Siyo kukariri ila takwimu ndo zinaongea kutoka 2018 mpaka 2022 arsenal win 4 sare 3 untd win 4Angalia miaka mi 4 ya hivi karibuni acha kukariri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kukariri ila takwimu ndo zinaongea kutoka 2018 mpaka 2022 arsenal win 4 sare 3 untd win 4Angalia miaka mi 4 ya hivi karibuni acha kukariri
Kwahyo mechi ya tarehe 22 pale Emirates untd ajiandae kutema bungo? Ngoja tusubiri maana football huwa inasuprise zakeHao wote unaowataja hakuna wa kumfunga Arsenal. Walau ungesema Aston villa au Crystal Palace. Man u aliyembea na upepo wa kutokuwepo Partey tu.
Kwa miaka ya karibuni Arsenal kama katika mechi 10 za Emirates may be katoa draw 2 pekee na lose 1 ila nyingine zote kashinda the same kwa Old Trafford Manchester United vs Arsenal so Emirates ni parahisi sana kwa Arsenal vs Manchester UnitedNilikuwa namaanisha arsenal kafungwa mechi nyingi na untd siyo magori
Sasa si umeona hapo ni sawa...na kila mtu huwa anashinda kwakeSiyo kukariri ila takwimu ndo zinaongea kutoka 2018 mpaka 2022 arsenal win 4 sare 3 untd win 4
Bahati yao goli lilikataliwa??wewe ni mtu wa mpira kweli kwahyo goli la offside likikataliwa ni bahati ya arsenal je,timu zingine hazijawah pata bahati ya goli kukataliwa??Bahati yao jana goli la 3 lilikatiliwa vinginevyo brighton alikua anaipeleka sare ile game
Timu zote zishawahi kupata maamuzi ya bahatiBahati yao goli lilikataliwa??wewe ni mtu wa mpira kweli kwahyo goli la offside likikataliwa ni bahati ya arsenal je,timu zingine hazijawah pata bahati ya goli kukataliwa??
Kuna tofauti kubwa kati ya maamuzi ya bahati na maamuzi ya kupendelewa! Maamuzi ya bahati ni kwa timu zote lakini maamuzi ya kupendelewa ni kwa baadhi ya timu tu hasa kwa ligi ya bongo!Timu zote zishawahi kupata maamuzi ya bahati
Strength ya arsenal ni kusakana,wanakaba Sana pale kati,Ila ukiwa na tabia ya kuwapiga pressure utajikuta umeachia mwanya wanakuadhibu,so yakupasa ucheze kwa tahadhari,Jambo amablo halitakupa ushindi dhidi yaoNi wabovu wakiwa under pressure, the best way arsenal muda wote wanatakiwa kushambulia kupack basi hawajui, na game ya jana ni ishara. Watafungwa na Liverpool, Spurs, Man city, Man united, Newcastle na Everton, wako so fragile wakiwa wanashambuliwa
Lingekubaliwa ingekuwa ngapingapi?????Bahati yao goli lilikataliwa??wewe ni mtu wa mpira kweli kwahyo goli la offside likikataliwa ni bahati ya arsenal je,timu zingine hazijawah pata bahati ya goli kukataliwa??
Keka liko taabani hiliArsenal inacheza vizuri sana mwaka huu, halafu ina hamasa kubwa. Inaongoza kwa pointi 43, Man city inafuatia kwa mbali kwa pointi 36. Imefungwa mara moja tu na kutoka sare mara moja!
Klabu zingine zisubiri mwakani!!
ukweli ulio wazi sasa unajulikana.Kama ingekuwa ni hivyo wasingekuwa juu kwa kuwazidi wapinzani wao pointi nyingi. Mashabiki tuwe tunaukubali ukweli ulio wazi!!