JipuKubwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 2,341
- 2,390
Heri ya mwaka mpya wana jamvi, nawatakia 2022 wenye baraka
Kwenye mada,naomba kuuliza inachukua muda gani kutoa gari bandarini baada ya meli kushusha, maana ni muda sasa tangu meli ishushe wakala hajanikabidhi gari yangu ilikuwa niitumie kwenda Rombo kusalimia wazee.Msaada tafadhali kwa wajuzi wa haya mambo.
Asante.
Kwenye mada,naomba kuuliza inachukua muda gani kutoa gari bandarini baada ya meli kushusha, maana ni muda sasa tangu meli ishushe wakala hajanikabidhi gari yangu ilikuwa niitumie kwenda Rombo kusalimia wazee.Msaada tafadhali kwa wajuzi wa haya mambo.
Asante.