Kumbe huyo shunie mnamjua wengi
jamani[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Ooh!maskini uongo bana mbona miandiko yenu midogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu nilijua lazima uniquote tu
sana mkuu,yani hiyo pisi sio kwamba eti ni utani ila namkubali sana ana kila kitu nachotaka kwa mwanamke
Huyu shunie mi nilianza kumpenda Toka sijajiunga jf
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Jinga wewe
Una moto...hatari.
We uliiona wapi hiyo pisi lakini
Kwahiyo Kama mtu ana miaka 73 hivi haruhusiwi Humu!?
[emoji8]sasa hutaki niseme navokupenda ? kama kukupenda ni kosa basi nipewe kesi ya uhujumu uchumi
[emoji28]najua miguu yako,mgongo,mabega bado sura tu (usijitetee kama siku zote kwamba unafanana na baba ako)
Utapenda wangapi humu
Eeenh sura ya baba angu [emoji847]
Nimekuja 26 July hapaKwani we mupya eenh