INAARIFIWA: Yanga kwenda Uwanjani 08/03/2025 mechi ilipoahirishwa ni kufuata majini yao na kuondoa uchawi wao.

INAARIFIWA: Yanga kwenda Uwanjani 08/03/2025 mechi ilipoahirishwa ni kufuata majini yao na kuondoa uchawi wao.

Bill

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
9,258
Reaction score
10,014
Kwanini Yanga walilazimisha kwenda uwanjani hata baada ya mechi kuahirishwa hiyo tarehe 8 Machi 2025?

Ilikuwa ni kwenda kuondoka na majini na uchawi wao waliouacha uwanjani. Hakukuwa na namna nyingine ya kuhamisha uchawi wao mara baada ya bodi ya ligi kutangaza mechi haipo. Sasa wanaingiaje uwanjani? Ilikuwa ni lazima wajitoe ufahamu, wadai hawatambui mechi kuahirishwa na wanaenda uwanjani. Ni kweli walienda na wakafanikiwa kuingia na kufanya yao.

Majini yao waliyaaminisha ni lazima yatakutana na Simba. Yakaendelea kudai kukutana na Simba ikabidi ili kuyaridhisha wapaleke Bunju Mo Arena yakutane na Simba.

We fikiria tu kwa akili ya kawaida. Inawezekana vipi mtu awashe gari tena basi kubwa namna ile kuelekea Bunju kisa kucheza na Simba Mo Arena baada ya jana yake mechi kuahirishwa. Watu wanaweza kuona ni kama utani utani vile lakini tunaooona mbali tunajua ni nini wanafanya. Au nasema uongo ndugu yangu Mshana Jr Scars OKW BOBAN SUNZU na wengineo
 
Kwanini Yanga walilazimisha kwenda uwanjani hata baada ya mechi kuahirishwa hiyo tarehe 8 Machi 2025?

Ilikuwa ni kwenda kuondoka na majini na uchawi wao waliouacha uwanjani. Hakukuwa na namna nyingine ya kuhamisha uchawi wao mara baada ya bodi ya ligi kutangaza mechi haipo. Sasa wanaingiaje uwanjani? Ilikuwa ni lazima wajitoe ufahamu, wadai hawatambui mechi kuahirishwa na wanaenda uwanjani. Ni kweli walienda na wakafanikiwa kuingia na kufanya yao.

Majini yao waliyaaminisha ni lazima yatakutana na Simba. Yakaendelea kudai kukutana na Simba ikabidi ili kuyaridhisha wapaleke Bunju Mo Arena yakutane na Simba.

We fikiria tu kwa akili ya kawaida. Inawezekana vipi mtu awashe gari tena basi kubwa namna ile kuelekea Bunju kisa kucheza na Simba Mo Arena baada ya jana yake mechi kuahirishwa. Watu wanaweza kuona ni kama utani utani vile lakini tunaooona mbali tunajua ni nini wanafanya. Au nasema uongo ndugu yangu Mshana Jr Scars OKW BOBAN SUNZU na wengineo
Na hii ndo maana halisi ya utopwinyo
 
Kwanini Yanga walilazimisha kwenda uwanjani hata baada ya mechi kuahirishwa hiyo tarehe 8 Machi 2025?

Ilikuwa ni kwenda kuondoka na majini na uchawi wao waliouacha uwanjani. Hakukuwa na namna nyingine ya kuhamisha uchawi wao mara baada ya bodi ya ligi kutangaza mechi haipo. Sasa wanaingiaje uwanjani? Ilikuwa ni lazima wajitoe ufahamu, wadai hawatambui mechi kuahirishwa na wanaenda uwanjani. Ni kweli walienda na wakafanikiwa kuingia na kufanya yao.

Majini yao waliyaaminisha ni lazima yatakutana na Simba. Yakaendelea kudai kukutana na Simba ikabidi ili kuyaridhisha wapaleke Bunju Mo Arena yakutane na Simba.

We fikiria tu kwa akili ya kawaida. Inawezekana vipi mtu awashe gari tena basi kubwa namna ile kuelekea Bunju kisa kucheza na Simba Mo Arena baada ya jana yake mechi kuahirishwa. Watu wanaweza kuona ni kama utani utani vile lakini tunaooona mbali tunajua ni nini wanafanya. Au nasema uongo ndugu yangu Mshana Jr Scars OKW BOBAN SUNZU na wengineo
Ukiwa shabiki wa simba na yanga lazima uwe na ka uchizi flani hivi, acha kujaza sever kwa kuandika upuuzi
 
Ukiwa shabiki wa simba na yanga lazima uwe na ka uchizi flani hivi, acha kujaza sever kwa kuandika upuuzi
Mashabiki wa mpira ndio huwa hivyo, ukishabikia mpira na akili yako timamu huwezi kufurahia.

Ni sawa na ngono, pombe na vingine. Alie pembeni anakushangaa.

Jitoe ufahamu ndio utatambua nini maana ya ushabiki. Lakini ukakoment huku umeshikiria chalk za chuo kikuu au unasahihisha mitihani ya wanafunzi utachizika. Ukikaa katikati ya walevi na wewe sio mlevi utakereka. Vinginevyo pita pembeni

Chene lulu nkoyi mgikuru
 
Kwanini Yanga walilazimisha kwenda uwanjani hata baada ya mechi kuahirishwa hiyo tarehe 8 Machi 2025?

Ilikuwa ni kwenda kuondoka na majini na uchawi wao waliouacha uwanjani. Hakukuwa na namna nyingine ya kuhamisha uchawi wao mara baada ya bodi ya ligi kutangaza mechi haipo. Sasa wanaingiaje uwanjani? Ilikuwa ni lazima wajitoe ufahamu, wadai hawatambui mechi kuahirishwa na wanaenda uwanjani. Ni kweli walienda na wakafanikiwa kuingia na kufanya yao.

Majini yao waliyaaminisha ni lazima yatakutana na Simba. Yakaendelea kudai kukutana na Simba ikabidi ili kuyaridhisha wapaleke Bunju Mo Arena yakutane na Simba.

We fikiria tu kwa akili ya kawaida. Inawezekana vipi mtu awashe gari tena basi kubwa namna ile kuelekea Bunju kisa kucheza na Simba Mo Arena baada ya jana yake mechi kuahirishwa. Watu wanaweza kuona ni kama utani utani vile lakini tunaooona mbali tunajua ni nini wanafanya. Au nasema uongo ndugu yangu Mshana Jr Scars OKW BOBAN SUNZU na wengineo
“Jamani mimi sina akili”
 
Naunga mkono hoja. Halafu na Moderator acheni kujifanya mko usingizini. Hizi mada nyingine zinaifanya jamii forums kuonekana kama kijiwe cha kahawa, umbea, mipasho, na vichambo.
Umbeya na mipasho ndio Simba na Yanga.

Wakiacha mipasho na Umbeya Simba na Yanga wana nini cha ziada. Mashabiki ndio raha yao hiyo kushinda vijiweni kwa gahawa hata hawaoni kuwa kuna bomu la ajira nakadhalika. Busy,

Hata wachambuzi wa Tv na redio nao wamejipatia ajira kupiltia mipasho na umbeya wa Simba na Yanga.

Kwahiyo usitenganishe vitu hivyo na hizo timu za Kariakoo
 
Kwa kawaida ipo hivyo,hata huku kwenye ndondo ukicheza kwa kutumia dawa,baada ya mechi lazima uvunje na utegue ile dawa vinginevyo ni habari nyingine kwa waliocheza mpira wa uswahilini wanaelewa,
Ilikuwa ni lazima wajitoe ufahamu kwenda kuvunja vinginevyo ingewagharimu sana
 
Back
Top Bottom