July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Niliomba land management n valuation then ikawa eligible, to my suprise ni kwamba sasa hv haiko qualified.. Does that mean wa2 wamenishnda bahati au kiwango?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
13 ptsuna ngapi? 3?
13 pts
Niliomba land management n valuation then ikawa eligible, to my suprise ni kwamba sasa hv haiko qualified.. Does that mean wa2 wamenishnda bahati au kiwango?
13 pts
aisee naona ume-exaggurateYaani wewe hata hujui credits kwa higher learning zinahesabiwaje?
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
S=0.5
Angalia chuo kinahitaji minimum ya point ngapi (na hii ni tofauti kwa wanaume na wanawake). Ukishajua hii formulae utajua wapi uombe bila kuwa rejected (na kwenye girlfriend ukifika chuo use the same formula. Usihangaike na chakula cvha twiga manake hata chui hakiwezi!)
hge =ddeulikuwa waxoma komb. Gan???
thnx mkuuJamani selection tayari zimefanyika. Na kuwa not eligible kwenye 1st choice hiyo imetokea kwa kila mtu.
Jamani selection tayari zimefanyika. Na kuwa not eligible kwenye 1st choice hiyo imetokea kwa kila mtu.
Sasa tutajuaje kama tuko selected??
Jamani selection tayari zimefanyika. Na kuwa not eligible kwenye 1st choice hiyo imetokea kwa kila mtu.
xaxa waliokosa majina c wangeyatoa kwanza thn wa re-apply..,..? Ask hm abt hilo nalo jombaaaaUtajua pale selection zitakapotoka. Ila kuna chanzo changu cha kuaminika kimeniambia majina yamepelekwa loanboard.
Hivi yule senetor amekwenda wapi?? Coz jamaa huwa ana information za ukweli kuhusiana na tcu.!! Hawa wengine waongo watupu hakuna mkweli kati yao