CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Mojawapo ya Top guns wa mamlaka ya mawasiliano naye analalamika kuhusu speed ya internet aitwaye Inncoent Mungi kama sikosei ni afisa mawasiliano na mmewe mtangazaji susan Mungi naye analalamika.
Dah ila imekuwaje hii nchi Internet inachukuliwa kama anasa? ukiwasha redio kuna speech Rais samia anasema atasaidia vijana wafanye ubunifu na kuendena na teknolojia..HIVI HIZI HOTUBA WANAONGEA TU KAMA KUKARIRI AU KUNOGESHA SHUGHULI MAAALUMU SIKU IISHE?
MNAKERA SANA SANA INTERNET SIYO ANASA
kapost lisaa limoja lilipoita kwenye page yake ya facebook
Dah ila imekuwaje hii nchi Internet inachukuliwa kama anasa? ukiwasha redio kuna speech Rais samia anasema atasaidia vijana wafanye ubunifu na kuendena na teknolojia..HIVI HIZI HOTUBA WANAONGEA TU KAMA KUKARIRI AU KUNOGESHA SHUGHULI MAAALUMU SIKU IISHE?
MNAKERA SANA SANA INTERNET SIYO ANASA
kapost lisaa limoja lilipoita kwenye page yake ya facebook