Ina maana nimekula kinyesii cha binadamu? Nimekutwa na typhoid!

Atakuwa anatumia kachumbari ya chupa...
Pole mkuu. Vipi kachumbari nayo huwa hutumii? Inawezakuwa chanzo cha kupata hill gonjwa! Kwa mazingira yetu kutia nnya kinywani ni jambo la kawaida, usijali!
 
Typhoid sio lazima tu kwenye maji ya kunywa bali hata vyakula na mboga mboga za majani zisipoiva vizuri na kuuwa vimelea badi waweza kuipata, yote kumi lakini tisa ukweli ni kwamba umekula nnya hakuna namna![emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…