Inadaiwa abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini kwa siku kadhaa wakisubiri usafiri

Inadaiwa abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini kwa siku kadhaa wakisubiri usafiri

64-bit

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
298
Reaction score
147
Kuna abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini tangu Jumatatu hadi leo wakisubiri usafiri na hakuna sababu za msingi zinazotolewa, watu wanaambiwa wasubiri.

Sasa wasubiri hadi lini na mazingira ya kule ninyi mnayajua? Watu wana watoto wachanga kule, wahusika mko wapi kama kuna tatizo kwanini msiseme ili watu wakajua....

Mnatesa sana watu, mamlaka husika kama mpo humu taarifa ndio hii wapeni wananchi ufumbuzi maana wanateseka kule


=======================================

Taarifa rasmi kutoka kwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kupitia kwa Ofisa Habari, Alfred Mgweno ameeleza kuwa ni kweli Kivuko cha Mv. Kilindoni kimesimama huduma kwa muda kutokana na kuwa katika matengenezo ya mlango wa kivuko.

Akizungumza na JamiiForums amesema “MV Kilindoni ipo Mafia inafanyiwa matengenezo kidogo ya mlango na itaendelea na safari zake Jumamosi ya keshokutwa (Februari 19, 2022), kivuko kingine cha jeshi kipo Nyamisati kinasubiri mafuta ili kuendelea na safari zake,” - Mgweno.
 
Kuna abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini tangu jumaa tatu hadi leo wakisubiri usafiri na hakuna sababu za msingi zinazo tolewa ,watu wanaambiwa wasubiri ,sasa wasubiri hadi lini na mazingira ya kule ninyi mnayajua? watu wana watoto wachanga kule, wahusika mko wapi kama kuna tatizo kwanini msiseme ili watu wakajua....

Mnatesa sana watu, mamlaka husika kama mpo humu taarifa ndio hii wepeni wanchi ufumbuzi mana wanateseka kule
Duh hakuna posting hadi sasa. Mamlaka husika toeni jibu watu wanateseka. Tumeona hio ferry boat ikianza kazi kwa mbwembwe. Hakika ni maendeleo mazuri ila huduma ikiwa ovyo itakua sio kutatua tatizo.

Hebu muhusika yeyote aje awaeleza wananchi nini kinaendelea nyamisati.
 
Duh hakuna posting hadi sasa. Mamlaka husika toeni jibu watu wanateseka. Tumeona hio ferry boat ikianza kazi kwa mbwembwe. Hakika ni maendeleo mazuri ila huduma ikiwa ovyo itakua sio kutatua tatizo.

Hebu muhusika yeyote aje awaeleza wananchi nini kinaendelea nyamisati.
Nasikia watu wameamua kuunda vikundi vya upishi ili kukidhi gharama za maisha.
 
Ningependa kujua:
  1. Inashindikana nini serikali kuwa na vyombo vyake vya usafiri wa kwenda huko kwa gharama nafuu kama tumeweza kununua ndege kadhaa zinazokwenda nje ya nchi?
  2. Kuna gati lilikuwa linajengwa Mafia miaka ya 2011 liliishia wapi? Lengo lilikuwa gati likiwepo basi boti za kisasa zifanye safari za kwenda huko kwakuwa wakazi wa Mafia walikuwa wanasafiri kwa 6hrs majini toka Mafia hadi Nyamisati?
  3. Kwanini inashindikana kuanzisha safari kutoka Dar hadi Mafia kwa kutumia boti za kisasa kama ilivyo kwa Zanzibar na Pemba ili kuwarahishia maisha watu wa visiwani huko?
  4. Waziri wa uchukuzi anajisikiaje anapoyasikia haya? Mbunge wa huko na yeye anajisikiaje wapiga kura wake wanapoteseka kwa kiasi hicho?
 
Kuna abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini tangu jumaa tatu hadi leo wakisubiri usafiri na hakuna sababu za msingi zinazo tolewa ,watu wanaambiwa wasubiri.

sasa wasubiri hadi lini na mazingira ya kule ninyi mnayajua? watu wana watoto wachanga kule, wahusika mko wapi kama kuna tatizo kwanini msiseme ili watu wakajua....

Mnatesa sana watu, mamlaka husika kama mpo humu taarifa ndio hii wepeni wananchi ufumbuzi mana wanateseka kule
CCM oyeeeee
 
Kuna abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini tangu jumaa tatu hadi leo wakisubiri usafiri na hakuna sababu za msingi zinazo tolewa ,watu wanaambiwa wasubiri.

sasa wasubiri hadi lini na mazingira ya kule ninyi mnayajua? watu wana watoto wachanga kule, wahusika mko wapi kama kuna tatizo kwanini msiseme ili watu wakajua....

Mnatesa sana watu, mamlaka husika kama mpo humu taarifa ndio hii wepeni wananchi ufumbuzi mana wanateseka kule

Tatizo nini hadi huduma ya usafiri isiwepo?
 
Kuna abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini tangu Jumatatu hadi leo wakisubiri usafiri na hakuna sababu za msingi zinazotolewa, watu wanaambiwa wasubiri.

Sasa wasubiri hadi lini na mazingira ya kule ninyi mnayajua? Watu wana watoto wachanga kule, wahusika mko wapi kama kuna tatizo kwanini msiseme ili watu wakajua....

Mnatesa sana watu, mamlaka husika kama mpo humu taarifa ndio hii wapeni wananchi ufumbuzi maana wanateseka kule


=======================================

Taarifa rasmi kutoka kwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kupitia kwa Ofisa Habari, Alfred Mgweno ameeleza kuwa ni kweli Kivuko cha Mv. Kilindoni kimesimama huduma kwa muda kutokana na kuwa katika matengenezo ya mlango wa kivuko.

Akizungumza na JamiiForums amesema “MV Kilindoni ipo Mafia inafanyiwa matengenezo kidogo ya mlango na itaendelea na safari zake Jumamosi ya keshokutwa (Februari 19, 2022), kivuko kingine cha jeshi kipo Nyamisati kinasubiri mafuta ili kuendelea na safari zake,” - Mgweno.

Yaani kivuko wamesubiri mafuta hadi yaishe! Halafu sijui wanayafata kutoka nchi gani! Tanzania nchi yangu..
 
Back
Top Bottom