Wanangu watatu wa mwisho wamezaliwa usiku ambao soon nmetoka kumpeleka Moto mzito wife wangu.
1. Mapacha wangu walizaliwa saa 10 alfajiri ambapo saa 7 usiku huo huo tulitoka kufny mapenz, saa 9 wife kaniamsha anajihis tumbo linauma anajihs kwenda toilet,
kaenda chooni kanambia maji maji yanatoka, nkajua chupa imepasuka. Nmempeleka hospital chap, kafika anaunganisha Hadi leba wodi.
Nusu saa nyingi naitwa mkeo keshajigfungai tayar watoto mapacha[emoji4]
2. Mwaka juz wife tumbo kubwa balaa, show imetukolea tuko doggy style, mara wife analalamika anaumia nistop kwanza, mi gar tayar ishawaka ata simwelewi, nakimbiza Moto balaa.
Nmechomoa ili nimbadili style nashangaa kichwa Kama kina dam damu, moyo ukastuka, nae kainuka ghafla naona matone madgo madg ya damu yakaanza kumchuruzika mapajan uku analalamika tumbo linamuuma balaa.
Moyoni nikajua apa nmeyakanyaga, nmeua kiumbe, nimpeleke hospital haraka Sana.
Nmefk nesi kumuangalia TU akaelekeza apelekwe leba moja kwa Moja, kapelekwa nikabak na nesi ananiulza nn kimetokea.
Ikabd nimwambie wazi kua limetokea katkat ya mechi, akanambia haina shida niwe tu na amani, mi hapo network hazisomi.
Hatujakaaa sn ata hata dkk 45 hazijapita naitwa kuambiwa hongera mkeo tayar keshajifungua mtoto wa kike, aisee ilkua Ni furaha iliyoje.
Nmeomba kwenda kumuona mtt, breki ya kwanza Nikaenda Kuangalia Kama ana damage yoyote popote mwilini, nikaangalia sioni kasoro Zaid ya weusi weusi juu ya paji la uso, Nikaambiwa Yuko salama salmini, huo weusi hauhusiani na show.
KIUKWEL NILIJISKIA FURAHA SANA, na WANANGU WOTE WAKO HAI MPK LEO[emoji120][emoji4]