Asante sana mkuu,ushuru kalipia wakala na meli ilishusha 19/12/2021...wakala aliniambia kwamba mwisho wa mwaka wafanyakazi wengi walienda kula sikukuu.Mkuu, kama umeshalipa ushuru ni siku 1 tu hadi 2 zinatosha.
Hebu fuatilia usije ingia kwenye storage.
Je ushuru ulilipa wewe au ulimpa wakala akulipie?
Port charges, na tozo zingine umelipa wewe au wakala na lini?
Mwisho meli imeshusha lini?
Hapa ndo ulipokosea Mkuu, ulitakiwa ulipe mwenyewe kazi yake alitakiwa akupe control number za TRA na TBS.Asante sana mkuu,ushuru kalipia wakala na meli ilishusha 19/12/2021...wakala aliniambia kwamba mwisho wa mwaka wafanyakazi wengi walienda kula sikukuu.
Hapa ndo ulipokosea Mkuu, ulitakiwa ulipe mwenyewe kazi yake alitakiwa akupe control number za TRA na TBS.
Uliagiza kupitia kampuni gani?
Je, ulikuwa unafuatilia meli iliyokuwa imebeba gari yako?
Nina wasiwasi na wakala huyo mbona TRA, TPA, TASAC na TBS muda wote wako kazini kipindi hiki.
Huyu wakala ni muongo.Asante sana mkuu,ushuru kalipia wakala na meli ilishusha 19/12/2021...wakala aliniambia kwamba mwisho wa mwaka wafanyakazi wengi walienda kula sikukuu.
Ndani ya siku 7 nikuwa hakuna storage charges ndani ya hizo siku 7.Mkuu huyo anashida kama yangu, mm nmeagiza kupitia meli ya Silver ray, ambapo ilifika tanzania 29/12/2021
View attachment 2064792
Nami nmeagiza kupitia wakala, ila nmekua nikiifatilia meli tangu Japan.
Wakala kanambia kuprocess Clearing and Forward ni ndani ya siku 7.
Sijui ni sahihi?
Ndani ya siku 7 nikuwa hakuna storage charges ndani ya hizo siku 7.
Ila kama meli imeshusha gari inatoka ndani ya masaa 36 unakuwa nayo mkononi.
Umeshalipa ushuru?
Umeshalipia chochote kihusucho bandari?
Nakubali hapa nimekosea,nimejifunza kitu...asante sana mkuu.Nimefuatailia meli toka Japan hadi Mombasa kisha Dar.Ngoja nikomae naye hadi kieleweke.Hapa ndo ulipokosea Mkuu, ulitakiwa ulipe mwenyewe kazi yake alitakiwa akupe control number za TRA na TBS.
Uliagiza kupitia kampuni gani?
Je, ulikuwa unafuatilia meli iliyokuwa imebeba gari yako?
Nina wasiwasi na wakala huyo mbona TRA, TPA, TASAC na TBS muda wote wako kazini kipindi hiki.
Mkuu mimi ni wakala wa forodha, ugomboaji wa gari bandarini huchukua siku 2 mpaka 3 mara baada ya meli kushusha.Mkuu huyo anashida kama yangu, mm nmeagiza kupitia meli ya Silver ray, ambapo ilifika tanzania 29/12/2021
View attachment 2064792
Nami nmeagiza kupitia wakala, ila nmekua nikiifatilia meli tangu Japan.
Wakala kanambia kuprocess Clearing and Forward ni ndani ya siku 7.
Sijui ni sahihi?
Mkuu mimi ni wakala wa forodha, ugomboaji wa gari bandarini huchukua siku 2 mpaka 3 mara baada ya meli kushusha.
Kesi yako Silver Ray ilimaliza kushusha usiku wa kuamkia jana tarehe 31/12/2021 hivyo kama kodi na TBS inspection fee umelipa kesho Jumapili au Jumatatu wakala ataigomboa gari yako
Kwa huduma za Clearing and Forwarding na ushauri wasiliana nami;
Ruaha Freight Ltd,
Samora Avenue,
7th Floor, Twiga Houuse,
Mob: +255718 866 651 ( whatsap/Call).
View attachment 2065333
Inatakiwa isizidi siku 7 baada ya hapo unaanza kulipia gharama ya utunzaji (storage).Mkuu huyo anashida kama yangu, mm nmeagiza kupitia meli ya Silver ray, ambapo ilifika tanzania 29/12/2021
View attachment 2064792
Nami nmeagiza kupitia wakala, ila nmekua nikiifatilia meli tangu Japan.
Wakala kanambia kuprocess Clearing and Forward ni ndani ya siku 7.
Sijui ni sahihi?
Nakubaliana na ww mkuu kazi haijawai kusimama kisa sikukuu nchi haiendi hivyo, kama aliagiza kupitia wabongo wengi wao ni waongo [Sisemi ni wote], utakuta ameshaipokea gari ila anaenda kuipiga polish na kushusha kilometa wengine hadi kung'oa vifaa vizuri na kuviuza.Huyu wakala ni muongo.
Bandari inafanya kazi 24x7x365
Muombe documents zote hapo ilipofikia.
Kama kalipa ushuru mwambie akuonyeshe evidence.
Pia ni wakala wa kuagiza gari au wakala wa forodha?
Wewe upo na documents gani zinazohusu gari?
Kashapigwa tayariHapa ndo ulipokosea Mkuu, ulitakiwa ulipe mwenyewe kazi yake alitakiwa akupe control number za TRA na TBS.
Uliagiza kupitia kampuni gani?
Je, ulikuwa unafuatilia meli iliyokuwa imebeba gari yako?
Nina wasiwasi na wakala huyo mbona TRA, TPA, TASAC na TBS muda wote wako kazini kipindi hiki.
Aandae na chai ya TBS si unajua tena!Mkuu mimi ni wakala wa forodha, ugomboaji wa gari bandarini huchukua siku 2 mpaka 3 mara baada ya meli kushusha.
Kesi yako Silver Ray ilimaliza kushusha usiku wa kuamkia jana tarehe 31/12/2021 hivyo kama kodi na TBS inspection fee umelipa kesho Jumapili au Jumatatu wakala ataigomboa gari yako
Kwa huduma za Clearing and Forwarding na ushauri wasiliana nami;
Ruaha Freight Ltd,
Samora Avenue,
7th Floor, Twiga Houuse,
Mob: +255718 866 651 ( whatsap/Call).
View attachment 2065333
Nilichogundua Watanzania wengi sisi ni wavivu wa kufuatilia mambo, tunapenda kufanyiwa kila kitu.Kashapigwa tayari