Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Kuwa mpole kila baada ya lisaa inaongezeka 1cm kwa hy usiwe na haraka mkuu maana itachukua masaa 8 hadi 12
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe uchungu unauma Hadi siku tatuPunguza hofu hilo ni jambo la kawaida mtoto akifika atajifungua tu. Mimi wangu mwaka jana uchungu ulimuuma siku 3 yuko hospital
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Sasa kwa mke wangu imemchukua masaa manne kuongezeka 1cmKuwa mpole kila baada ya lisaa inaongezeka 1cm kwa hy usiwe na haraka mkuu maana itachukua masaa 8 hadi 12
Ya tatu ...Ni mimba ya kwanza mkuu?
Kwanini hukuwauliza hao waliokwambia ndo inaanza kufunguka? Siku nyingine uifungue kabla hujaenda hospital.Habari wakuu,
Niko hospital kumleta mjamzito kaskia Hali ya uchungu...watu wakuzalisha wamemchek wanasema njia ya uzazi ndo inaanza kufunguka, nauliza inachukua mda gani njia ya uzazi kufunguka kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], daaah!!! Mwamba umevurugwa au?Uzembe ulifanya ukiwa nae nyumbani.
Angalia kama manesi hawakuoni umpige dole inafunguka hapo hapo.
Unachosema ni kweli mkuu, na inashauriwa pia kama Kituo cha afya si mbali atembee kidogo si kupanda usafiriKama unabisha muulze daktar au mkunga mzoefu atakwambia nn namaanisha mkuu, tuachane na nadharia za vijiweni, wajawazito dawa yao Moto tu mpk siku anajifungua, wife nmezaa nae watoto 5 Sasa na wote wamezaliwa salama Bila upasuaji wala uchelewaji na mimba zote sjawahi kuacha kupeleka Moto[emoji4]
Duuu hayaKwanini hukuwauliza hao waliokwambia ndo inaanza kufunguka? Siku nyingine uifungue kabla hujaenda hospital.
We jamaa acha utoto basi, sasa ndo mambo gani haya unafanya!Presha yake Iko 166/112
Utoto Tena upi bossWe jamaa acha utoto basi, sasa ndo mambo gani haya unafanya!