Mbona na wao wanatumiwa zile meseji za tuma hela kwenye namba hii harafu wanatutumia sisi namba ya kuwatumia kutoa taarifa wakati wana namba kibao hawazijifanyia kazi...
INGEKUWA VYEMA AKIWAPIGIA wenzake walioko ofisini wasaidie hali halisi tena yeye analamikia speed tu maan hela ya bando siyo shida kwake wengiene huku tumepigwa haswaaa kwenye data