MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Shafii ana chuki binafsi na GSM, kila mwana Yanga anajua, na ni shabiki na mwanachama lialia wa ute.1. Injinia Hersi alikuwa wapi tokea zamani kuja Kuipigania Yanga SC?...
Miezi michache tu iliyopita mlikuja humu kulia lia na kumtukana huyo Shaffii Dauda, kwa kigezo cha kuisema vibaya timu yenu! Leo mnakuja tena kwa kumpamba, kisa tu kauliza maswali ya kuwafurahisha shidi ya Yanga!!1. Injinia Hersi alikuwa wapi tokea zamani kuja Kuipigania Yanga SC?
2. Injinia Hersi ni nani ndani ya Management ya Yanga SC hadi amekuwa ndiyo kila Kitu?...
Luc hakukosea kuwafananisha nyie na kima.Miezi michache tu iliyopita mlikuja humu kulia lia na kumtukana huyo Shaffii Dauda, kwa kigezo cha kuisema vibaya timu yenu! Leo mnakuja tena kwa kumpamba, kisa tu kauliza maswali ya kuwafurahisha shidi ya Yanga!!
Hakika Rage ni Genius kwa kuwaita Mbumbumbu.
Shafii alishagombea ujumbe kwa Manguruwe. Hiyo neutrality inatoka wapi?1. Injinia Hersi alikuwa wapi tokea zamani kuja Kuipigania Yanga SC?
2. Injinia Hersi ni nani ndani ya Management ya Yanga SC hadi amekuwa ndiyo kila Kitu?
3. Injinia Hersi ni nani hadi kujua Uwezo wa Kocha Msaidizi na Mchezaji Mwandamizi Nizar Khalfan kiasi cha Kuchochea nae afukuzwe tena akiwa ana Mwezi Mmoja tu?
4. Injinia Hersi alipokuwa akiwaaminisha wana Yanga SC kuwa iwe isiwe Yanga SC itakuwa Bingwa na isipokuwa aulizwe Yeye huku akitamba Kusajili Migalasa tupu alikuwa akidhani wana Yanga SC ni Mambumbumbu au?
Haya mjibuni sasa Mimi leo nakaa Kimya.
Manyani mtapata tabu sanaShafii alishagombea ujumbe kwa Manguruwe. Hiyo neutrality inatoka wapi?
Manguruwe kuweni na akili kidogo tu.Manyani mtapata tabu sanaView attachment 1720169
Injinia na mpira....Where and where..?
Manyani hamna akili hata kidogoManguruwe kuweni na akili kidogo tu.
Yamekuwa haya leo? Si mlisema ni Yanga SC Mwenzenu?Shafii Hana lolote njaa tu inamsumbua
Yeye ndo anasajili na analipa mishahara bila yeye pale Yanga ingelijuwa hata ya nane huko au 10.
Kila anaehoji kuhusu simba ni yanga also vice versa bongo wehu wengiShafii ana chuki binafsi na GSM, kila mwana Yanga anajua, na ni shabiki na mwanachama lialia wa ute.