Ina maana hii kozi imejaa??

Ina maana hii kozi imejaa??

July Fourth

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2012
Posts
2,240
Reaction score
795
Niliomba land management n valuation then ikawa eligible, to my suprise ni kwamba sasa hv haiko qualified.. Does that mean wa2 wamenishnda bahati au kiwango?
 
Sasa kama una 3 na wenzio wana 1 na 2,unategemea nin?
 
Niliomba land management n valuation then ikawa eligible, to my suprise ni kwamba sasa hv haiko qualified.. Does that mean wa2 wamenishnda bahati au kiwango?

kombinatn gan.....???
 
Yaani wewe hata hujui credits kwa higher learning zinahesabiwaje?
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
S=0.5
Angalia chuo kinahitaji minimum ya point ngapi (na hii ni tofauti kwa wanaume na wanawake). Ukishajua hii formulae utajua wapi uombe bila kuwa rejected (na kwenye girlfriend ukifika chuo use the same formula. Usihangaike na chakula cvha twiga manake hata chui hakiwezi!)
 
Yaani wewe hata hujui credits kwa higher learning zinahesabiwaje?
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
S=0.5
Angalia chuo kinahitaji minimum ya point ngapi (na hii ni tofauti kwa wanaume na wanawake). Ukishajua hii formulae utajua wapi uombe bila kuwa rejected (na kwenye girlfriend ukifika chuo use the same formula. Usihangaike na chakula cvha twiga manake hata chui hakiwezi!)
aisee naona ume-exaggurate
sidhani kama kuna mtu aliemaliza 6 na hafahamu namna ya kuhesabu hz points hadi wakati huu.. So potezea kama hukuelewa,.
Iyo kitu ilikuwa imekubali tayari so nilikuwa najaribu ku-connect nikadhani 1st selection wameshai-occupy
 
Jamani selection tayari zimefanyika. Na kuwa not eligible kwenye 1st choice hiyo imetokea kwa kila mtu.
 
Jamani selection tayari zimefanyika. Na kuwa not eligible kwenye 1st choice hiyo imetokea kwa kila mtu.

kwa nin itokee not eligible kwa watu wote,tena 1st choice ndo ziwe not eligible.
 
Utajua pale selection zitakapotoka. Ila kuna chanzo changu cha kuaminika kimeniambia majina yamepelekwa loanboard.
xaxa waliokosa majina c wangeyatoa kwanza thn wa re-apply..,..? Ask hm abt hilo nalo jombaaaa
 
Hivi yule senetor amekwenda wapi?? Coz jamaa huwa ana information za ukweli kuhusiana na tcu.!! Hawa wengine waongo watupu hakuna mkweli kati yao
 
Back
Top Bottom