McCollum
JF-Expert Member
- Jan 10, 2023
- 384
- 684
Habari kwa wanajamvi!
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, kwa watanzania wengi (nitasema wengi licha ya kwamba sijafanya utafiti ila naona kwa ninachokumbana nacho mtaani inawezekana wengi wana mawazo hayo hayo) wanaivalia njuga vita inayoendelea baina ya mataifa mawili ambayo kiasili yalikuwa taifa moja ambayo ni Ukraine na Urusi. Vita hivi vimezalisha nyuzi nhingi na baadhi ya watu wamejimega na kujiweka kwenye upande wa Ki-Russia na wengine wanakimbilia Ukraine.
Shida hapa sio unazi ila shida ipo kwenye kuamini kwamba madhara ya vita hivi yanaishia huko huko Ukraine na Russia na hivyo huku Tanzania wazee kwa vijana wanabaki wakipiga stori za ajabu ajabu wakidai kwamba Russia ana bomu kubwa akipiga dunia nzima inapotea and the like?
Kwa unavyodhani itumike akili gani kuwabadili mawazo hawa wanaojiita Warusi wa kwa mtogole na wa Ukraine wa Tegeta (Majina ni kwa ajili ya fun tu 🤣🤣🤣😂 ila ni matumaini yangu thread imefikisha ujumbe muafaka)
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, kwa watanzania wengi (nitasema wengi licha ya kwamba sijafanya utafiti ila naona kwa ninachokumbana nacho mtaani inawezekana wengi wana mawazo hayo hayo) wanaivalia njuga vita inayoendelea baina ya mataifa mawili ambayo kiasili yalikuwa taifa moja ambayo ni Ukraine na Urusi. Vita hivi vimezalisha nyuzi nhingi na baadhi ya watu wamejimega na kujiweka kwenye upande wa Ki-Russia na wengine wanakimbilia Ukraine.
Shida hapa sio unazi ila shida ipo kwenye kuamini kwamba madhara ya vita hivi yanaishia huko huko Ukraine na Russia na hivyo huku Tanzania wazee kwa vijana wanabaki wakipiga stori za ajabu ajabu wakidai kwamba Russia ana bomu kubwa akipiga dunia nzima inapotea and the like?
Kwa unavyodhani itumike akili gani kuwabadili mawazo hawa wanaojiita Warusi wa kwa mtogole na wa Ukraine wa Tegeta (Majina ni kwa ajili ya fun tu 🤣🤣🤣😂 ila ni matumaini yangu thread imefikisha ujumbe muafaka)