DOKEZO Inachofanya TRA ni kuifilisi au kuiua Hospitali ya Massana, Watumishi wa Hospitali tunahisi kupoteza matumaini

DOKEZO Inachofanya TRA ni kuifilisi au kuiua Hospitali ya Massana, Watumishi wa Hospitali tunahisi kupoteza matumaini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
how mfanyakazi ana believe maneno ya employer 😂😂.

huyu mfanyakazi ni fala sana. employer ana wadanganya ukute anajenga huko. watu mnalala njaa.

mkishtuka kijiwe kimeama.

board members wa masana ni watu wazito. mfanyakazi shtuka. wanawapiga pesa.
 
Mtoa mada kazungumzia upande mmoja tu kwasababu mbili.
Hajui yaliyo uvunguni mwa taasisi yake au anajua sababu ya TRA kufanya hivyo lakini kashindwa kusema ukweli.
Siwezi kuamini TRA kwamba wanaweza kuifanyia mchezo mchafu Hospitali kongwe kama ile
Kama ambavyo umeshindwa kuamini taasisi kongwe kama ile kutoweza kufanyiwa mchezo mchafu na TRA Umepata wapi ujasiri wa kuilaumu taasisi kongwe kufanya utakatishaji wa fedha?
 
Back
Top Bottom