Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Wa kwetuuHumu wengi sisi bibi zenu na mama zenu
Vizuri kabisa
Life is complicatedunataka kutupa mchongo gani bwashee?
Kumbe mpo eehMimi na clue la 'wajuvi wa mambo' A Level yangu tupo humu. ID moja ni ya dini sana, ID nyingine mbili ni za teknolojia kule kwa kina Chief Mkwawa. Mimi nazurula sana jukwaa la kimataifa. Kuna mwingine siijui ID yake. Mimi washatafuta ID yangu hawaipati kabisa.
Wote hawa tuna 21 au 22. Kama kuna wengine siwajui kabisa. ID yangu ya zamani nishasahau hata jina lake
Dah!Nasoma comments tyuuuh.
Mtag tenaNajaribu kutag @coucastic
Hata we mdogo mwandiko unaonekanaNimeweza[emoji3][emoji3][emoji3]kweli usibague madogo utakosa vingi
ndiyo mchongo huuLife is complicated
Nimefanikiwa aiseeMtag tena
Sio mkubwa sana lakini huo umri mliotaja nilishapitaHata we mdogo mwandiko unaonekana
Stress kibao mtaani hivi CDM na CCM wanamaliza lini kampeni kwasababu sipendi siasa kinomandiyo mchongo huu
Dah!mi hapa najiona mdogo Ila miaka inakimbiaSio mkubwa sana lakini huo umri mliotaja nilishapita
Abee... Ila me mzee tayari nina 37, huu uzi haunifai