Kawe Alumni JF-Expert Member Joined Mar 20, 2019 Posts 8,685 Reaction score 12,000 Sep 19, 2019 #2 Ufisadi utazidi mara 1000 Mtunga sheria na mfanya maamuzi umlipe kidogo!!
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Sep 19, 2019 Thread starter #3 Mikocheni Junction said: Ufisadi utazidi mara 1000 Mtunga sheria na mfanya maamuzi umlipe kidogo!! Click to expand... Mmh akheri walimu walipwe mshahara mzuri . Sasa hivi judge mwenyewe anasema kuwa hukumu aliyotoa ni kwa maelezo kutoka juu
Mikocheni Junction said: Ufisadi utazidi mara 1000 Mtunga sheria na mfanya maamuzi umlipe kidogo!! Click to expand... Mmh akheri walimu walipwe mshahara mzuri . Sasa hivi judge mwenyewe anasema kuwa hukumu aliyotoa ni kwa maelezo kutoka juu
Kawe Alumni JF-Expert Member Joined Mar 20, 2019 Posts 8,685 Reaction score 12,000 Sep 19, 2019 #4 Ndio Nakwambia kama wanasiasa Kwa Sasa Ndio wanalipwa pesa ndefu na bado rushwa ipo Unafikiri wakipewa salary ndogo siwatauza nchi kabisa Sky Eclat said: Mmh akheri walimu walipwe mshahara mzuri . Sasa hivi judge mwenyewe anasema kuwa hukumu aliyotoa ni kwa maelezo kutoka juu Click to expand...
Ndio Nakwambia kama wanasiasa Kwa Sasa Ndio wanalipwa pesa ndefu na bado rushwa ipo Unafikiri wakipewa salary ndogo siwatauza nchi kabisa Sky Eclat said: Mmh akheri walimu walipwe mshahara mzuri . Sasa hivi judge mwenyewe anasema kuwa hukumu aliyotoa ni kwa maelezo kutoka juu Click to expand...
Huyu Mimi JF-Expert Member Joined Apr 16, 2019 Posts 2,575 Reaction score 2,117 Sep 19, 2019 #5 Mikocheni Junction said: Ndio Nakwambia kama wanasiasa Kwa Sasa Ndio wanalipwa pesa ndefu na bado rushwa ipo Unafikiri wakipewa salary ndogo siwatauza nchi kabisa Click to expand... Haha kwakwelii
Mikocheni Junction said: Ndio Nakwambia kama wanasiasa Kwa Sasa Ndio wanalipwa pesa ndefu na bado rushwa ipo Unafikiri wakipewa salary ndogo siwatauza nchi kabisa Click to expand... Haha kwakwelii