Ina maana Rais hujui kweli kama wanaofanya ukatili uko nao ndani ya Chama na Serikali yako au Unazuga tu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325

“…watu wanauawa hovyo huko…waambieni wanasiasa kwamba vyeo havipatikani kwa kuua watu, kwa kunyofoa viungo…” – Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuguswa na wimbi la utekaji na mauaji ya watoto linalodaiwa kuendelea maeneo mbalimbali hapa nchini…akiwaomba machifu kote nchini kusimama imara na kuilinda jamii kwa kuonya na kuwafichua wale wote wanaojihusisha na vitendo hivyo.

Pia soma: Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu

Yaani kama mtu wa kawaida sana Tanzania GENTAMYCINE nawajua Wanasiasa wenye huu Ushirikina wewe huwajui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…