisitiza hayo wanajua koran hata uislamu haufundishi hayo!!

This is what you call 'Spin'...hamna jipya.
 
don't waste ur time on this guy here he irritates for real one thing he should know RAO's patience is paying now and will be the President of Kenya though the Mumbi people will try every means to frustrate his smooth ascend into power
 
Geza Ulole, The fact that you cannot stomach anything other than odinga's nonsense this or that does not mean that every single kenyan is narrow-minded like you. It is never automatic that RAO will win the presidency, there has to be an election and a run-off..so instead of trying to yapp and screw the new kenyan forum like you and your friend Askari Kanzu, did with the international forum with toddler like rantings and vitriol, why not explain with soberness raila's chances of ultimately clinching his way past round one and through the run-off im march 2013.
 
Last edited by a moderator:
Geza Ulole, The fact that you cannot stomach anything other than odinga's nonsense this or that does not mean that every single kenyan is narrow-minded like you. It is never automatic that RAO will win the presidency, there has to be an election and a run-off..so instead of trying to yapp and screw the new kenyan forum like you and your friend Askari Kanzu, did with the international forum with toddler like rantings and vitriol, why not explain with soberness raila's chances of ultimately clinching his way past round one and through the run-off im march 2013.
Hivi wewe Kabaridi ni lazima unitaje ndio uone raha? Shauri yako sasa, safari hii lazima ukubali kutawaliwa na mjaluo. Hamna cha run-off wala nini. Umekwisha. Pole sana!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom