Tetesi: Inadaiwa CCM inatumia bilioni 12.8 katika mipango mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni ujasusi wa kusini na kanda ya kati

Tetesi: Inadaiwa CCM inatumia bilioni 12.8 katika mipango mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni ujasusi wa kusini na kanda ya kati

Upinzani wamekosa sera, hawana mikakati, sasa wameanza vioja, this is a sign of failure, upinzani hawana jipya tena. CCM ina mipango, mikakati na sera bora kabisa kwa sasa, na mnaona maendeleo kwa macho chini ya Mwenyekiti wake mahiri kabisa, Mh. John Magufuli
Ipo siku unaweza kujuta kwanini uliandika haya pale utakapokuwa unaumbuka maana ukweli siku zote haujifichi japo unaweza kuchelewa kujulikana.
 
Kkwe
###BREAKNEWS:CCM SIRI IMEFICHUKA.
TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA NA MIPANGO MIOVU NDANI YA CCM

CCM inatumia bilioni 12.8 katika MIPANGO mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni UJASUSI WA KUSINI NA KANDA YA KATI 2:UJASUSI KASKAZINI NA CCM NI NGUVU YA DOLA.

UJASUSI KUSINI NA KANDA YA KATI
Hili ni kundi la watu 721 Lina mwenyekiti mmoja waratibu 9 na waandishi habari 23 mwenyekiti ni kiongozi mkubwa wa serikali ndo anaongoza kundi hili ambalo kila mwanachama wa kundi hili anapokamilisha misheni analipwa milioni mbili Kama mshahara

Pia Cha kusikitisha kundi hili limebeba Hadi viongozi wakubwa wa dini

Agenda kubwa za hili kundi.
1:kumsifia rais pamoja na kufanya kampeni za kuchafua watu mashuhuri kwenye jamii na kushawishi watu wenye mvuto katika jamii kwa kuwarubuni pesa kumsifia mwenyekiti wa chama.

Pia kuandaa maandamano ya kumsifia mwenyekiti wao mbinu wanazotumia nikuwashawishi VIJANA na kuwagawia pesa tasilimu 10000 na wale madereva Toyo wanawekewa mafuta.tayari wamesharatibu maandamano mengi wiki moja kabla ya serikali za mitaa watafanya maandamano.pia watatoa misaada ya vitabu kwa shule za msingi 248 na sekondari 124 Kama kampeni ya kuakisha CCM inaendelea kuaminika
Hili kundi limelamba bilioni 3 Kati ya izo 9.8

UJASUSI KASKAZINI.(UKC)
HILI KUNDI limepata gawio la 4.8 kundi hili linaongozwa na viongozi wakuu wachama na viongozi wakuu wa serikali mikoa husika

Kazi za hili kundi
Nikuwakamata wale wote wenye nguvu kwenye vyama vya upinzani na kuwafungulia mashitaka mbalimbali ikiwepo uhujumu uchumi wiki tatu au mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa na katika mkutano wao wa Jana Arusha hotel fulani wameshaorozesha majina ya watu wanaopaswa kuwekwa kizuizini idadi yao 74 mpaka sasa.bado nazidi kufuatilia baadhi yao yupo lema viongozi wa Chadema wa wilaya na mikoa pamoja na madiwani na wafanyabihashara maarufu ambao ni wakereketwa wa Chadema.

Pia kundi hili linafanya kazi kwa karibu na watendaji wa vijiji na kata.
Ni tayari washatoa order kwao kuandika majina ya watu maarufu na wanachama wenye ushawishi kwenye kata na vijiji vyao pia wameagizwa kuongea na watu hao Kama watakuwa tayari kujiunga na CCM watapewa malipo ya awali shilingi milioni 1.5 pia watapewa nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

Ccm ni NGUVU YA DOLA.ili limelaba bilioni 5

Hili ndo kundi hatari zaidi linafanya kazi nchi nzima na limejumuisha viongozi watu maarufu wachungaji wafanyabihashara wakulima wakubwa pia linausisha Hadi viongozi wa ulinzi

Kazi kuu ya kundi hili nikuhubiri VITISHO na kujenga hofu kwa jamii kuwa majeshi yote yapo chini ya ccm kwaio mtu yoyote atakaye chagua Chadema au kuipigia kampeni Chadema atawekwa ndani au kufunguliiwa kesi yoyote ya uongo.

Pia kundi hili linawatu wanozunguka mashuleni kunadi CCM pia kundi hili ndo linawashawishi wanamzuki kutunga nyimbo za kumsifia mwenyekiti wao na tayari Kuna wanamziki wameshalipwa kutunga nyimbo ambazo zitaanza kusikika public kipindi Cha kampeni

Pia hili ndo lile kundi la wasiojulikana linataratibu mateso na Mambo mengine machafu kwa wapinzani.

Hizi ni habari za uhakika nimepenyezewa na mmoja Kati ya watu hao wanaounda kundi Hilo baada ya kunishawishi nijiunge na moja Kati ya makundi hayo.

NOTE:CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA KITAKUBALIKA KWA UCHAPAKAZI WAKE NA SIO MBINU NYINGINE ZOZOTE OVU
###achaoga2020

Note!

Hakika tunawaambia kwa.sasa hatuko tayari kuendelea kunyanyaswa hata kwa hatua nyingine moja. Amani hii Ni afadhali iharibike tukaaza upya kwa kuheshimiana kuliko kuwa na "Amani isiyo na Haki.

Tutachinjana mchana kweupe. Hata Bible inasema mtu akikupiga shavu la kulia mgeuzie na kushoto na baada ya hapo haisemi ufanye Kitu gani. Acha wajipange na ujinga wao Ila nasi tunajopanga. Huku chini maadui wa kwanza Ni wanaccm Kwanza. Bila kujali undugu na ujamaa tulio nao.

Mungu atatuhukumu mbele ya safari kwa hili. Lakini hatuko tayari kuwa wanyonge kwenye nchi yetu.
kwendraaaaa zako hii ni deffence Mechanism ya chama chenu mlijipanga kwa haya sasa yamekwama unajifanya kugeuza mada..hapa hakuna cha nn wala nn na mmeshajua kua magufuli kafanya mazuri mengi sanaa sasa hamna sera wala cha kupanda nacho jukwaani kunadi kwa wanachi sasa mnaanza ohh amani itatoweka sijui nn hahaaa hiyo amani itatoweka nyumbani kwako hasa utapoona hata familia yako inaunga mkono mzalendo wa kweli JPM hahaa amani hii hukuitengeneza ww na hutaiondoa ww..kama umepanick njoo nikunyooshe..KANYAGA TWENDE MAGUFULI MUDA USHATUACHA SANAAAA
 
CHADEMA kazi mnayo kama mnaona wanafaid si mfanye na nyie
 
###BREAKNEWS:CCM SIRI IMEFICHUKA.
TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA NA MIPANGO MIOVU NDANI YA CCM

CCM inatumia bilioni 12.8 katika MIPANGO mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni UJASUSI WA KUSINI NA KANDA YA KATI 2:UJASUSI KASKAZINI NA CCM NI NGUVU YA DOLA.

UJASUSI KUSINI NA KANDA YA KATI
Hili ni kundi la watu 721 Lina mwenyekiti mmoja waratibu 9 na waandishi habari 23 mwenyekiti ni kiongozi mkubwa wa serikali ndo anaongoza kundi hili ambalo kila mwanachama wa kundi hili anapokamilisha misheni analipwa milioni mbili Kama mshahara

Pia Cha kusikitisha kundi hili limebeba Hadi viongozi wakubwa wa dini

Agenda kubwa za hili kundi.
1:kumsifia rais pamoja na kufanya kampeni za kuchafua watu mashuhuri kwenye jamii na kushawishi watu wenye mvuto katika jamii kwa kuwarubuni pesa kumsifia mwenyekiti wa chama.

Pia kuandaa maandamano ya kumsifia mwenyekiti wao mbinu wanazotumia nikuwashawishi VIJANA na kuwagawia pesa tasilimu 10000 na wale madereva Toyo wanawekewa mafuta.tayari wamesharatibu maandamano mengi wiki moja kabla ya serikali za mitaa watafanya maandamano.pia watatoa misaada ya vitabu kwa shule za msingi 248 na sekondari 124 Kama kampeni ya kuakisha CCM inaendelea kuaminika
Hili kundi limelamba bilioni 3 Kati ya izo 9.8

UJASUSI KASKAZINI.(UKC)
HILI KUNDI limepata gawio la 4.8 kundi hili linaongozwa na viongozi wakuu wachama na viongozi wakuu wa serikali mikoa husika

Kazi za hili kundi
Nikuwakamata wale wote wenye nguvu kwenye vyama vya upinzani na kuwafungulia mashitaka mbalimbali ikiwepo uhujumu uchumi wiki tatu au mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa na katika mkutano wao wa Jana Arusha hotel fulani wameshaorozesha majina ya watu wanaopaswa kuwekwa kizuizini idadi yao 74 mpaka sasa.bado nazidi kufuatilia baadhi yao yupo lema viongozi wa Chadema wa wilaya na mikoa pamoja na madiwani na wafanyabihashara maarufu ambao ni wakereketwa wa Chadema.

Pia kundi hili linafanya kazi kwa karibu na watendaji wa vijiji na kata.
Ni tayari washatoa order kwao kuandika majina ya watu maarufu na wanachama wenye ushawishi kwenye kata na vijiji vyao pia wameagizwa kuongea na watu hao Kama watakuwa tayari kujiunga na CCM watapewa malipo ya awali shilingi milioni 1.5 pia watapewa nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

Ccm ni NGUVU YA DOLA.ili limelaba bilioni 5

Hili ndo kundi hatari zaidi linafanya kazi nchi nzima na limejumuisha viongozi watu maarufu wachungaji wafanyabihashara wakulima wakubwa pia linausisha Hadi viongozi wa ulinzi

Kazi kuu ya kundi hili nikuhubiri VITISHO na kujenga hofu kwa jamii kuwa majeshi yote yapo chini ya ccm kwaio mtu yoyote atakaye chagua Chadema au kuipigia kampeni Chadema atawekwa ndani au kufunguliiwa kesi yoyote ya uongo.

Pia kundi hili linawatu wanozunguka mashuleni kunadi CCM pia kundi hili ndo linawashawishi wanamzuki kutunga nyimbo za kumsifia mwenyekiti wao na tayari Kuna wanamziki wameshalipwa kutunga nyimbo ambazo zitaanza kusikika public kipindi Cha kampeni

Pia hili ndo lile kundi la wasiojulikana linataratibu mateso na Mambo mengine machafu kwa wapinzani.

Hizi ni habari za uhakika nimepenyezewa na mmoja Kati ya watu hao wanaounda kundi Hilo baada ya kunishawishi nijiunge na moja Kati ya makundi hayo.

NOTE:CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA KITAKUBALIKA KWA UCHAPAKAZI WAKE NA SIO MBINU NYINGINE ZOZOTE OVU
###achaoga2020
 
Ulifikiri wale ccm wanaweza kuja na mpango wa amani amani, wao ni mashetani tu, ili waendelee kutawala. Kumbe hizo Pisa wangezielekeza kwenye maendeleo Kanda tajwa, wangeendelea tu kuongoza. Washamba sana
 
###BREAKNEWS:CCM SIRI IMEFICHUKA.
TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA NA MIPANGO MIOVU NDANI YA CCM

CCM inatumia bilioni 12.8 katika MIPANGO mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni UJASUSI WA KUSINI NA KANDA YA KATI 2:UJASUSI KASKAZINI NA CCM NI NGUVU YA DOLA.

UJASUSI KUSINI NA KANDA YA KATI
Hili ni kundi la watu 721 Lina mwenyekiti mmoja waratibu 9 na waandishi habari 23 mwenyekiti ni kiongozi mkubwa wa serikali ndo anaongoza kundi hili ambalo kila mwanachama wa kundi hili anapokamilisha misheni analipwa milioni mbili Kama mshahara

Pia Cha kusikitisha kundi hili limebeba Hadi viongozi wakubwa wa dini

Agenda kubwa za hili kundi.
1:kumsifia rais pamoja na kufanya kampeni za kuchafua watu mashuhuri kwenye jamii na kushawishi watu wenye mvuto katika jamii kwa kuwarubuni pesa kumsifia mwenyekiti wa chama.

Pia kuandaa maandamano ya kumsifia mwenyekiti wao mbinu wanazotumia nikuwashawishi VIJANA na kuwagawia pesa tasilimu 10000 na wale madereva Toyo wanawekewa mafuta.tayari wamesharatibu maandamano mengi wiki moja kabla ya serikali za mitaa watafanya maandamano.pia watatoa misaada ya vitabu kwa shule za msingi 248 na sekondari 124 Kama kampeni ya kuakisha CCM inaendelea kuaminika
Hili kundi limelamba bilioni 3 Kati ya izo 9.8

UJASUSI KASKAZINI.(UKC)
HILI KUNDI limepata gawio la 4.8 kundi hili linaongozwa na viongozi wakuu wachama na viongozi wakuu wa serikali mikoa husika

Kazi za hili kundi
Nikuwakamata wale wote wenye nguvu kwenye vyama vya upinzani na kuwafungulia mashitaka mbalimbali ikiwepo uhujumu uchumi wiki tatu au mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa na katika mkutano wao wa Jana Arusha hotel fulani wameshaorozesha majina ya watu wanaopaswa kuwekwa kizuizini idadi yao 74 mpaka sasa.bado nazidi kufuatilia baadhi yao yupo lema viongozi wa Chadema wa wilaya na mikoa pamoja na madiwani na wafanyabihashara maarufu ambao ni wakereketwa wa Chadema.

Pia kundi hili linafanya kazi kwa karibu na watendaji wa vijiji na kata.
Ni tayari washatoa order kwao kuandika majina ya watu maarufu na wanachama wenye ushawishi kwenye kata na vijiji vyao pia wameagizwa kuongea na watu hao Kama watakuwa tayari kujiunga na CCM watapewa malipo ya awali shilingi milioni 1.5 pia watapewa nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

Ccm ni NGUVU YA DOLA.ili limelaba bilioni 5

Hili ndo kundi hatari zaidi linafanya kazi nchi nzima na limejumuisha viongozi watu maarufu wachungaji wafanyabihashara wakulima wakubwa pia linausisha Hadi viongozi wa ulinzi

Kazi kuu ya kundi hili nikuhubiri VITISHO na kujenga hofu kwa jamii kuwa majeshi yote yapo chini ya ccm kwaio mtu yoyote atakaye chagua Chadema au kuipigia kampeni Chadema atawekwa ndani au kufunguliiwa kesi yoyote ya uongo.

Pia kundi hili linawatu wanozunguka mashuleni kunadi CCM pia kundi hili ndo linawashawishi wanamzuki kutunga nyimbo za kumsifia mwenyekiti wao na tayari Kuna wanamziki wameshalipwa kutunga nyimbo ambazo zitaanza kusikika public kipindi Cha kampeni

Pia hili ndo lile kundi la wasiojulikana linataratibu mateso na Mambo mengine machafu kwa wapinzani.

Hizi ni habari za uhakika nimepenyezewa na mmoja Kati ya watu hao wanaounda kundi Hilo baada ya kunishawishi nijiunge na moja Kati ya makundi hayo.

NOTE:CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA KITAKUBALIKA KWA UCHAPAKAZI WAKE NA SIO MBINU NYINGINE ZOZOTE OVU
###achaoga2020

Note!

Hakika tunawaambia kwa.sasa hatuko tayari kuendelea kunyanyaswa hata kwa hatua nyingine moja. Amani hii Ni afadhali iharibike tukaaza upya kwa kuheshimiana kuliko kuwa na "Amani isiyo na Haki.

Tutachinjana mchana kweupe. Hata Bible inasema mtu akikupiga shavu la kulia mgeuzie na kushoto na baada ya hapo haisemi ufanye Kitu gani. Acha wajipange na ujinga wao Ila nasi tunajopanga. Huku chini maadui wa kwanza Ni wanaccm Kwanza. Bila kujali undugu na ujamaa tulio nao.

Mungu atatuhukumu mbele ya safari kwa hili. Lakini hatuko tayari kuwa wanyonge kwenye nchi yetu.
Jana wameanza Karatu kuita walimu wa sekondari na msingi na kuwaomba kura.
 
awali ya yote mie sio mwanasiasa ila napenda hoja za siasa safi na sina chama ninachoegemea.

hii habari imetungwa sio ubishi.

yaani wapange siri zao chumbani wewe uzidake a to z kama nani?

kwanini wewe mdio uambiwe na si mwingine?

lengo la mtoa taarifa wako ni lipi na kwa nini atoe,aana yake amesaliti chama chake?

na kwa nini kwenye andiko lako unadai mkakati unalenga kukihujumu chadema, hii ina maana ccm wanatambua mpinzani wake ni chadema pekee? vipi NLD, CUF, ACT, TLP, NCCR MAGEUZI nk au kwao sio vyama pinzani? mbona vina wawakilishi!

na kumsifia mwenyekiti wao kuna athari gani ktk uchaguzi wa serikali za mitaa? si nanyi mmsifie mwenyekiti wenu mchezo uishe au hayupo?

kama umeijua 'silaha' na taarifa nyeti za 'adui' yako si tayari unajipanga kwa mbinu kamambe ya kuzitumia mbinu hizo za 'kivita' ili ujinyakulie ushindi kabla ya jua kuchomoza?
3
tukisema ni maneno ya khanga tu kutaka kuiomba jamii msaada wa kukuhurumia kwa vile tu umeshaona 'mbabe' wakk keshajaa ulingoni na 'misuli' ya haja kana kwamba hata ukimrushia 'ngumi' utaumia mwenyewe hivyo umeomba poo mapema tutakuwa tumekosea?

unaposema '.. hatukubali tutachinjana mchana kweupe....' unamtapeli nani kwa akili yako ya keyboard kwamba democracy na maendeleo vinapatikana kwa njia ya kuchinjana. kumbe DWMORASIA NA MAENDELEO (sehemu ya acronym) ya chama chako inaelekeza kuchinja. unadhani hii inafaa kuuza sera ya chama chako kuwa sasa tz ina haja ya kuchinja ndio tuyafikie maendeleo?

badilisheni 'gia' na mbinu zenu, hiyo injini imechoka mno 'mtaipasua au kuunguza' bure. shirikisheni mafundi wabobezi mtafute suluhu la kudumu ima kumbadili dereva, shusha injini, badili vyootr vya maana kwenye 'mechanisms' za uendeshaji sio body wala kusingizia barabara. la sivyo hawa abiria waahakuwa wazito chombo chenu hakiwawezi.
 
Umeshaanza visingizio naona mnandaa sababu ya kwanini mtashindwa uchaguzi wa serikali za mitaa. Akina mbowe wenzio wamekwapua michango yenu umeshindwa hata kufuatilia hilo umekalia kuanzisha thread za uongo na ujinga
 
Hivi kama madai yenu CCM ni kukubalika au mna sera au Chadema wameishiwa hili au lile.. Swali langu ni moja tu kwamba haya makatazo ya Chadema kufanya mikutano mpka ya ndani linatokana na nini?
Sabaya anamzuia Mbowe kufanya mikutano jimboni kwake, Sugu anazuiwa, Heche anazuiwa ...Mikutano ya ndani inzuiwa.. Lkn CCM wanafanya mikutano ya ndani na ya nje. Tena sio kwa viongozi wa kata au majimbo tena..
Huo woga mpak kuamua kuzuia Chadema unatokana na nini wkt mnasema hawana sera,hawana sijui nini..
 
Haya ni makala ya kipumbavu, ndiyo ni ya kipumbavu. Ulichosahau kuuficha upumbavu wako ni kusahau kuwa vyama vya upinzani siyo CHADEMA tu. Umesahau pia kuwa angalau chama cha upinzani kinachoweza kuikaribia CCM. ni ACT na siyo Chaggadema kama unavyotaka kuwaaminisha watu. Kazi nzuri inayofanywa na Serikali chini ya JPM sidhani kama kunahitajika ujinga uliouandika ukiwa na Uchadema Chadema. Pambaneni na hali zenu, JPM harudi nyuma na wananchi tuko nyuma Yake.
 
Hii ndio aina ya siasa za kipuuzi mlizobakiza Nyumbu,
Kuna muda unaweza kujiuliza hao wanaoitwa wapinzani ni misukule
au ni punguani tu

Ccm hii chini ya Mwenyekiti imejikita ktk Sayansi na matokeo na sio udaku, pathetic
Chadema wameishiwa, wanatapatapa.
 
Hapa ndipo naona double Standards ya Mods Wa JF, propaganda za uongo namna hii zingeandikwa kuelekezwa kwa CHADEMA, mwandishi angekula Ban. Mello, jitathmini Mungu siyo.Wa CHADEMA pekee. Siku nchi ikiingia kwenye machafuko kwa sababu ya ujinga kama huu kupitia JF, Wakili atakayesimamia hukumu yako siyo mwingine ni Mungu.
 
Nadhani mleta uzi atakuwa yupo kwenye usingizi mzito. Tusubiri aamke kwanza
###BREAKNEWS:CCM SIRI IMEFICHUKA.
TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA NA MIPANGO MIOVU NDANI YA CCM

CCM inatumia bilioni 12.8 katika MIPANGO mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni UJASUSI WA KUSINI NA KANDA YA KATI 2:UJASUSI KASKAZINI NA CCM NI NGUVU YA DOLA.

UJASUSI KUSINI NA KANDA YA KATI
Hili ni kundi la watu 721 Lina mwenyekiti mmoja waratibu 9 na waandishi habari 23 mwenyekiti ni kiongozi mkubwa wa serikali ndo anaongoza kundi hili ambalo kila mwanachama wa kundi hili anapokamilisha misheni analipwa milioni mbili Kama mshahara

Pia Cha kusikitisha kundi hili limebeba Hadi viongozi wakubwa wa dini

Agenda kubwa za hili kundi.
1:kumsifia rais pamoja na kufanya kampeni za kuchafua watu mashuhuri kwenye jamii na kushawishi watu wenye mvuto katika jamii kwa kuwarubuni pesa kumsifia mwenyekiti wa chama.

Pia kuandaa maandamano ya kumsifia mwenyekiti wao mbinu wanazotumia nikuwashawishi VIJANA na kuwagawia pesa tasilimu 10000 na wale madereva Toyo wanawekewa mafuta.tayari wamesharatibu maandamano mengi wiki moja kabla ya serikali za mitaa watafanya maandamano.pia watatoa misaada ya vitabu kwa shule za msingi 248 na sekondari 124 Kama kampeni ya kuakisha CCM inaendelea kuaminika
Hili kundi limelamba bilioni 3 Kati ya izo 9.8

UJASUSI KASKAZINI.(UKC)
HILI KUNDI limepata gawio la 4.8 kundi hili linaongozwa na viongozi wakuu wachama na viongozi wakuu wa serikali mikoa husika

Kazi za hili kundi
Nikuwakamata wale wote wenye nguvu kwenye vyama vya upinzani na kuwafungulia mashitaka mbalimbali ikiwepo uhujumu uchumi wiki tatu au mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa na katika mkutano wao wa Jana Arusha hotel fulani wameshaorozesha majina ya watu wanaopaswa kuwekwa kizuizini idadi yao 74 mpaka sasa.bado nazidi kufuatilia baadhi yao yupo lema viongozi wa Chadema wa wilaya na mikoa pamoja na madiwani na wafanyabihashara maarufu ambao ni wakereketwa wa Chadema.

Pia kundi hili linafanya kazi kwa karibu na watendaji wa vijiji na kata.
Ni tayari washatoa order kwao kuandika majina ya watu maarufu na wanachama wenye ushawishi kwenye kata na vijiji vyao pia wameagizwa kuongea na watu hao Kama watakuwa tayari kujiunga na CCM watapewa malipo ya awali shilingi milioni 1.5 pia watapewa nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

Ccm ni NGUVU YA DOLA.ili limelaba bilioni 5

Hili ndo kundi hatari zaidi linafanya kazi nchi nzima na limejumuisha viongozi watu maarufu wachungaji wafanyabihashara wakulima wakubwa pia linausisha Hadi viongozi wa ulinzi

Kazi kuu ya kundi hili nikuhubiri VITISHO na kujenga hofu kwa jamii kuwa majeshi yote yapo chini ya ccm kwaio mtu yoyote atakaye chagua Chadema au kuipigia kampeni Chadema atawekwa ndani au kufunguliiwa kesi yoyote ya uongo.

Pia kundi hili linawatu wanozunguka mashuleni kunadi CCM pia kundi hili ndo linawashawishi wanamzuki kutunga nyimbo za kumsifia mwenyekiti wao na tayari Kuna wanamziki wameshalipwa kutunga nyimbo ambazo zitaanza kusikika public kipindi Cha kampeni

Pia hili ndo lile kundi la wasiojulikana linataratibu mateso na Mambo mengine machafu kwa wapinzani.

Hizi ni habari za uhakika nimepenyezewa na mmoja Kati ya watu hao wanaounda kundi Hilo baada ya kunishawishi nijiunge na moja Kati ya makundi hayo.

NOTE:CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA KITAKUBALIKA KWA UCHAPAKAZI WAKE NA SIO MBINU NYINGINE ZOZOTE OVU
###achaoga2020

Note!

Hakika tunawaambia kwa.sasa hatuko tayari kuendelea kunyanyaswa hata kwa hatua nyingine moja. Amani hii Ni afadhali iharibike tukaaza upya kwa kuheshimiana kuliko kuwa na "Amani isiyo na Haki.

Tutachinjana mchana kweupe. Hata Bible inasema mtu akikupiga shavu la kulia mgeuzie na kushoto na baada ya hapo haisemi ufanye Kitu gani. Acha wajipange na ujinga wao Ila nasi tunajopanga. Huku chini maadui wa kwanza Ni wanaccm Kwanza. Bila kujali undugu na ujamaa tulio nao.

Mungu atatuhukumu mbele ya safari kwa hili. Lakini hatuko tayari kuwa wanyonge kwenye nchi yetu.
 
###BREAKNEWS:CCM SIRI IMEFICHUKA.
TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA NA MIPANGO MIOVU NDANI YA CCM

CCM inatumia bilioni 12.8 katika MIPANGO mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni UJASUSI WA KUSINI NA KANDA YA KATI 2:UJASUSI KASKAZINI NA CCM NI NGUVU YA DOLA.

UJASUSI KUSINI NA KANDA YA KATI
Hili ni kundi la watu 721 Lina mwenyekiti mmoja waratibu 9 na waandishi habari 23 mwenyekiti ni kiongozi mkubwa wa serikali ndo anaongoza kundi hili ambalo kila mwanachama wa kundi hili anapokamilisha misheni analipwa milioni mbili Kama mshahara

Pia Cha kusikitisha kundi hili limebeba Hadi viongozi wakubwa wa dini

Agenda kubwa za hili kundi.
1:kumsifia rais pamoja na kufanya kampeni za kuchafua watu mashuhuri kwenye jamii na kushawishi watu wenye mvuto katika jamii kwa kuwarubuni pesa kumsifia mwenyekiti wa chama.

Pia kuandaa maandamano ya kumsifia mwenyekiti wao mbinu wanazotumia nikuwashawishi VIJANA na kuwagawia pesa tasilimu 10000 na wale madereva Toyo wanawekewa mafuta.tayari wamesharatibu maandamano mengi wiki moja kabla ya serikali za mitaa watafanya maandamano.pia watatoa misaada ya vitabu kwa shule za msingi 248 na sekondari 124 Kama kampeni ya kuakisha CCM inaendelea kuaminika
Hili kundi limelamba bilioni 3 Kati ya izo 9.8

UJASUSI KASKAZINI.(UKC)
HILI KUNDI limepata gawio la 4.8 kundi hili linaongozwa na viongozi wakuu wachama na viongozi wakuu wa serikali mikoa husika

Kazi za hili kundi
Nikuwakamata wale wote wenye nguvu kwenye vyama vya upinzani na kuwafungulia mashitaka mbalimbali ikiwepo uhujumu uchumi wiki tatu au mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa na katika mkutano wao wa Jana Arusha hotel fulani wameshaorozesha majina ya watu wanaopaswa kuwekwa kizuizini idadi yao 74 mpaka sasa.bado nazidi kufuatilia baadhi yao yupo lema viongozi wa Chadema wa wilaya na mikoa pamoja na madiwani na wafanyabihashara maarufu ambao ni wakereketwa wa Chadema.

Pia kundi hili linafanya kazi kwa karibu na watendaji wa vijiji na kata.
Ni tayari washatoa order kwao kuandika majina ya watu maarufu na wanachama wenye ushawishi kwenye kata na vijiji vyao pia wameagizwa kuongea na watu hao Kama watakuwa tayari kujiunga na CCM watapewa malipo ya awali shilingi milioni 1.5 pia watapewa nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

Ccm ni NGUVU YA DOLA.ili limelaba bilioni 5

Hili ndo kundi hatari zaidi linafanya kazi nchi nzima na limejumuisha viongozi watu maarufu wachungaji wafanyabihashara wakulima wakubwa pia linausisha Hadi viongozi wa ulinzi

Kazi kuu ya kundi hili nikuhubiri VITISHO na kujenga hofu kwa jamii kuwa majeshi yote yapo chini ya ccm kwaio mtu yoyote atakaye chagua Chadema au kuipigia kampeni Chadema atawekwa ndani au kufunguliiwa kesi yoyote ya uongo.

Pia kundi hili linawatu wanozunguka mashuleni kunadi CCM pia kundi hili ndo linawashawishi wanamzuki kutunga nyimbo za kumsifia mwenyekiti wao na tayari Kuna wanamziki wameshalipwa kutunga nyimbo ambazo zitaanza kusikika public kipindi Cha kampeni

Pia hili ndo lile kundi la wasiojulikana linataratibu mateso na Mambo mengine machafu kwa wapinzani.

Hizi ni habari za uhakika nimepenyezewa na mmoja Kati ya watu hao wanaounda kundi Hilo baada ya kunishawishi nijiunge na moja Kati ya makundi hayo.

NOTE:CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA KITAKUBALIKA KWA UCHAPAKAZI WAKE NA SIO MBINU NYINGINE ZOZOTE OVU
###achaoga2020

Note!

Hakika tunawaambia kwa.sasa hatuko tayari kuendelea kunyanyaswa hata kwa hatua nyingine moja. Amani hii Ni afadhali iharibike tukaaza upya kwa kuheshimiana kuliko kuwa na "Amani isiyo na Haki.

Tutachinjana mchana kweupe. Hata Bible inasema mtu akikupiga shavu la kulia mgeuzie na kushoto na baada ya hapo haisemi ufanye Kitu gani. Acha wajipange na ujinga wao Ila nasi tunajopanga. Huku chini maadui wa kwanza Ni wanaccm Kwanza. Bila kujali undugu na ujamaa tulio nao.

Mungu atatuhukumu mbele ya safari kwa hili. Lakini hatuko tayari kuwa wanyonge kwenye nchi yetu.
Huyu nae! Nani anachagua CHADEMA? mtulie tuu, kwa 2020 CCM chama tawala, na ACT chama kikuu cha upinzani.
 
Mda wa biashara unaanza nukia. Watu wakishajazwa mapesa mifukoni kinachofata ni matumizi. Hakuna haja ya machafuko, vita vya nini? Chukueni hayo mabilioni mje nayo huku mtaani Mtumie.
 
Back
Top Bottom