mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Arsenal inacheza vizuri sana mwaka huu, halafu ina hamasa kubwa. Inaongoza kwa pointi 43, Man city inafuatia kwa mbali kwa pointi 36. Imefungwa mara moja tu na kutoka sare mara moja!
Klabu zingine zisubiri mwakani!!
Klabu zingine zisubiri mwakani!!