Ina maana hizo 40% alizokuwa anapewa mpaka leo hazijafika milioni 800, Vanny B

Ina maana hizo 40% alizokuwa anapewa mpaka leo hazijafika milioni 800, Vanny B

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Babu tale kasema Rayvanny Bado ni msanii wa wasafi kwakuwa Bado hajalipa pesa anayostaili kuilipa Kwa wasafi, Ili wamalizane kibiashara, kwahivo inamaana Bado wasafi wanaendelea kula 60%ya kila Senti inayoingia kupitia Rayvanny.

Sasa najiuliza Nchini Tanzania msanii Rayvanny ndio anayeongoza Kwa mauzi ya digital platform akifuatiwa na Diamond, so miska yote 6 hiyo asilimia 40% ya mapato anayopokea hayajafika mil 800 , au ziliisha kwenye bata na paulila, ni ngumu kuamini haya yanayotokea.

Inawezekana asilimia 70 ya maisha ya wasanii ni maigizo. Sasa kama kwenye brand kubwa ameshindwa kutengeneza milioni 800, huku nje c ataenda kuwa mb dog.

Nashauri Rayvanny aweke wazi Wadau tumchangie, mi naanza na kutoa milioni 10
 
Inasemekana mrabaha kutokana na kolabo ya maluma $200k usd

Dili la mziiki 900m TZS
Na madili mengine
 
Nasikitika sana kuona wasanii majina makubwa lakini hata makwao pamekaa kifukara sana akiwepo huyo rayvany , wengi wa wasanii huigiza tu maisha lakini ni maskini wa kutupwa, majina yao ni brand ambazo hazina thamani, wenzao nigeria wasanii wao ni matajiri kiukweli hawaigizi, rayvanny kukosa dollar laki nne fikiria akina ibra huko itakuaje
 
Alipe hiyo hela aache kulialia wakati anasign kwani alishikiwa mapanga hiv kwanini hawa wasanii unapoweka hela zako hawalalamiki kwanini wanawekezewa hela nyingi
 
Nasikitika sana kuona wasanii majina makubwa lakini hata makwao pamekaa kifukara sana akiwepo huyo rayvany , wengi wa wasanii huigiza tu maisha lakini ni maskini wa kutupwa, majina yao ni brand ambazo hazina thamani, wenzao nigeria wasanii wao ni matajiri kiukweli hawaigizi, rayvanny kukosa dollar laki nne fikiria akina ibra huko itakuaje
Rayvanny kwao wapi pamekaa kifukara?
 
Nasikitika sana kuona wasanii majina makubwa lakini hata makwao pamekaa kifukara sana akiwepo huyo rayvany , wengi wa wasanii huigiza tu maisha lakini ni maskini wa kutupwa, majina yao ni brand ambazo hazina thamani, wenzao nigeria wasanii wao ni matajiri kiukweli hawaigizi, rayvanny kukosa dollar laki nne fikiria akina ibra huko itakuaje
Wanapata vihela sema wana fake sana maisha ...wana matumiz makubwa tu

Ova
 
Wanapata vihela sema wana fake sana maisha ...wana matumiz makubwa tu

Ova

Hivi mkuu unafahamu kama TID mnyama bado anaishi kwao? Yaani ukiwatoa Jide, AY , falsafa, domo, Alikiba, kidogo shilole wengine ni tia maji tia maji labda nyandu na bluu kilichowatoa ni ngada na kurenga magari mjini waliobaki ni mungu nisaidie nifike salama
 
Babu tale kasema Rayvanny Bado ni msanii wa wasafi kwakuwa Bado hajalipa pesa anayostaili kuilipa Kwa wasafi, Ili wamalizane kibiashara, kwahivo inamaana Bado wasafi wanaendelea kula 60%ya kila Senti inayoingia kupitia Rayvanny.

Sasa najiuliza Nchini Tanzania msanii Rayvanny ndio anayeongoza Kwa mauzi ya digital platform akifuatiwa na Diamond, so miska yote 6 hiyo asilimia 40% ya mapato anayopokea hayajafika mil 800 , au ziliisha kwenye bata na paulila, ni ngumu kuamini haya yanayotokea.

Inawezekana asilimia 70 ya maisha ya wasanii ni maigizo. Sasa kama kwenye brand kubwa ameshindwa kutengeneza milioni 800, huku nje c ataenda kuwa mb dog.

Nashauri Rayvanny aweke wazi Wadau tumchangie, mi naanza na kutoa milioni 10
[emoji6][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo kuchanga 10mils ndo mmecheka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hapo NI wasanii 4 ndo wamenufaika na jasho lake
1.msanii diamond
2.msanii babu tale
3.msanii mkubwa fela.
4.msanii Don Mendez.
 
Back
Top Bottom