Inadaiwa Diamond alitaka kumuoa Hawa wa Nitarejea lakini demu alichomoa

Inadaiwa Diamond alitaka kumuoa Hawa wa Nitarejea lakini demu alichomoa

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Halo wadau wa celebrities forum.

Nimepata habari sehemu kuwa kijana wa Madale aka Simba, Dangote, sukari ya warembo au Diamond Platinum, alitaka kumuoa Hawa wa Nitarejea enzi hizo, lakini binti alimkataa.

Wimbo wa Nitarejea ni moja ya nyimbo ya kwanza za Diamond akimshirikisha binti Hawa ambaye hajulikani alipo sasa na anafanya nini.

Habari zinadai kijana huyu mwenye nyota kali alimzimia sana Hawa na walikuwa wapenzi enzi hizo kiasi cha kutaka kupeleka posa ila binti alimkataa akidai anaye mwanaume ampendaye zaidi ya Diamond na hivyo kumpa ukweli kuwa japo ni wapenzi, yupo mwingine binti kamzimikia zaidi.

Haikubainika ni mwanaume gani huyo Hawa alimpenda zaidi ya Diamond. Hata ktk orodha ya warembo aliotokanao Diamond ambayo ipo You Tube, Hawa ni mmoja wapo.

Haijulikani alipo Hawa hivi sasa na anafikirije akimwona Diamond akipaa.
 
Freed Freed,
Umbea ni kipaji, ila dimond kuropoka kuoa mbna kwake ni kitu simple tu ila kufanya maamuzi ya kuoa ndo mtihan ulipo. ashindwe kuoa zari, tanasha, mobeto ataoa nani mwingine ? hizo ni gear tu za kupewa mbunye akishachapa huyooo anachapa mwendo.
 
Freed Freed,
Umbea ni kipaji, ila dimond kuropoka kuoa mbna kwake ni kitu simple tu ila kufanya maamuzi ya kuoa ndo mtihan ulipo. ashindwe kuoa zari, tanasha, mobeto ataoa nani mwingine ? hizo ni gear tu za kupewa mbunye akishachapa huyooo anachapa mwendo.
Elewa somo kwanza, umeambiwa kipindi hicho cha nitarejea bado hajapata pesa na fame.
 
Duuh! Domo kweli alikuwa mchovu paka Hawa Nitarejea alitosa kuolewa
 
Mpfyuuuuuuuuuuuuuuuh

Uchi kila mtu anao tatizo matumizi
 
Freed Freed,
Umbea ni kipaji, ila dimond kuropoka kuoa mbna kwake ni kitu simple tu ila kufanya maamuzi ya kuoa ndo mtihan ulipo. ashindwe kuoa zari, tanasha, mobeto ataoa nani mwingine ? hizo ni gear tu za kupewa mbunye akishachapa huyooo anachapa mwendo.
Alishawai kukuropokea, kuna watu Mnajifanya Mnamjua Mond zaidi ya Mama yake..

Kipindi anatembea na huyu hawa hao akina Zari hawakua kwenye anga zake huyu hawa ndo ilikua typ yake akadata akatangaza Ndoa kumbukeni Dogo alikua na njaa ya Mademu alikua Anashindia Nyeto akadata kwa hawa akatangaza ndoa
 
Nani angekubali kuolewa na Domo njaa kali pekupeku Manzese?
 
Elewa somo kwanza, umeambiwa kipindi hicho cha nitarejea bado hajapata pesa na fame.
hyo n kawaida kwa mwanaume ili mwanamke akukubali swaga moja wapo ya kumpata mwanamke ilikuwa n hyo ila n kwa mwanamke mbishi/aanayejielewa vinginevyo utafunua godoro na kuondoka na unachokutana nacho
 
Nani kasema ajulikani alipo wakati miezi kadhaa tu nyuma katoa nyimbo kama mbili zipo YouTube huko.

Mwaka juzi kama sikosei alikuwa sober house, nyuma kabla ya hapo ali trend sana kwenye kipindi cha shilawadu wakimtafutia msaada wa matibabu

Dumelang
 
Saa hizi Hawa anafikiriaje how?

Kuwa amkubali kwa sababu tajiri tu? Life is like that

Tunao wakataa na kuwaacha wanaweza kufanikiwa na kupata vyeo vikubwa, ni maisha na hakuna regret

Ukisema Hawa anajuta saa hizi maana yake hakuwa binadamu

In other words unataka kusema kila demu anayetokewa leo na diamond, mo, bakhresa lazima wakubali maana hawa jamaa wana visu? Ukiishawaza hivyo tu, tunataka kumjua mama yako
 
Hawa anatoa nyimbo kama kawaida


Tafuta wimbo wake wa kucheka


Na huu

 
Saa hizi Hawa anafikiriaje how?

Kuwa amkubali kwa sababu tajiri tu? Life is like that

Tunao wakataa na kuwaacha wanaweza kufanikiwa na kupata vyeo vikubwa, ni maisha na hakuna regret

Ukisema Hawa anajuta saa hizi maana yake hakuwa binadamu

In other words unataka kusema kila demu anayetokewa leo na diamond, mo, bakhresa lazima wakubali maana hawa jamaa wana visu? Ukiishawaza hivyo tu, tunataka kumjua mama yako
Mji una mambo huu
 
Back
Top Bottom